Daaah!nikajua vitu vya dj afro amingo's
[emoji23][emoji23]oorrrrrrrrrrrrraitaaah!asanta sanaaah.[emoji23][emoji23][emoji1550][emoji1550][emoji1550]
Hatari sana saivi ana balaa linaitwa soz
Hatari sana saivi ana balaa linaitwa soz
Hatari sana saivi ana balaa linaitwa soz
Sure ana sauti inayovutia na kizuri anaangalia kwanza movie kiasi cha kuelewa storyline ndo anatafsiri........ sio kama wengine wanakurupuka afu hata hawavutii kusikilizaKuna ma Dj hawana swaga kabisa wamepoa hata kuangalia muvi unasinzia
Cc Smart911
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa naifuatilia mara moja moja ..
Siku hizi inaonyeshwa jumamosiWaaris [emoji123][emoji123][emoji123]
Umenikumbusha... Game of Thrones, Lord of Rings, Knight Rider na The Outpost, huyu jamaa yuko vizuri mno. Utamsikia ndani ya nyumba huyu ni Ommy D hapana shaka tunapiga bao wewe tu.Nampenda dj ommy D
121.
Umenikumbusha... Game of Thrones, Lord of Rings, Knight Rider na The Outpost, huyu jamaa yuko vizuri mno. Utamsikia ndani ya nyumba huyu ni Ommy D hapana shaka tunapiga bao wewe tu.
Yule mzwahili huwa anasikulia, hatafsiri. Naongelea yule jamaa muvi nyingi zito vibanda umiza.Habari,
Najua mtasema huku hawapo ila naamini wenzangu na mimi wapo maana kwenye msafara wa kenge na mamba wamo.
Startimes wameturahisishia sana tusiojua kizungu, kwa sasa sisi tunaangalia
A sister's revenge (Chinese)
Waaris (Indian)
Village boy (Indian)
Wild flower (wafilipino)
Hizi zote zinaoneshwa channel ya St Swahili (kasoro Village boy)
Wewe unaipenda ipi? Nani humpendi? Nani unampenda?
Note:
Ninazungumzia zile ambazo wamechomeka sauti za kiswahili, yaani unaona mchina anazungumza kiswahili sio zile za kina Rufufu
Uzi tayari
Mimi naongelea zilizotafsiriwa sasa, zile zimeingiziwa sauti za kiswahili. Yaani mtu ameongea kwa lugha nyingine ila anakuwa kama ameongea kiswahili....Yaani badala kuweka subtitles wanaweka sauti.Yule mzwahili huwa anasikulia, hatafsiri. Naongelea yule jamaa muvi nyingi zito vibanda umiza.
Basi tu mtu anataka aonekane yuko deep ktk kizungu kumbe hamna kitu.Mimi naongelea zilizotafsiriwa sasa, zile zimeingiziwa sauti za kiswahili. Yaani mtu ameongea kwa lugha nyingine ila anakuwa kama ameongea kiswahili....Yaani badala kuweka subtitles wanaweka sauti.
Nashangaa watu wanabeza hapa wakati asilimia kubwa ya tamthiliya za kifilipino zimechezwa kwa lugha yao na baadae zikatafsiriwa kwenda kiingereza. Zilizotafsiriwa kiingereza au kuwekewa subtitles za kiingereza fresh ila zikiwa kwa kiswahili nongwa.. .wabongo sijui tutaacha lini ulimbukeni
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kama uko deep uko deep tu si lazima upruvu kwenye movies, hata sie tunaoangalia zilizotafsiriwa sio kwamba hatujui kizunguBasi tu mtu anataka aonekane yuko deep ktk kizungu kumbe hamna kitu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sanaNi jamaa angu sana
121.