Amani imetoweka moyoni mwangu, Co Worker wa kiume na mke wangu wapo karibu sana, nichukue uamuzi gani?

Amani imetoweka moyoni mwangu, Co Worker wa kiume na mke wangu wapo karibu sana, nichukue uamuzi gani?

Wakati nataka kuoa Kuna rafiki yangu ambae tukisoma wote akaniambia brother usioe corporate lady usioe mwanamke anaefanya kazi zile za kutoka asubuhi na kurudi jioni Kila siku. Oa mwanamke usioe mfanyakazi mana ni kazi kubwa sana kuinjoi life.! Hawa wanawake maofisini huko wanafanya vitu vya ajabu sana japokuwa sio wote.
 
Co-worker ni mtu mnaefanya nae kazi

Ni kwamba nina informer/ mpelelezi ambae ni rafiki yangu wanafanya kazi sehemu moja na wife.

Recently kuna jamaa kaletwa hapo kutoka mkoa mwengine na wamekuwa close sana na mke wangu, details nilizopata ni walisoma chuo kimoja mke wangu akiwa mwaka wa kwanza na huyo mwengine akiwa wa tatu.

tukiwa nyumbani sijawai kuona yupo bizi anachat na huyo jamaa ama simu zinaita anazokata ama kuongelea nje, nadhani bila mpelelezi wangu nisingejua chochote.

Huko kazini wamekuwa team hupenda kuongozana wao wawili kufatilia ishu za benki, manunuzi, kufatilia wateja wa shirikika, kwenda lunch, n.k. huwa wanatumia gari ya jamaa. hili niliwahi kulihakikisha mwenyewe mara mbili.

Kuna siku nilichukua simu yake kimya kimya nikasechi namba ya huyo jamaa niliyopewa na informer, Huwezi amini mara ya mwisho kwenye meseji za kawaida na whatsaoo lakini nilitahamaki chats zao ni chache sana na chats za mwisho zina wiki na ni mambo ya kikazi tu, nikasechi sechi jina la huyo cowrker na message zingine hata alizosevu majina ya ndugu ila sikuambulia kitu, Napata mashaka zaidi maana haiwezekani mtu uwe nae karibu msiwasiliane, Nahisi mke wangu ana simu ya pili ama kanizidi ujanja wa teknolojia kuficha mawasiliano maana anajua naijua password yake,

Najua fika kwa jinsi tulivyo wanaume hapo kuna mambo ya ziada yanaendelea.

Niwe mkimya niendelee kukusanya data nipate ushahidi huku nachohisi kikiendelea kikishamiri ? Nimwambie mke wangu kwamba akae mbali na huyo co worker ? Nimwachishe kazi ? Niende kum confront huyo mwenzake ? Nikubaliane na hali nikaushe ? Niachane na mke ? Niwashirikishe ndugu wa mke wanisaidie,,,,,,,,,,,,,,

NICHUKUE UAMUZI GANI WENYE HEKIMA NA BUSARA?
Chapa kazi,acha wivu kuna mwenzio huku kamkata mkewe na mapanga,kakimbia mji akidhani kaua,mwanamke kalazwa general hospital hivi Sasa,gharama za matibabu kubwa!ndugu wameuza vitu vyao kunusuru majeruhi.Faida Iko wapi???!
 
Mke anayefanya kazi ni sawa na dereva wa bodaboda tu,muda wowote anapigwa buyu mnaenda kuzika.

Kama kwenye mataa anavuka mbio mbio bila tahadhari(kazini kwake&kukosa uaminifu) au ame-park (guest house/hotel) huko huko wanamfata wanamgonga so kama ulioa ili afanye kazi akusaidie maisha then tulia acha kulia lia akileta mkate mezani wewe piga mengine waachie walimwengu.

Lakini pia inakubidi uwaze labda walikuwa wanandoa wa chuoni,wale wanaoishi pika pakua masomo yakiisha kila mtu kwao (since umesema walisoma chuo kimoja wakipishana miaka),usije kuwa wewe ndiye umeingilia ndoa yao.
 
 
Wanawake ni wajanja sana;mimi kwenye harakati zangu za mitikasi ya maisha Kuna manzi kaolewa na mtumishi mmja wa umma,yeye anabiashara ambayo mimi ni mteja mkubwa kwake,kwa hiyo nilishamuungushaga mara nyingi na pia jirani yake ambaye ni mama ambaye wanafanya the same biashara.basi siku mmja nikamuuliza huyo mama wa jirani kumhusu huyo mdada akasema kuwa hajaolewa kazalishwa tuu ni single mama ,basi mimi Wala sikufanya ajilizi nikamtupia mistari ,mtoto wa watu kanipa na namba ya simu.basi tukawa tunachati,mimi nikawa Sina hofu.basi yeye ndio akwa anasisitiza kukutana,basi nikaona isiwe tabu weekendi moja nikamwambia fika mjini ,basi kaja amejitanda ushungi wake,nimechukua babaji nimeenda guest nimemla.kwenye stori stori ndio ananiambia Nina mume na ni mtumishi wa umma seehemu x.basi tukawa tunachati maranyingi na mume wake mpaka wa Leo hajawahi hata kuhisi chochote nikawa namtia black list Kwa kuwa Nina mke.siku nilivyomwambia nimemweka black list alimaindi sana na mimi nikaona isiwe tabu ,Baki na mumeo.kuna wakati tulikuwa tunatumia code kwenye kuwasiliana mjombo.Tulikubaliana kuwa nikituma namba nne(4)kwenye ujumbe maanake nauliza kama kupo shwari,kama Kuna noma yeye anaanduka 7 anitumia,kama shwari yeye ataandika 5.kwa hiyo hata yeye akitaka tuchart anitumia hizo code pia.kwa hiyo kama mumewe yupo najua mapema sana,na kama mke wangu yupo na yeye anakuwa na taarifa.ratiba yote ya mumewe ninayo fika.Hatujawahi kukamatwa hata.Mkeo Akiwa home anakuwa mtakatifu hawezi kuonyesha kuwa anachart na mchepuko ,mpaka mwanamke umkamate na msg au call ujue hyo ni malaya
 
Co-worker ni mtu mnaefanya nae kazi

Ni kwamba nina informer/ mpelelezi ambae ni rafiki yangu wanafanya kazi sehemu moja na wife.

Recently kuna jamaa kaletwa hapo kutoka mkoa mwengine na wamekuwa close sana na mke wangu, details nilizopata ni walisoma chuo kimoja mke wangu akiwa mwaka wa kwanza na huyo mwengine akiwa wa tatu.

tukiwa nyumbani sijawai kuona yupo bizi anachat na huyo jamaa ama simu zinaita anazokata ama kuongelea nje, nadhani bila mpelelezi wangu nisingejua chochote.

Huko kazini wamekuwa team hupenda kuongozana wao wawili kufatilia ishu za benki, manunuzi, kufatilia wateja wa shirikika, kwenda lunch, n.k. huwa wanatumia gari ya jamaa. hili niliwahi kulihakikisha mwenyewe mara mbili.

Kuna siku nilichukua simu yake kimya kimya nikasechi namba ya huyo jamaa niliyopewa na informer, Huwezi amini mara ya mwisho kwenye meseji za kawaida na whatsaoo lakini nilitahamaki chats zao ni chache sana na chats za mwisho zina wiki na ni mambo ya kikazi tu, nikasechi sechi jina la huyo cowrker na message zingine hata alizosevu majina ya ndugu ila sikuambulia kitu, Napata mashaka zaidi maana haiwezekani mtu uwe nae karibu msiwasiliane, Nahisi mke wangu ana simu ya pili ama kanizidi ujanja wa teknolojia kuficha mawasiliano maana anajua naijua password yake,

Najua fika kwa jinsi tulivyo wanaume hapo kuna mambo ya ziada yanaendelea.

Niwe mkimya niendelee kukusanya data nipate ushahidi huku nachohisi kikiendelea kikishamiri ? Nimwambie mke wangu kwamba akae mbali na huyo co worker ? Nimwachishe kazi ? Niende kum confront huyo mwenzake ? Nikubaliane na hali nikaushe ? Niachane na mke ? Niwashirikishe ndugu wa mke wanisaidie,,,,,,,,,,,,,,

NICHUKUE UAMUZI GANI WENYE HEKIMA NA BUSARA?
Wale "Kataa Ndoa" wamefika hapa?
 
Wanawake ni wajanja sana;mimi kwenye harakati zangu za mitikasi ya maisha Kuna manzi kaolewa na mtumishi mmja wa umma,yeye anabiashara ambayo mimi ni mteja mkubwa kwake,kwa hiyo nilishamuungushaga mara nyingi na pia jirani yake ambaye ni mama ambaye wanafanya the same biashara.basi siku mmja nikamuuliza huyo mama wa jirani kumhusu huyo mdada akasema kuwa hajaolewa kazalishwa tuu ni single mama ,basi mimi Wala sikufanya ajilizi nikamtupia mistari ,mtoto wa watu kanipa na namba ya simu.basi tukawa tunachati,mimi nikawa Sina hofu.basi yeye ndio akwa anasisitiza kukutana,basi nikaona isiwe tabu weekendi moja nikamwambia fika mjini ,basi kaja amejitanda ushungi wake,nimechukua babaji nimeenda guest nimemla.kwenye stori stori ndio ananiambia Nina mume na ni mtumishi wa umma seehemu x.basi tukawa tunachati maranyingi na mume wake mpaka wa Leo hajawahi hata kuhisi chochote nikawa namtia black list Kwa kuwa Nina mke.siku nilivyomwambia nimemweka black list alimaindi sana na mimi nikaona isiwe tabu ,Baki na mumeo.kuna wakati tulikuwa tunatumia code kwenye kuwasiliana mjombo.Tulikubaliana kuwa nikituma namba nne(4)kwenye ujumbe maanake nauliza kama kupo shwari,kama Kuna noma yeye anaanduka 7 anitumia,kama shwari yeye ataandika 5.kwa hiyo hata yeye akitaka tuchart anitumia hizo code pia.kwa hiyo kama mumewe yupo najua mapema sana,na kama mke wangu yupo na yeye anakuwa na taarifa.ratiba yote ya mumewe ninayo fika.Hatujawahi kukamatwa hata.Mkeo Akiwa home anakuwa mtakatifu hawezi kuonyesha kuwa anachart na mchepuko ,mpaka mwanamke umkamate na msg au call ujue hyo ni malaya
Ukitaka kumkamata jifanye umesafiri na urudi ghafla ,unaweza kubahatika kuona text kama utachukua simu yake,kama huo mchezo upo.
 
Wanawake ni wajanja sana;mimi kwenye harakati zangu za mitikasi ya maisha Kuna manzi kaolewa na mtumishi mmja wa umma,yeye anabiashara ambayo mimi ni mteja mkubwa kwake,kwa hiyo nilishamuungushaga mara nyingi na pia jirani yake ambaye ni mama ambaye wanafanya the same biashara.basi siku mmja nikamuuliza huyo mama wa jirani kumhusu huyo mdada akasema kuwa hajaolewa kazalishwa tuu ni single mama ,basi mimi Wala sikufanya ajilizi nikamtupia mistari ,mtoto wa watu kanipa na namba ya simu.basi tukawa tunachati
Siyo wajanja ni mapunguani hayaangalii zaidi ya metre mbili mbele yakishaharibu ndiyo yanakuwa na upeo wa kuwaza miaka kumi mbele!!!

Jiulize tu,kabarikiwa kuolewa,mume anajitahidi kui-push familia isogee wale vizuri wavae vizuri walale pazuri watoto waende shule lakini lenyewe from no where linakokotana na workmate&muhuni fulani ambaye hana analolijua ktk maisha zaidi ya kujua kusimamisha uume kesho mumewe akijua akaliacha hili jianamke linakaza shingo wanaume wote ni mbwa maana hata huyo kimada atamkimbia kwa sababu baadhi ya shida zitahamishiwa kwake na yeye kugharamika hataki.
 
Co-worker ni mtu mnaefanya nae kazi

Ni kwamba nina informer/ mpelelezi ambae ni rafiki yangu wanafanya kazi sehemu moja na wife.

Recently kuna jamaa kaletwa hapo kutoka mkoa mwengine na wamekuwa close sana na mke wangu, details nilizopata ni walisoma chuo kimoja mke wangu akiwa mwaka wa kwanza na huyo mwengine akiwa wa tatu.

tukiwa nyumbani sijawai kuona yupo bizi anachat na huyo jamaa ama simu zinaita anazokata ama kuongelea nje, nadhani bila mpelelezi wangu nisingejua chochote.

Huko kazini wamekuwa team hupenda kuongozana wao wawili kufatilia ishu za benki, manunuzi, kufatilia wateja wa shirikika, kwenda lunch, n.k. huwa wanatumia gari ya jamaa. hili niliwahi kulihakikisha mwenyewe mara mbili.

Kuna siku nilichukua simu yake kimya kimya nikasechi namba ya huyo jamaa niliyopewa na informer, Huwezi amini mara ya mwisho kwenye meseji za kawaida na whatsaoo lakini nilitahamaki chats zao ni chache sana na chats za mwisho zina wiki na ni mambo ya kikazi tu, nikasechi sechi jina la huyo cowrker na message zingine hata alizosevu majina ya ndugu ila sikuambulia kitu, Napata mashaka zaidi maana haiwezekani mtu uwe nae karibu msiwasiliane, Nahisi mke wangu ana simu ya pili ama kanizidi ujanja wa teknolojia kuficha mawasiliano maana anajua naijua password yake,

Najua fika kwa jinsi tulivyo wanaume hapo kuna mambo ya ziada yanaendelea.

Niwe mkimya niendelee kukusanya data nipate ushahidi huku nachohisi kikiendelea kikishamiri ? Nimwambie mke wangu kwamba akae mbali na huyo co worker ? Nimwachishe kazi ? Niende kum confront huyo mwenzake ? Nikubaliane na hali nikaushe ? Niachane na mke ? Niwashirikishe ndugu wa mke wanisaidie,,,,,,,,,,,,,,

NICHUKUE UAMUZI GANI WENYE HEKIMA NA BUSARA?
Nina baba yangu mdogo yeye yeye huwaga akialikwa kwenye harusi zawadi pendwa yake ni kamba, ukimuulizwa kwanini umewapa zawadi ya kamba atakuambia kuna wakati ukifika watachagua jambo moja kati ya mambo ma2. Moja kwamba hiyo kamba waamue kufungia mbuzi au waamue kujinyonga nayo
 
Back
Top Bottom