Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waoooooh......Naaaaam...ndani ya nyumba tenaaaa ni Ommy D hapana shaka tumepiga baoooo....Ni wewee tuuuu...!...Wanamwiiiita bada! Ni ommy D ndani nyumba, ni kwa Mara nyingineee teeena! Duuuh!
Hizi kama zinaboa flani hivi?Hapa kila mtu atajidai haangalii.
Mimi nafuatilia Waaris.
[emoji16] [emoji16] [emoji16]Huyu..huyuu ni waya wa umeme..huyu shashaa ni waya..ni waya wa umeme btotherrr..na ukumbuke mpenz mtazamaj huyu ni hatar sana tena zaidddd..Cheeeku maneno..ololoyayeee
Dj Afro my best movie interpreter
Jamaa namkubali sana pamoja na skills djWaoooooh......Naaaaam...ndani ya nyumba tenaaaa ni Ommy D hapana shaka tumepiga baoooo....Ni wewee tuuuu...!...
Siku ya Kwanza kuona comment yako, siku zingine naonaga umelike tu[emoji38]Jamaa namkubali sana pamoja na skills dj
Dah! Nimetokea kuipenda waaris! Wakina Manu au prity, na raj rohan ni balaaa mziki wao usipimeHabari,
Najua mtasema huku hawapo ila naamini wenzangu na mimi wapo maana kwenye msafara wa kenge na mamba wamo.
Startimes wameturahisishia sana tusiojua kizungu, kwa sasa sisi tunaangalia
A sister's revenge (Chinese)
Waaris (Indian)
Village boy (Indian)
Wild flower (wafilipino)
Hizi zote zinaoneshwa channel ya St Swahili (kasoro Village boy)
Wewe unaipenda ipi? Nani humpendi? Nani unampenda?
Note:
Ninazungumzia zile ambazo wamechomeka sauti za kiswahili, yaani unaona mchina anazungumza kiswahili sio zile za kina Rufufu
Uzi tayari
Ha ha ha!!Siku ya Kwanza kuona comment yako, siku zingine naonaga umelike tu[emoji38]
Lakini punde, akakwingilia Jack Chan shashaaa
Hapana ninazoangalia Mimi sio za hawa. Zenyewe wahusika wenyewe wanakuwa kama wanaongea kiswahiliUnakuta ati DJ katafisiri kiingereza to kiswahili dah full broken.unajiuliza huyu ana maana gani kiukweli siziangali, ukiona nyumba ina star times jua kuna Dada wa kazi basi wanapenda sana.
dstv kuna Chanel 194 televista ina series nzuri tu.
Labda mm napenda drama za kikorea maana zinakuwa na sub zake kwa kiingereza nasoma on screen, nzuri sana Maneno mengi ya kikorea kwa sasa najua
[emoji1787][emoji1787] ya kihindi?kwenye mambo tv Swahili Kuna chandrakanta hata sijui ilikuwaje nkaangalia lakini ndo nshaanza kuifatilia