Am I wrong if I process divorce?

Am I wrong if I process divorce?

Ni kweli.
Ndo nimejiambia tu hapo niache kukuquote.
Ni kiherehere changu na kimbelembele.
Mwenyewe tu unajiandikia kwa Amani mawazo yako mi niko busy kukuquote.

Miii naaaaami, uliniita?
Mxxxxxxxxxxie zangu.
[emoji16][emoji16]
 
Uvumilivu wake sio wa kawaida, Ila nakwambia huyo dada haondoki hapo... miaka nenda rudi atakuwepo hapo hapo. Tunapoteza muda kumshauri

Hawezi kuondoka kwa ushauri, ipo siku atapigwa tukio ataondoka mwenyewe bila kuaga mtu [emoji23]. Nna rafiki yangu nae alikua kwenye toxic marriage, tulishauri weeeeee atoke lakini wapi bwana. Kuna siku moja aliondoka mwenyewe bila kushauriwa na mtu. Huyu bibie siku yakimfika ‘hapa’ ataondoka bila kuaga
 
Kwa kuwa wewe ni mwanamke mwenye makalio makubwa kwa vyovyote vile akili hakuna kabisa.....huna uwezo wa kujiongeza kwa hiyo endelea kupata kipigo mpaka ukae sawa au ukafukiwe futi sita chini
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji22]
 
Damn lady, unanikumbusha nyimbo ya “Ashanti rain on me” na movie flani ya MYA inaitwa “Love for sale” alikuwa na mchizi bully in the same situation as yours! That nigga was overly jealous [emoji28][emoji28][emoji28] kiasi kwamba alikuwa anam suffocate demu wake yani...finally real man alijibebea mzigo kilaini!

I hate to see such innocent kind of Lady crying adi nimelia hapa kwa uchungu [emoji37] but you got to hold yourself tight and beat the hell out!
Bro samahani , ni kweli umelia kwa uchungu? [emoji1787][emoji3]

I can smell a very serious hunter [emoji3][emoji1787][emoji3]

Sent from my SOV34 using JamiiForums mobile app
 
Jamani...

Maisha mabaya yapo pote pote tu,ni afadhali ubaki kwenye ndoa upate shida za humo

Nje hakuna cha maana,utapeli ni mwingi mno,na huyo number 8 hapo atajitombea kupita maelezo ila kuoa mazima sahau...

Formula ni fupi tu,kamshindwa A,how on earth hatanishindwa B maana A=B tu!

Mwache apate shida humo humo ndani atajua jinsi ya kuji-adjust humo humo...pia huyo kaka hatujamsikiliza....wanawake si wa kuamini sana ujue!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]

Hivi ni wewe au naota?

Sijaona fuvk nigga..[emoji1787][emoji1787][emoji16]
 
hahahahaaa

Wanawake bana..psychology yenu ni ya kushangaza

Emotionally hampo independent,mnapenda mtu awape caring kidogo tu ya emotions zenu then hata kama umeolewa na alietoa hiyo caring ni kichaa utampa matundu yote

Mwanangu hapo angekua karibu akaweka na uchawi kidogo tundu hili hapa..

Just kidding bana dont come all guns out blazing on me
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Usingetukana kwenye huu uzi wote ningejipiga ban[emoji16][emoji16]
 
Hawezi kuondoka kwa ushauri, ipo siku atapigwa tukio ataondoka mwenyewe bila kuaga mtu [emoji23]. Nna rafiki yangu nae alikua kwenye toxic marriage, tulishauri weeeeee atoke lakini wapi bwana. Kuna siku moja aliondoka mwenyewe bila kushauriwa na mtu. Huyu bibie siku yakimfika ‘hapa’ ataondoka bila kuaga
Yes ni kweli
 
jaman wale waliochomwa kama mkaa ni wanawake? wanaopigwa risasi je? mimi naona tu ikishindikana bora mtu usepe bila matatizo kuwa makubwa na vilema juu maana ukiwa kilema utaachwa hapo na ataoa mwingine tu na mateso yatakuwa makali zaidi.

mfano mzuri ni yule bi dada aliyekubali 0713 kwa ajili ya kutunza penzi lakini mwisho wa siku alivyoaanza kujiharishia bila break aliachwa hapo.

Nasisitiza, ndoa sio sehemu ya kuvumilia mateso bali sehemu ya kufurahia maisha
Mume alimwambia amle tigo?
 
Najiulizaga hawa mademu wanaume kama sisi hawatuonagi au [emoji28] mpaka ukawe na bandidu wa hatari! Hii inakamilisha ule usemi wa kuwa wanawake wanapenda penye misukosuko kuliko peace of mind na hapo hataondoka mtamshauri ila ndo kwanza jioni anajipikisha kahawa anampa Tyson wake [emoji28][emoji28][emoji28]
Atauliwa huyo[emoji848]
 
dada uliyeandika hii thread kama hutojali, njoo inbox. nahisi tunafahamina....nahisi ni wewe....yes ni wewe....kwa maelezo zaidi njoo inbox.

mengi tutayajadili nje ya jf.....ni kwa nia njema tu sio kwa ubaya.
Unatafuta fursa
 
Back
Top Bottom