Magufuli alikuwa shetani, period!Hizo sifa zote ulizotoa ndivyo ulivyo wewe...Maana JPM ni kipimo cha uzalendo kwa karne yetu hii...Kama una bisha pitia comments za wa Africa wenzako mitandaoni na hata baadhi ya wazungu wale wenye moyo safi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magufuli alikuwa shetani, period!Hizo sifa zote ulizotoa ndivyo ulivyo wewe...Maana JPM ni kipimo cha uzalendo kwa karne yetu hii...Kama una bisha pitia comments za wa Africa wenzako mitandaoni na hata baadhi ya wazungu wale wenye moyo safi
Unapoandika "Utake usitake" unakumbusha aliyekuwa mbunge wa Nkasi Ally Kessy, naye alikuwa akidemka bungeni ati Magufuli atake asitake ni lazima tumuongezee muda wa kutawala.Katika vitu ambavyo sikuvipenda kwa baba wa Taifa ni pamoja na hilo...Kutokujipends kuna sababisha kujikinai na ndiyo maana watanzania hatujipendi tinapenda vya watu zaidi...
Hii ilikiwa weakness yake kubwa...Lakini hii ilitokana na imani yake ya kikristo enzi hizo ambapo ilionekana siyo vizuri kuwa na vingi wakati wengine hawana....
On the other hand JPM aliweza ku balance, aliwapenda wa kwao na akawapenda na wengine...Ni pamoja na kuchukia wale wote ambao walikuwa kinyume na watanzania walio wengi...Kupenda ni pamoja na kuchukia uovu....
JPM ni edited version ya JKN...Hawa wawili historia itawakumnuka...Just give it time...Hata Nyerere miaka hiyo alipewa majina ya ajabu na alichukiwa sana jinsi hii hii tunavyo taka kum brand Hayati JPM; historia ni somo zuri sana...Tutaona huu mwangwi wa ndugu zetu wachache wabinafsi utadumu mpaka lini kuhusiana na JPM....
JPM is a hero the same is JKN utake au usitake, thats it!
Wewe ni mpumbavu usiyejuwa chochote, watu wa Mara wanazaliwa wakiwa wanajeshi kamili, kule kwenye kambi za jeshi wanakwenda kusajiliwa tu.nakuambia Ndio maana nyerere
Alijaza JESHI WAKURY NA WAZANAKI NA WAJITA HALAFU JIULIZE KWANINI WALIMU WENGI NA WANASHERI WALIKUWA WATU WA MARA
HAKUNA MTU ULIZA KANDA YA ZIWA UTAELEWA WATUMISHI WENGI WALIKUWA WANATOKEA MARA KIPINDI CHA NYERERE
HIVYI TUSIANZE KUMHUKUMU
MAGU JEMBE
Wewe ukiwa malaika ni kweli lakini wewe ukiwa shetani yeye ni opposite yake...He has a different spirit from yours.....Ufisadi haulipi just a while tutafika tu!Magufuli alikuwa shetani, period!
Bahati mbaya sana Mungu hachukui asiyewapenda, huwachukua anaowapenda kuwaepusha na waovu wa hii dunia....Wewe uliko baki humu na yeye aliyelala nani yupo salama? Au hujui msemo wa hujafa hujaumbika? Kabla ya kuchukiliwa utadhihirisha kwa maneno na matendo yako wewe kwamba unachukiwa na Mungu sana...Kama unabisha nipe ID yako ya kweli tufuatiliane baada ya 10 years turudi hapa kushuhudia....Unapoandika "Utake usitake" unakumbusha aliyekuwa mbunge wa Nkasi Ally Kessy, naye alikuwa akidemka bungeni ati Magufuli atake asitake ni lazima tumuongezee muda wa kutawala.
Sasa angalia Mungu alivyo fundi kabla ya muda Magufuli ametwaliwa na sasa yupo kuzimu anasubili hukumu yake, na Ally Kessy katika Tanzania nzima kura zimeibwa kote lakini Nkasi Ally Kessy akatoswa yeye na Hawa Ghasia.
Pamoja na kujipendekeza kote kwa mungu wa Chato lakini mwenzanke akamchinjia baharini, kumbuka mwaka 2020 hapakuwa na uchaguzi, ni dikteta mmoja alitowa maagizo na nchi nzima watumishi wakatii maagizo, sasa tuna bunge la kijani.
Wewe ni mpumbavu usiyejuwa chochote, watu wa Mara wanazaliwa wakiwa wanajeshi kamili, kule kwenye kambi za jeshi wanakwenda kusajiliwa tu.
Kila kabila lina asili yake na sifa zake, wachaga wengi madaktari na wafanyabiashara, Wahaya wengi wamekwenda shule na wanasheria ni wengi, Wakinga ni biashara, wasambaa deiwaka, wagogo kuombaomba na kuuza kahawa. Orodha ni ndefu ila elewa hivyo.
Lisu alikuwa muasi ALIKUWA ANATUMIWA NA MABEBERUUzushi gani wakati maiti zilikuwa zinaokotwa ufukweni, lissu anapigwa risasi mchana kweupe na hakuna aliyekamatwa, wakosoaji wanapotezea na kutekwa nk. Mimi ka mkristo mkatoliki ninaamini kuwa kama huna upendo, umejaa chuki na visasi hakuna jema unaloweza kuhesabiwa
Mwalimu hakuwa fisadi wa madaraka na mali.Kesho tarehe 14/10/2021 ni kumbukizi ya Miaka 22, tangia kuondokewa na Baba wa Taifa letu, Mwl. Julius Kambarage Nyerere.
Vijana wengi wa sasa hatukubahatika kumuona Mwl. Nyerere Bali tunamsoma tu vitabuni na kuskia masimulizi kumhusu.
Mfano:
1. Kwamba Mwl. Nyerere alipigania Uhuru wa Taifa letu
2. Kwamba Mwl. Nyerere hakutaka wazungu watuibie madini yetu na rasilimali zinginezo
3. Kwamba Mwl. Nyerere alitoa Elimu bure kwa watanzania kuanzia msingi hadi sekondari
4. Kwamba Mwl. Nyerere alijenga miundo mbinu ya reli, bandari na Barabara
5. Kwamba Mwl. Nyerere alianzisha mashirika ya Umma kama Air Tanzania, TRC, Tazara n.k
6. Kwamba Mwalimu Nyerere hakuwa na aibu kwa mafisadi wala wahujumu uchumi wa Taifa hili
7. Kwamba Mwl. Nyerere hakuwa tayari kutii maagizo ya Mabeberu.
8. Kwamba Mwalimu Nyerere ni Mzalendo aliyekuwa tayari kufa kwaajili ya Taifa lake.
Mambo hayo mazito, kuna vijana wanaodhani kwamba ni porojo, hayakufanyika na hakuna Mtanzania awezaye kuwatenda.
Tunapoadhimisha miaka 22 tangia kumpoteza Mzalendo wetu, ni dhahiri kwamba Mheshimiwa Hayati JPM ndiye Nyerere wa zama zetu.
Kama JPM ameweza kufufua mashirika ya umma, kukomesha wizi wa madini, kupitia upya mikataba ya madini, kuzuia hujuma ktk miradi ya umeme, kuhuisha reli ya kati na Tazara, kununua meli mpya, vivuko na ndege, kukomesha ujangili wa tembo, kutumbua mafisadi, kukataa maagizo ya mabeberu.
Ni Faraja kwamba Matendo ya Nyerere na Magufuli ni fundisho kwetu kuwa wazalendo, wachapa kazi na kuutetea Uhuru na kulinda rasilimali za Taifa.
Nawatakia Kumbukizi njema yenye Tafakuri kwetu
Awali ya yote huwezi kulinganisha kichaa na mtu timamu.Kesho tarehe 14/10/2021 ni kumbukizi ya Miaka 22, tangia kuondokewa na Baba wa Taifa letu, Mwl. Julius Kambarage Nyerere.
Vijana wengi wa sasa hatukubahatika kumuona Mwl. Nyerere Bali tunamsoma tu vitabuni na kuskia masimulizi kumhusu.
Mfano:
1. Kwamba Mwl. Nyerere alipigania Uhuru wa Taifa letu
2. Kwamba Mwl. Nyerere hakutaka wazungu watuibie madini yetu na rasilimali zinginezo
3. Kwamba Mwl. Nyerere alitoa Elimu bure kwa watanzania kuanzia msingi hadi sekondari
4. Kwamba Mwl. Nyerere alijenga miundo mbinu ya reli, bandari na Barabara
5. Kwamba Mwl. Nyerere alianzisha mashirika ya Umma kama Air Tanzania, TRC, Tazara n.k
6. Kwamba Mwalimu Nyerere hakuwa na aibu kwa mafisadi wala wahujumu uchumi wa Taifa hili
7. Kwamba Mwl. Nyerere hakuwa tayari kutii maagizo ya Mabeberu.
8. Kwamba Mwalimu Nyerere ni Mzalendo aliyekuwa tayari kufa kwaajili ya Taifa lake.
Mambo hayo mazito, kuna vijana wanaodhani kwamba ni porojo, hayakufanyika na hakuna Mtanzania awezaye kuwatenda.
Tunapoadhimisha miaka 22 tangia kumpoteza Mzalendo wetu, ni dhahiri kwamba Mheshimiwa Hayati JPM ndiye Nyerere wa zama zetu.
Kama JPM ameweza kufufua mashirika ya umma, kukomesha wizi wa madini, kupitia upya mikataba ya madini, kuzuia hujuma ktk miradi ya umeme, kuhuisha reli ya kati na Tazara, kununua meli mpya, vivuko na ndege, kukomesha ujangili wa tembo, kutumbua mafisadi, kukataa maagizo ya mabeberu.
Ni Faraja kwamba Matendo ya Nyerere na Magufuli ni fundisho kwetu kuwa wazalendo, wachapa kazi na kuutetea Uhuru na kulinda rasilimali za Taifa.
Nawatakia Kumbukizi njema yenye Tafakuri kwetu
2×2 toa 4=Sifuri. Jitihada za kujaza maji kwenye pipa ambalo liko wazi pande zote.Kesho tarehe 14/10/2021 ni kumbukizi ya Miaka 22, tangia kuondokewa na Baba wa Taifa letu, Mwl. Julius Kambarage Nyerere.
Vijana wengi wa sasa hatukubahatika kumuona Mwl. Nyerere Bali tunamsoma tu vitabuni na kuskia masimulizi kumhusu.
Mfano:
1. Kwamba Mwl. Nyerere alipigania Uhuru wa Taifa letu
2. Kwamba Mwl. Nyerere hakutaka wazungu watuibie madini yetu na rasilimali zinginezo
3. Kwamba Mwl. Nyerere alitoa Elimu bure kwa watanzania kuanzia msingi hadi sekondari
4. Kwamba Mwl. Nyerere alijenga miundo mbinu ya reli, bandari na Barabara
5. Kwamba Mwl. Nyerere alianzisha mashirika ya Umma kama Air Tanzania, TRC, Tazara n.k
6. Kwamba Mwalimu Nyerere hakuwa na aibu kwa mafisadi wala wahujumu uchumi wa Taifa hili
7. Kwamba Mwl. Nyerere hakuwa tayari kutii maagizo ya Mabeberu.
8. Kwamba Mwalimu Nyerere ni Mzalendo aliyekuwa tayari kufa kwaajili ya Taifa lake.
Mambo hayo mazito, kuna vijana wanaodhani kwamba ni porojo, hayakufanyika na hakuna Mtanzania awezaye kuwatenda.
Tunapoadhimisha miaka 22 tangia kumpoteza Mzalendo wetu, ni dhahiri kwamba Mheshimiwa Hayati JPM ndiye Nyerere wa zama zetu.
Kama JPM ameweza kufufua mashirika ya umma, kukomesha wizi wa madini, kupitia upya mikataba ya madini, kuzuia hujuma ktk miradi ya umeme, kuhuisha reli ya kati na Tazara, kununua meli mpya, vivuko na ndege, kukomesha ujangili wa tembo, kutumbua mafisadi, kukataa maagizo ya mabeberu.
Ni Faraja kwamba Matendo ya Nyerere na Magufuli ni fundisho kwetu kuwa wazalendo, wachapa kazi na kuutetea Uhuru na kulinda rasilimali za Taifa.
Nawatakia Kumbukizi njema yenye Tafakuri kwetu
Nyinyi wezi wa mali za umma ndio mlikuwa hammpendi JPM kwa kuwa aliwanyoosha kweli kweli na bado mnaendelea kunyooshwa tena na Mama Samia nafikiri unajua Gaidi Mbowe aliko kwa sasa akiendelea kunyea debe.Acha uongo,Nyerere elimu ilikuwa bure kuanzia msingi mpaka chuo kikuu!Hata JPM ni mnufaika wa elimu bure ya mwalimu Nyerere!
Nyerere aliwaunganisha watanzania wote,ila huyo uliyemtaja alifanya kazi kubwa kubomoa umoja wa kitaifa!
Nyerere alichukia sana ukabila,huyo uliyemtaja aliichukia sana kanda fulani!
NB:Usimfananishe Nyerere na vitu vya ajabu!
CHADEMA wakiona jina la Jiwe tumbo la kuhara linawashika wanakimbilia kupambana na Uzi.Awali ya yote huwezi kulinganisha kichaa na mtu timamu.
Ivyo walitofautiana saaana,Nyerere alikuwa ni binadamu na Magufuli alikuwa ni shetani.
The ugly/beast and the beautiful are different.
ACHA KUMDHALILISHA NYERERE !!
Na mama anawanyoosha tena sijui sasa watakkmbilia wapi kila waendako ni nchale tuuuu!!CHADEMA wakiona jina la Jiwe tumbo la kuhara linawashika wanakimbilia kupambana na Uzi.
Na aliwaweza kutoka kuwa na wabunge lukuki mpaka mmoja🤣🤣🤣
Ni kweli kwa vijana wadogo. Kama umemuona magufuli usijute kwa kutomuona nyerere. Magufuli amekua nyerere wa kizazi hiki.Kesho tarehe 14/10/2021 ni kumbukizi ya Miaka 22, tangia kuondokewa na Baba wa Taifa letu, Mwl. Julius Kambarage Nyerere.
Vijana wengi wa sasa hatukubahatika kumuona Mwl. Nyerere Bali tunamsoma tu vitabuni na kuskia masimulizi kumhusu.
Mfano:
1. Kwamba Mwl. Nyerere alipigania Uhuru wa Taifa letu
2. Kwamba Mwl. Nyerere hakutaka wazungu watuibie madini yetu na rasilimali zinginezo
3. Kwamba Mwl. Nyerere alitoa Elimu bure kwa watanzania kuanzia msingi hadi sekondari
4. Kwamba Mwl. Nyerere alijenga miundo mbinu ya reli, bandari na Barabara
5. Kwamba Mwl. Nyerere alianzisha mashirika ya Umma kama Air Tanzania, TRC, Tazara n.k
6. Kwamba Mwalimu Nyerere hakuwa na aibu kwa mafisadi wala wahujumu uchumi wa Taifa hili
7. Kwamba Mwl. Nyerere hakuwa tayari kutii maagizo ya Mabeberu.
8. Kwamba Mwalimu Nyerere ni Mzalendo aliyekuwa tayari kufa kwaajili ya Taifa lake.
Mambo hayo mazito, kuna vijana wanaodhani kwamba ni porojo, hayakufanyika na hakuna Mtanzania awezaye kuwatenda.
Tunapoadhimisha miaka 22 tangia kumpoteza Mzalendo wetu, ni dhahiri kwamba Mheshimiwa Hayati JPM ndiye Nyerere wa zama zetu.
Kama JPM ameweza kufufua mashirika ya umma, kukomesha wizi wa madini, kupitia upya mikataba ya madini, kuzuia hujuma ktk miradi ya umeme, kuhuisha reli ya kati na Tazara, kununua meli mpya, vivuko na ndege, kukomesha ujangili wa tembo, kutumbua mafisadi, kukataa maagizo ya mabeberu.
Ni Faraja kwamba Matendo ya Nyerere na Magufuli ni fundisho kwetu kuwa wazalendo, wachapa kazi na kuutetea Uhuru na kulinda rasilimali za Taifa.
Nawatakia Kumbukizi njema yenye Tafakuri kwetu