Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Team JPM, kwanza naunga mkono hoja, pili kwavile sasa JPM hayupo, badili jina uwe Team Sa100.Tunapoadhimisha miaka 22 tangia kumpoteza Mzalendo wetu, ni dhahiri kwamba Mheshimiwa Hayati JPM ndiye Nyerere wa zama zetu.
Kama JPM ameweza kufufua mashirika ya umma, kukomesha wizi wa madini, kupitia upya mikataba ya madini, kuzuia hujuma ktk miradi ya umeme, kuhuisha reli ya kati na Tazara, kununua meli mpya, vivuko na ndege, kukomesha ujangili wa tembo, kutumbua mafisadi, kukataa maagizo ya mabeberu,
Ni Faraja kwamba Matendo ya Nyerere na Magufuli ni fundisho kwetu kuwa wazalendo, wachapa kazi na kuutetea Uhuru na kulinda rasilimali za Taifa.
Nawatakia Kumbukizi njema yenye Tafakuri kwetu
Sukuma gangNaunga mkono hoja
Mkuu Team JPM, kwanza naunga mkono hoja, pili kwavile sasa JPM hayupo, badili jina uwe Team Sa100.
Hili somo la JPM kama Mwalimu JKN, tulilifundisha kitambo humu
PMagufuli kama Nyerere: Ni mtu wa watu, hapapasi, hamung'unyi, ni kazi tuu, ila pia sio kama Nyerere!
Wanabodi, Naomba kuanza kwa kudeclare interest, japo mimi ni mwanachama wa chama cha siasa, lakini sio mfuasi wa mwanasiasa yoyote, wa chama chochote, ila kuna baadhi ya viongozi nilikuwa nawakubali sana!, John Pombe Magufuli, hakuwa ni miongoni mwao, kwa sababu kadhaa wa kadhaa, moja ikiwa...www.jamiiforums.com
Mkuu Gulwa , hakuna kitu kama hicho!, huo ulikuwa ni uzushi tuu wa yule kichaa wa Twitter!.Suma gang
Chato kuna Uwanja wa Ndege wa Lami lakini Butiama achilia mbali Musoma makao Makuu ya mkoa wa Nyerere Uwanja Vumbi tu.
mara zote nasema mafisadi, wauza dawa, vyeti feki, wakwepa kodi wataendelea kuwa na mtizamo hasi kwa magufuli mpaka mwisho wa duniaAcha uongo,Nyerere elimu ilikuwa bure kuanzia msingi mpaka chuo kikuu!Hata JPM ni mnufaika wa elimu bure ya mwalimu Nyerere!
Nyerere aliwaunganisha watanzania wote,ila huyo uliyemtaja alifanya kazi kubwa kubomoa umoja wa kitaifa!
Nyerere alichukia sana ukabila,huyo uliyemtaja aliichukia sana kanda fulani!
NB:Usimfananishe Nyerere na vitu vya ajabu!
Katika vitu ambavyo sikuvipenda kwa baba wa Taifa ni pamoja na hilo...Kutokujipenda kuna sababisha kujikinai na ndiyo maana watanzania hatujipendi tinapenda vya watu zaidi...Unadhani hicho nisawa
Mwl nyerere alijisahau sana
Charity start at home
Hizo sifa zote ulizotoa ndivyo ulivyo wewe...Maana JPM ni kipimo cha uzalendo kwa karne yetu hii...Kama una bisha pitia comments za wa Africa wenzako mitandaoni na hata baadhi ya wazungu wale wenye moyo safiNyerere huwezikumlingg
Huwezi kumlinganisha Nyerere na shetani, mwizi, muuaji, mbinafsi na katili Magufuli. Huenda huwajui wote wawili
Umejitafutia Chaka la kujificha!😃😃😃😃mara zote nasema mafisadi, wauza dawa, vyeti feki, wakwepa kodi wataendelea kuwa na mtizamo hasi kwa magufuli mpaka mwisho wa dunia
Kama kutokujitambua ni jinsi hiyo, yes alikuwa hivyohivyo...Ukitaka linganisha hotuba zao mitandaoni uone...Wanafanana kwa karibu kila kitu hadi kukusema hadharani bila uwoga wala kupepesa jicho!Kwahiyo unataka kusema kwamba Nyerere alikuwa hajitambui kama Magufuli??
Ndugu yangu, charity kwenye Mali umma? Charity IPO kwenye Mali yako tu sio Mali za taifa ....Unadhani hicho nisawa
Mwl nyerere alijisahau sana
Charity start at home
nakuambia Ndio maana nyerereNdugu yangu, charity kwenye Mali umma? Charity IPO kwenye Mali yako tu sio Mali za taifa ....
Uzushi gani wakati maiti zilikuwa zinaokotwa ufukweni, lissu anapigwa risasi mchana kweupe na hakuna aliyekamatwa, wakosoaji wanapotezea na kutekwa nk. Mimi ka mkristo mkatoliki ninaamini kuwa kama huna upendo, umejaa chuki na visasi hakuna jema unaloweza kuhesabiwaMkuu Gulwa , hakuna kitu kama hicho!, huo ulikuwa ni uzushi tuu wa yule kichaa wa Twitter!.
P