Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Ukubwa wa jiografia ya nchi siyo kipimo cha maendeleo mkuu. Visiwa vya japan ni eneo dogo sana lakini Afrika nzima hatuwezi kuukuta uchumi wa japan.Ni kama kusema kabadilisha mikoa miwili ya DRC .....kua na lami naumeme....Rwanda padogo sana.....ni rahisi kujenga miundo mbinu.
Au kabadilisha kua ya watusi pekee
Kabila halikua hana mizizi thabiti kiutawala kipindi kileKagame alifaulu sana kumchezea Rais Kabila.
Ila kipindi hiki hali itakuwa ngumu upande wake.
Tshikedi ana mizizi kwani?.... nadhani nyakati tu zimebadilika.Kabila halikua hana mizizi thabiti kiutawala kipindi kile
Upo sahii mkuu ila maendekeo ya rwanda ni network ya barabara tu na maghorofa kigali......nitajie nchi ndogo ambayo haina miundombinu ya barabara thabiti.....!!!Ukubwa wa jiografia ya nchi siyo kipimo cha maendeleo mkuu. Visiwa vya japan ni eneo dogo sana lakini Afrika nzima hatuwezi kuukuta uchumi wa japan.
Ni kweli nyakati zimehama line....mjomba ana hali ngumu 🤣🤣🤣Tshikedi ana mizizi kwani?.... nadhani nyakati tu zimebadilika.
Au wewe AKAZU 🤣🤣🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwa hiyo unajua mimi mtutsi siyo? Daah JF raha sanaa
Afu mkuu nisaidie kitu na unitajie ni sehemu gani mwaka 1998 majeshi ya Zimbabwe yaliyashinda majeshi ya Rwanda.....ebu tukumbushe hiyo battle ilifanyika eneo gani na ZDF walitumia aina gani za ndege kuwashinda hao wanyarwanda.......???
Maana tulikuepo kule mwaka 1998 na mzee wetu wa UDSM Profesa Dia Wamba na tulishuudia yote mpaka fierce battle ya Kisangani.
Ambapo tulicount maiti 600 wa wanajeshi wa Rwanda na maiti 248 za wanajeshi wa UPDF.
Na maiti za raia 1900 wasiokua na hatia.......!!!!!
Nakujibu ifuatavyo.......wewe hujawahi kuishi rwanda......umeongea pointi za kwenye magazeti.
Ni kweli Rwanda haiwezi kuishinda SAR au SADC....na pia ukweli ni kwamba Ujerumani hainunui silaha nzito SAR......kama zipo zitaje afu wadau wa uwanja wa vita....tutakuambia hizo silaha ni nzito au nyepesi na tutakuambia pia ni za daraja lipi
.Lakini hujui chochote kuhusu vurugu za ukanda wa maziwa makuu hujawahi kuishi huko zaidi ya kuleta habari za kusoma magazetini na sio uhalisia.
Kusema Israel ni bingwa wa propaganda huo ni uongo.....sababu ipo wazi kati ya MAYAHUDI NA MAARABU nani bingwa wa propaganda....since 1958.Na kwa maelezo yako msimamo wako kati ya waarabu na wayahudi unaonekana wazi unaegemea upande upi.
Ufanisi wa mambo hasa ya kivita au usalama,sio mambo ya muziki au siasa,na haupimwi na views za Instagram...ambazo zinaweza kufojiwa.
Mh Kikwete aliwazima ndani ya siku moja ni kwamba tu watu hawajaamuaWewe unaota Ndoto za mchana, Kigali hauijui hata kidogo. hao M23 wenyewe Kishekedi na Majeshi yake yooote, Akisaidiwa na Jeshi la Burundi, Akisaidiwa na Kundi zima la Wazalendo ambalo ni mkusanyiko wa makundi ya wapiganaji yapatayo 120, Ongezea kikosi kutoka SA, Ongezea Kikosi kutoka Malawi, Ongezea Kikosi kutoka TZ na Jeshi zima la Monusco hao wote wameshindwa hata kuchukua mita 100 za M23 halafu eti wataenda Kigali, you dont know what you are saying.
Kwa taarifa yako sasa, vijana wenu wanateketezwa kila kukicha, jana tu APC mbili za TZ zimeunguzwa na waliokuwemo ndani hakutoa mtu. Sasa kama M23 inawatoa kamasi ndio waende Kigali!! Hakuna kitu kama hicho.
Mkuu kumbe unasoma makala za watu na hujawahi kuishi Rwanda au Burundi au Zaire....!!!!Kama hujawahi kua battle front bas tusijadiliane........mm nimeshuhudia battle 17 kati ya waangola na wazimbabwe dhidi ya wanyarwanda na waganda....maeneo tofauti tofauti ya zaire.........nimekuuliza kumbe wewe unasoma vijarida tu mkuu!!!
Wewe kumbe unasoma mada za watu na hujawahi kuishi Kigali au kisangani au Miduha au Kasongo....!!!
🤣🤣 mimi siwezi kuwa interahamwe mkuu. Mimi ni mchaga + Haya mkuu.Au wewe AKAZU 🤣🤣🤣
Mm pia nipo kote kwa wanyankore,wahaya,wanyarwanda.......🤣🤣🤣🤣🤣 Usipokua Intarehamwe basi utakua inkotanyi🤣🤣 mimi siwezi kuwa interahamwe mkuu. Mimi ni mchaga + Haya mkuu.
Wewe ni Mnyarwanda tuna hesabu yenu kamili humu ndani.[emoji1787][emoji1787] mimi siwezi kuwa interahamwe mkuu. Mimi ni mchaga + Haya mkuu.
Hata kama ningekua mnyarwanda kuna sheria yeyote ya nchi nimeivunja mkuu?Wewe ni Mnyarwanda tuna hesabu yenu kamili humu ndani.
Amerusha jiwe gizani likakukurupua we Tutsi.Umeandika kiushabiki sana unadhani kwenda Kigali ni kama kunywa chai kwa mama lishe?
Out of topic hivi Nifah mkuu Habibu (The bold) hajambo? Hatumuoni jukwaani mwambie tunamiss uchambuzi na threads zake.Aliyeanzisha thread ananipa wakati mgumu kuamini alichoandika, japo ni habari njema.