Ambao hatujawahi kuchanjwa chale wala kwenda kwa waganga licha ya kuishi kwenye mazingira yenye uchawi sana tukutane hapa

Ambao hatujawahi kuchanjwa chale wala kwenda kwa waganga licha ya kuishi kwenye mazingira yenye uchawi sana tukutane hapa

Swalama Wananzengo.
Kila mtu anazaliwa na kinga yake ya kimwili na ya kiroho.

Kinga nyingine tunaziongezea baada ya kuzaliwa kama kinga ya magonjwa ya surua, polio, kifua kikuu, dondakoo nk

Wengine sasa huenda mbali zaidi kwa kuongeza kinga za kiroho kwa kuchanjwa chale na waganga, kumezeshwa mafuta ya Mwamposa ili mtoto asidhurike (huu nao ni uganga new model).

Pia kuna sisi ambao tumekaa sehemu ngumu, kwenye urozi wa kila aina na wa kila rangi lakini hatukuyumbishwa.

Nimekaa sehemu zenye Wanyamanyafu, nimekaa kwa kina Ibambanghulu, mtu anatuna ndani ya nyumba anajaa nyumba nzima.

Sikufanya chochote juu ya mwili wangu na roho yangu.

Sisi ndio watu wabishi ambao hatusomeki kwenye rada za kina Mshana Jr
Waliokuwa wanachanjwa walikuwa wanatiwa unga wa mkaa wa dry cell za National Panasonic na Philips
 
Totoo na chale vina tofauti Gani?

Tattoo zote ni uchawi bila kusahau Hina wapakayo women ktk miili Yao, ndomana majanga hayawaishi.
Hina inapakwa nakufutika, haina maumivu wala haiachi athari katika mwili tofauti na tattoo
 
Niliwahi kuwa na rafi yangu tulipokuwa tnajifunza maisha,kila tukianzisha dili anasema twende kwa mganga,nilikataa tokea miaka hiyo,sikuwahi kwenda kwa mganga wala kuchanjwa mpaka hapa nilipofika na nina nafuu ya maisha.
 
Acha kutudanganya, hebu angalia hapo kichwani karibu na utosi uone kama hamna chale tatu.

Mengine yalifanywa na wazazi wetu pasi kujua.

Mengine yamefanywa na wachawi tukiwa tumelala.
Mchawi kama kukuganga au kukuroga,uchawi unaaminiwa na mtu aliyetokea familia lozilozi,kama wewe wanao lazima wawe vigagula maana unamwambia mtu anaejijua mwenyewe kuwa"ACHA KUTUDANGANYA",inaonekana imani yako ni haba kwa muumba.
 
Swalama Wananzengo.
Kila mtu anazaliwa na kinga yake ya kimwili na ya kiroho.

Kinga nyingine tunaziongezea baada ya kuzaliwa kama kinga ya magonjwa ya surua, polio, kifua kikuu, dondakoo nk

Wengine sasa huenda mbali zaidi kwa kuongeza kinga za kiroho kwa kuchanjwa chale na waganga, kumezeshwa mafuta ya Mwamposa ili mtoto asidhurike (huu nao ni uganga new model).

Pia kuna sisi ambao tumekaa sehemu ngumu, kwenye urozi wa kila aina na wa kila rangi lakini hatukuyumbishwa.

Nimekaa sehemu zenye Wanyamanyafu, nimekaa kwa kina Ibambanghulu, mtu anatuna ndani ya nyumba anajaa nyumba nzima.

Sikufanya chochote juu ya mwili wangu na roho yangu.

Sisi ndio watu wabishi ambao hatusomeki kwenye rada za kina Mshana Jr
Sina chale wala kitu kinachoitwa kinga sijui ya kiroho lakini naamini ulinzi nliokua nao umeniweka salama mpaka Leo maana nakumbuka miaka mitatu nyuma Luna sehemu nlienda kwenye sherehe nlipigwa kombora ambalo kwa akili zangu za pombepombe nlibeba hicho kitu nkaenda nacho nyumbani nkakichambua vizuri kwenye mwanga nkaona ni majani tu mabichi yamechanganjwa na uchafu unapatikana kwenye utumbo mpana sijui wa kiumbe gani nkaweka kando nkalala asubuhi nkafagia kwa sala na kuendelea na maisha Ila ingenikuta wenyewe walinambia ilikua naenda kupooza kabisaaaaaaaaa
 
Sina chale wala kitu kinachoitwa kinga sijui ya kiroho lakini naamini ulinzi nliokua nao umeniweka salama mpaka Leo maana nakumbuka miaka mitatu nyuma Luna sehemu nlienda kwenye sherehe nlipigwa kombora ambalo kwa akili zangu za pombepombe nlibeba hicho kitu nkaenda nacho nyumbani nkakichambua vizuri kwenye mwanga nkaona ni majani tu mabichi yamechanganjwa na uchafu unapatikana kwenye utumbo mpana sijui wa kiumbe gani nkaweka kando nkalala asubuhi nkafagia kwa sala na kuendelea na maisha Ila ingenikuta wenyewe walinambia ilikua naenda kupooza kabisaaaaaaaaa
Pole sana na hongera sana
 
Back
Top Bottom