ngongoti2000
JF-Expert Member
- Nov 20, 2017
- 2,236
- 2,142
Ni rahisi kuongea tu, unafikiri hawajawahi kuw na good time?
Unafikiri huyu anayesemwa hana uzuri hata chembe?
Hapa yamechaguliwa madhaifu peke yake mazuri anayajua yeye ndio maana haondoki kirahisi.
Pili mkishazaa umekuwa mfungwa daima kwani kuna wakati unawahurumia wanao
Pole aiseehMi alinitishia kunywa sumu,nami ni mhanga wa kutaka kusepa.Najisemesha tu hapa wakati mwenyewe nashindwa kutoka.AAAgrhhh
Umemshauri kikike sana na badala ya kumuona yeye ukajiona weweSijasoma yote lkn wewe mwenzetu umelogwa acha upumbavu. Unasubiri divorce ya nini? Ili iweje yaani? Huna maamuzi binafsi hadi jamii ikuamulie?
Unashindwa nini kumuacha uondoke then ushughulike na divorce baadae? Hata tukikushauri hapa hutatekeleza ushauri wetu utaendelea kugandana hapo.
We baki na msela wako, hilo ndo chaguo lako ndoa ni uvumilivu, vumilia dada..thawabu utaipata mbinguni. Ukiachika tutakucheka utakosa heshima kwenye jamii kifupi utadharaulika. Shikilia hapo hapo udundwe hadi akili ikukae sawa.
God fearing my foot.
Mkuu hata kama yalianza mwaka jana.Ukweli unabaki pale kwamba abuse is abuse.Ila kuhusu uamuzi ni wake/wao wenyewe waamue maana hata jamaa najua anateseka sana.Mkuu sikubaliani na ukatili anaoufanya huyo jamaa, lakini huyu Dada kuna jambo alifanya likatoa hayo matokeo.
Ndio sababu nimemuuliza hayo matatizo yameanza katika umri gani wa ndoa yao?
Hii ya kuwahurumia watito huwa sio kweli.Ni rahisi kuongea tu, unafikiri hawajawahi kuw na good time?
Unafikiri huyu anayesemwa hana uzuri hata chembe?
Hapa yamechaguliwa madhaifu peke yake mazuri anayajua yeye ndio maana haondoki kirahisi.
Pili mkishazaa umekuwa mfungwa daima kwani kuna wakati unawahurumia wanao
Mfano akiwa amewaona kwamba avumilie na yeye mkuu?Wewe umeolewa?kama umelelewa kwenye ndoa hukuwahi ona wazazi wako wakidundana/au jamii yako na je waliaachana,una roho ya usimbe.
😀😀😀Akiwa kwenye ndoa aje atoe ushauriBwanaaaa weeeeh, una hamu tu ya ndoa.
Heb tuachea kwanza.
Atuache kwanza.😀😀😀Akiwa kwenye ndoa aje atoe ushauri
Ametunga story ila ukwel mwamba ni mtakatifu wanawake Wa sasa waongo waongoUongo wake Nini?
Haya nakusubiria
Ngoja aingie ndo atajua hajuiAtuache kwanza.
Mana yanamtoooookaaaa.
Oh nimeona case nimeona hiki.
Duh kumbe unawafahamu loh, lakini why atunge na sababu Nini?Ametunga story ila ukwel mwamba ni mtakatifu wanawake Wa sasa waongo waongo
Acha kushauri nadharia mdada, mwenzako anachezea vipondo kila siku, mwanaume mpigaji ni mpigaji tu, huwa habadiliki hata siku moja, hata aje huyo Mungu unayemtaja waishi nae humo. Atapigwa na mwisho atakufa na ndugu zake ndio watamzika.Una hakika gani atarudishwa kwao akiwa kwenye jeneza??
Wewe mtazamo wako ni huo,
Mimi mtazamo wangu ni Mungu atambadilisha.
Sijaolewa bado na Mungu atanipa wa kufanana naye,siyo huyo unayemtaka wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haahhaahah labda wanakwama Wami au daraja tayari?Jamani mbona ndoa tamu hivii, nyie wengne mnakwama wapi?
Ametunga story ila ukwel mwamba ni mtakatifu wanawake Wa sasa waongo waongoUongo wake Nini?
Anadanga apate boya Wa kumkamua jukwaani wapenda wowowowoDuh kumbe unawafahamu loh, lakini why atunge na sababu Nini?