Ama kweli Wydad wakubali kuanza upya kuijenga timu yao, kwa timu hii waliyonayo na uchezaji wao kazi wanayo!

ali komwe utakufa kabla ya siku zako shauri yako
 
Wamecheza fainali juzi juzi wameshakuwa wabovu?
 
Basi uwe unaandika 'Hongereni'na siyo 'Ongereni'
 
Wydad Leo walizidiwa nje ya uwanja, Leo Wydad walitengeneza nafasi 3/4 za kufunga ila zote wamekosa.
Simba wametengeneza nafasi 3 na mbili wamefunga.
Tena nafasi za Wydad zilikua za wazi kabisa ila walishatenezwa Waka tengenezeka[emoji2][emoji2]
Hadi msemeeeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wydad yupi angekuwa mzuri labda? Aliyegongwa na jwaneng? Au aliyepasuliwa na Asec? Ebu tueleze ubora wa wydad ulipo?
Utopolo mnaweza kumfunga wydad?au mnaongeq tu Utopolo. Wydad sio wabovu kama mnavyodhani Utopolo. na hata hivyo simba imepiga hatua kubwa kwenye haya mashindano ana uzoefu.kuwapiga goli mbili wydad sio bahati ni MIPANGO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…