Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
-
- #141
Avatar yako I'm nikumbusha mbali, jet Lee kwenye bodyguardπ€ hapa
Walah [emoji1787]Cha kiukorofi[emoji38]
[emoji1787] Umeanza liniiiii si utakuwa kichaa auntieMimi nakunywa auntie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo sio sifa ya mwanaume hizo ni sifa za kina dadaHakuna kitu sipendi kama kufanya kitu Bila ufahamu wangu wa kawaida(utimamu wangu) hivyo pombe, sigara, na aina hio ya vilevi haitatokea.
Haya tunataka wewe usie jiendekeza utafika wapi bwanaAcha ujinga na kujiendekeza
Nafika ninapotaka kufika na wewe unafika unaptaka kufika, kila mmoja ashinde mechi zake,Hiyo sio sifa ya mwanaume hizo ni sifa za kina dada
Haya tunataka wewe usie jiendekeza utafika wapi bwana
Madem sasaAm not addicted to anything, that one straight i have.
1. Sijawai kunywa pombe ya aina yoyote hata kuonja,
2. Sijawai kuvuta sigara yoyote, labda makaratasi utotoni
3. Sijawai kubet na sijui
4. Sijawai kunywa energy drink yoyote
5.... Niiendelee niacheeeeeeee...
Nasikiaga huko bar ndo kuna 'koneksheni'?Mnakuwaga wambea wambea sana nyie na hamna michongo ya hela
Sasa tusi gani nimetukana?Usha Anza dharau na matusiπ€π, nusu albinooo angaliaπ€
Ko sisi pisi ?Sasa tusi gani nimetukana?
Nusu albinoo angalia bhana, kuku acha na hiyo Ngozi.Nyie ni pisikali
Ko ndio nini?Ko sisi pisi ?
Nusu albinoo angalia bhana, kuku acha na hiyo Ngozi.
πUSI jione starπ€
Mkuu jaribu konyagi hutakuja kujuta hata sku moja.Katika ukuaji wangu wote hadi leo, sija wahi kuvuta sigara au kunywa pombe.
πSio ushamba ila hivyo sio vipaumbele vyangu.
Vipi Kuna wenzangu na mimi??
View attachment 2893067View attachment 2893068View attachment 2893069
Acha dharau nusu albinoo, hiyo Ngozi tuta ijia.Ko ndio nini?
Ko na wee hapo ndo ume nishauri ππ€Mkuu jaribu konyagi hutakuja kujuta hata sku moja.
Hapo uchoyo ume toka wapi??Uzi wa Wachoyo wakubwa, tokeni hapa!
Ndio mkuu sku moja moja inabidi upige hatua ndefuKo na wee hapo ndo ume nishauri ππ€
We are on the same pageAm not addicted to anything, that one straight i have.
1. Sijawai kunywa pombe ya aina yoyote hata kuonja,
2. Sijawai kuvuta sigara yoyote, labda makaratasi utotoni
3. Sijawai kubet na sijui
4. Sijawai kunywa energy drink yoyote
5.... Niiendelee niacheeeeeeee...
Over my dead bodyNdio mkuu sku moja moja inabidi upige hatua ndefu
Am not addicted to anything, that one straight i have.
1. Sijawai kunywa pombe ya aina yoyote hata kuonja,
2. Sijawai kuvuta sigara yoyote, labda makaratasi utotoni
3. Sijawai kubet na sijui
4. Sijawai kunywa energy drink yoyote
5.... Niiendelee niacheeeeeeee...