Aisee kaka..laiti ungejua. Ila naomba uamini unavyojiskia tu..ila umeongea from your point of view. Kwahio niende na madira ofisini?Mazingira ya kuoana hayafanani my dada, yanatofautiana kulingana na wahusika wenyewe.
Kuna watu wanafuata ule msemo wa tabia tutafundishana
Ushauri mzuri ni kwamba huyo dada aamue, kama kwake mavazi na nywele ni kipaumbele kuliko ndoa basi aachike. Na kama ndoa ni bora kuliko hayo mavazi na nywele, basi afuate anavoelekezwa na mumewe.
Kama ambavyo sipendi mwanamke ombaomba nilijiopolea ambaye hana tabia hio ya ajabu! Kweli kila mtu na mtuwe π π πNdo hivo watu tuko tofauti, nami niliona huyu sitamuweza.
Naamini baadae alipata wa kufanana naye. Haya mambo ni compatibility that matters most
Unavaaje dela ofisini?Aisee kaka..laiti ungejua. Ila naomba uamini unavyojiskia tu..ila umeongea from your point of view. Kwahio niende na madira ofisini?
Hahahahahha et msabato mnyoa mapankiπHata Mimi wangu niliona hatuendani akatafte maabato wake mnyoa mapanki na asiye hoji lolote, mwanamke wa ndiyo mzee. Ukipenda kitu serious huoni mapungufu bana ukiona vikasoro ujue no love
[emoji23][emoji23]yes mnyoa panki, na mvaa miguo mikubwa oversize, wanaume mnashindwaga kuelewa tu vitu vyetu vya kike ni vile sisi ni ke Sasa kutaka tufanyie vyenu na sisi tuna utashi umenioa ndio usinifanyie Mimi sio mzima nisio na utashi wa Mambo ya kike ka style bana.Hahahahahha et msabato mnyoa mapanki[emoji28]
Bahati mbaya wakati naanza kuandika nilikuwa sijasoma maoni ya wadau humu. Nimesoma tu ulichoandika kisha nami nikaanza kutoa comments zangu.Aisee kaka..laiti ungejua. Ila naomba uamini unavyojiskia tu..ila umeongea from your point of view. Kwahio niende na madira ofisini?
Anne hii comment yako ukija kuiangalia baada ya miaka mi4 utatamani kui edit ujue..[emoji1787][emoji1787]Kiapo cha ndoa kimeandikwa" nitakuwa naye kwenye shida na raha, kwenye dhiki na mateso hadi kifo kitakapotenganisha".
Na alichokiunganisha Mungu , mwanadamu hawezi kukitenganisha.
Ndiyo maana huwa wanatusisitiza vijana kutokosea kuchagua mwenza,ni Bora ukosee kujenga nyumba,utaibomoa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahah mi nimekuelewa sanaπ wala siwez kumpangia mwanamke asivae atakacho ila kama hujapendeza lazma nikwambie hio hujapendeza vaa ile na mwenyewe anajuaga kunisumbua lazma aniulize model wake nichagulie leo nivae ipi! Hii imekaaje babe π[emoji23][emoji23]yes mnyoa panki, na mvaa miguo mikubwa oversize, wanaume mnashindwaga kuelewa tu vitu vyetu vya kike ni vile sisi ni ke Sasa kutaka tufanyie vyenu na sisi tuna utashi umenioa ndio usinifanyie Mimi sio mzima nisio na utashi wa Mambo ya kike ka style bana.
Hahahah anahitaji miaka kadhaa ndani ya taasisi kisha ndio atajipata na elimu kubwaAnne hii comment yako ukija kuiangalia baada ya miaka mi4 utatamani kui edit ujue..[emoji1787][emoji1787]
Hata ka hajapendeza inakuhusu Nini kinachofanya watu wateseke nikutaka mtu mzima mwenzake afanye interest zake kichwani na kusahau kila mtu na kichwa chake na hatuwezi kufanana. Lack of maturity na kuheshimu wengine ni janga Sana huku Africa, wewe ni baby wangu tumekutana utu uzima na magego yetu 32 yet unataka unibadilishe au uwe baba angu au mamangu kunipangia maisha hapo ndo watu hukosana wengi, na mwisho kujipatia migungu ya mahusiano for the rest of your life.Hahahahah mi nimekuelewa sana[emoji28] wala siwez kumpangia mwanamke asivae atakacho ila kama hujapendeza lazma nikwambie hio hujapendeza vaa ile na mwenyewe anajuaga kunisumbua lazma aniulize model wake nichagulie leo nivae ipi! Hii imekaaje babe [emoji28]
Hahahahahah kama hilo tatizo basi ni vyema ukaendelea na approach yako ya kuwa single tu! Ukibahatika kupata mzungu mtaendana vizuriHata ka hajapendeza inakuhusu Nini kinachofanya watu wateseke nikutaka mtu mzima mwenzake afanye interest zake kichwani na kusahau kila mtu na kichwa chake na hatuwezi kufanana. Lack of maturity na kuheshimu wengine ni janga Sana huku Africa, wewe ni baby wangu tumekutana utu uzima na magego yetu 32 yet unataka unibadilishe au uwe baba angu au mamangu kunipangia maisha hapo ndo watu hukosana wengi, na mwisho kujipatia migungu ya mahusiano for the rest of your life.
Staki mzungu bana Mimi kupelekeshwa siwezi au kumpangia mtu wangu maisha huwa siwezi I'm free to do my thing siwezi kumkuta mwanaume wangu Kuna vitu alikuwa anafanya nianze kumpangia ka mamake hivi sijui marafiki acha dah, Sasa hyo Nini.Hahahahahah kama hilo tatizo basi ni vyema ukaendelea na approach yako ya kuwa single tu! Ukibahatika kupata mzungu mtaendana vizuri
Hamna anayependa kupelekeshwa na swala sio kupangiwa ila inaonekana hata taking peoples opinions is an issue kwako from this piece of writing. We na Magufuli mmetofautiana kasha tu ila akili na utashi mnaendana.Staki mzungu bana Mimi kupelekeshwa siwezi au kumpangia mtu wangu maisha huwa siwezi I'm free to do my thing siwezi kumkuta mwanaume wangu Kuna vitu alikuwa anafanya nianze kumpangia ka mamake hivi sijui marafiki acha dah, Sasa hyo Nini.
Maisha mafupi mtu kutaka kukumiliki ka mfugo usio na akili na uamuzi huo ni utumwa bana
Anne hii comment yako ukija kuiangalia baada ya miaka mi4 utatamani kui edit ujue..[emoji1787][emoji1787]
Nimebahatika kuishi na wazazi wangu waliokuwa kwenye ndoa ambayo hivi karibuni kifo kimeitenganisha kwa kumchukua baba.Hahahah anahitaji miaka kadhaa ndani ya taasisi kisha ndio atajipata na elimu kubwa
Lakini baba yako RIP alikuwa hampigi mama yako bila shaka! Just be real, je kuna acts zozote ambazo uliziona ni za kionevu ambazo mama yako alifanyiwa? Im sure your dad was a nice guy na muwajibikaji to his family thats why ndoa ili sustain the hurdles!Nimebahatika kuishi na wazazi wangu waliokuwa kwenye ndoa ambayo hivi karibuni kifo kimeitenganisha kwa kumchukua baba.
Wameishi maisha ya ndoa miaka zaidi ya 40..hakuna mikiki ambayo haijawahi kutokea na ilikuwa inatokea naona.
Laiti wangesema waachane basi sidhani kama wengine sisi tungekuwepo.
Kwa namna ya kibinadamu kuna muda inafika mnaweza tamani hata muwaachanishe tu maana wanachosha..
Lakini tulimlilia Mungu,
Lakini kilikuwa kipindi tu,kilipita na mambo yakakaa sawa maisha yakaendelea vizuri.
Loh, nilipitiaga hii hali miaka hiyooooHiyo namba mbili hapo...huenda una "look good" mno unakua sexy au sexual mwamba anakua threatened ndio maana anageuka kichaa namna hii?
Unaweza uka tone down kidogo aisee na hiyo "looking good" maana jamaa ana moyo mdogo
Looking good jumlisha na hilo tako,jamaa ana-loose the whole shit....na yule number 8 alishamfuma kwenye simu I guess...
Mwanaume hua anakua kichaa akisha-loose control of his woman sexually to another man whether huyo mwanaume ni real au imaginary
Vaa dira aisee....trust me utaokoa hiyo ndoa...au jipunguze matako yaishe...hahahaaa
I said it all[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] dada yangu aliniambia hivi pia ni mtu pekee anaejua hizi changamoto zangu. Lakini nimekataa kuvaa dira kazini. Nilikata nywele baada ya kipigo March lakini anatuma msg ambazo sizijibu kwa sasa..kwamba nimechukiza sana kunyoa bora nivae ma wig. Binafsi sipendi wigs..its either my own natural hair au ninyoe hivi na nimeridhika sana na nilivyonyoa baada ya dada yangu(msiri wangu) kuniambia nimependeza na yeye akakutana na rafiki yake mmoja aliniona ofisini akamwambia ' shem' amenyoa amependeza sanaa...ndio akaja na msg ya kuniambia ninachukiza sana na simvutii. Sijamjibu mpaka leo..anasema simheshimu..ukimya umekuwa amani kwangu maana naona ana play psychology