Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe lazima utakuwa mwanamke maana hakuna mwanaume wa hivyo.Am not addicted to anything, that one straight i have.
1. Sijawai kunywa pombe ya aina yoyote hata kuonja,
2. Sijawai kuvuta sigara yoyote, labda makaratasi utotoni
3. Sijawai kubet na sijui
4. Sijawai kunywa energy drink yoyote
5.... Niiendelee niacheeeeeeee...
Lina ukweli ndani yake ila tungi kwa asilimia 95majuto ni mengi kuliko furaha ni mhanga wa hii kitu ila kila nikijarib kujitoa nafeli ,pombe zinavisanga vyake bana asikuambie mtu broo nataman ningekua hivo kua maishani mwangu sikuwah tumia pombe ila ndio siwez hata nikiacha leo sitokua kama wale walioishi bila kuitumia kabisaMnakuwaga wambea wambea sana nyie na hamna michongo ya hela
Hiyo sio sifa ya mwanaume hizo ni sifa za kina dada tyHakuna kitu sipendi kama kufanya kitu Bila ufahamu wangu wa kawaida(utimamu wangu) hivyo pombe, sigara, na aina hio ya vilevi haitatokea.
Acha ujinga na kujiendekezaWewe lazima utakuwa mwanamke maana hakuna mwanaume wa hivyo.
Wewe sio kwamba sio mlevi, sema huna HELA ya kuleweya.Umbea hapana, kuhusu hela - mi jobless pro max 🤒
Una eza uka acha mkuu, though huwezi kuwa mpya.Lina ukweli ndani yake ila tungi kwa asilimia 95majuto ni mengi kuliko furaha ni mhanga wa hii kitu ila kila nikijarib kujitoa nafeli ,pombe zinavisanga vyake bana asikuambie mtu broo nataman ningekua hivo kua maishani mwangu sikuwah tumia pombe ila ndio siwez hata nikiacha leo sitokua kama wale walioishi bila kuitumia kabisa
Usi nipime kwa ulevi wa jf, mtaani kwetu niko verified- so thank youWewe sio kwamba sio mlevi, sema huna HELA ya kuleweya.
Subiri upate hela tujue Tabia yako.
#YNWA
Safi mkuu, mabadiliko chanya ni muhimu.Nimevut sigara zote na kubwa
Pombe sana ila nime quit
Unga sijawahi
Gongo tayari
Pombe za kienyeji tayari
Mademu 1000+
Energy sana
Soda sana
Kubeti sana
Sala sana
Uganga nop
Kwa kifupi Nisha Fanya madhambi mengi,natubu now
Mbona starehe zipo tu mkuu, mpira, mieleka, msosiNingekuwa sinywi pombe sijui ningekuwa nafanya nini kustarehe,
Nahisi nijgekuwa naboreka sana.
Kbe na was kike mpo😄Tupo
Wakulungwa tumekuelewa😂Sijawahi kunywa pombe hta tone wala sigara hta kipisi ila kali nachanganyia siku mojamoja nikiwa suelewi
Mimi Jobless pro max mkuu🤒Pombe hunywi
Madem huna
Bangi, sigara wala mirungi hutumii
Hujaoka na wala sio mtu wa swala 5
Vijiweni haupo
Mbaya zaidi na kazi huna
Wewe ni nani???
Unataka kuvuta Ila hela hunalabda makaratasi utotoni
Hakuna pesa iliyo wahi tosha mkuu, ni kuridhika tuMnaolewa mko vizuri kwenye bajeti, Mimi sinywi pombe lakini pesa hainitoshi