Umeshanipeperushia ndege wangu alaf unakimbia.[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji470] [emoji470] [emoji470] [emoji470]
Nani alishinda??Huyo Youngblood tulishawahi kuwania demu mmoja hivyo ananichukia vibaya sanaa
[emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41]
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Alafu naona unaanza kunipeperushia ndege wangy
[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
Ndio huyu??Nahrene yuko wapi?
Amepita mtoni kunywa maji, msubiri anarudiUmeshanipeperushia ndege wangu alaf unakimbia.
Nami nakufwata huko huko Kf nije kukupa mipasho yako
[emoji470] [emoji470] [emoji470] [emoji470] [emoji470] [emoji470] [emoji470]
moderatorsMods ndo nini/nani?View attachment 398896
Cc YoungbloodNilishinda mm ndo mana akakimbia kwa aibu
Hata mimi kipengele hicho jonax hadi leo huwa nashindwa kuaccess jukwaa la dini na la wakubwa.mwenye kujua anielekeze ninawezaje kuyagusa hayo majukwaaUnaweza kunisaidia niunganishe kwenye jukwaa la dini/la wakubwa?
Mimi ni underground mkongweHuyu memba mpya kapata karibu za kumwaga kisa kaweka picha au? siwaelewi wakuu mbona wengine huwa hamtuchangamkii hivyo? huyu amekuwa maarufu "reo reo"
Ukiona hivyo sio mpya huyu-ID ndio mpya maana anajua hata mbinu za kuteka hisia za wanajukwaa
How na mimi naweza kuunganishwa? Nielekeze jonax[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Mbona mm nmeshaunganishwa uko
Wewe ulikuwa hujui umeelekezwa ukajua mpaka ukaweza kuingia jukwaa la dini na jukwaa la wakubwa....umewezaje kusoma huku ulikuwa hujui kama mimi????? jonax[emoji15] Sasa wa kumuelekeza mwenzake ni nani kati ya mm na wewe?
Mimi ni mgeni hvyo ww ndo unatakiwa unielekeze
Dogo acha kudanganya wenzako,unajua kwamba yule demu niko naye hapa tunakula eid.Huyo Youngblood tulishawahi kuwania demu mmoja hivyo ananichukia vibaya sanaa
[emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41]