Ambao huwa tunasubiri majibu mpaka wapenzi wetu wanaoa au kuolewa na watu wengine, tukutane hapa

Ambao huwa tunasubiri majibu mpaka wapenzi wetu wanaoa au kuolewa na watu wengine, tukutane hapa

Joined
May 1, 2022
Posts
26
Reaction score
25
Katika haya maisha binadamu tunapitia mambo mengi sana makubwa na mazito pia ambayo katika hali ya kawaida unaweza kukaa na kufikiria umewezaje kuchomoka salama?

Eneo linaloongoza kwa vitimbi na kashkash nyingi katika maisha ya mwanadamu ni suala la mahusiano.

Sasa leo nataka tujuzane yule mtu mliyepeana ahadi za kuja kuishi pamoja, hivi ishawahi kukutokea huna hili wala lile ukasikia kaolewa au kaoa? 😒😒

Ulifanyaje baada ya kujua hivyo? Na ni kitu ganj hutokuja kukisahau katika ahadi zake?

Tiririkeni hapa tupeane maujuzi 🤗🤗🤗
 
Rafiki yake ndo aliniunganisha nae bwana akaniambia eti ni bikra huyo bado hajui hayo mambo.

Tatizo nilikubaliwa siku za kwenda chuo zimekaribia. Japo tulikuwa tunakutana kisses nyingi na kukumbatiana lakini mazingira hayakuruhusu kula mzigo, mwisho nikasafiri lakini aliniahidi kabisa ntamkuta kama nilivyomuacha na kiwasiliana tuliendelea vizuri tu.

Baada ya kama mwezi mmoja na nusu mawasiliano yalianza kupungua ghafla ndo taarifa zikanifikia eti Asha ana mimba na anaozeshwa karibuni kwa mhusika.
 
😒😒😏😏😶😶😑😑😐🤨🤐
 
Rafiki yake ndo aliniunganisha nae bwana akaniambia eti ni bikra huyo bado hajui hayo mambo. Tatizo nilikubaliwa siku za kwenda chuo zimekaribia. Japo tulikuwa tunakutana kisses nyingi na kukumbatiana lakini mazingira hayakuruhusu kula mzigo, mwisho nikasafiri lakini aliniahidi kabisa ntamkuta kama nilivyomuacha na kiwasiliana tuliendelea vizuri tu. Baada ya kama mwezi mmoja na nusu mawasiliano yalianza kupungua ghafla ndo taarifa zikanifikia eti Asha ana mimba na anaozeshwa karibuni kwa mhusika.
Hamna kosa kama kukubali eti usimpige miti demu mpaka muoane eti yeye bikira humpati
 
Katika haya maisha binadamu tunapitia mambo mengi sana makubwa na mazito pia ambayo katika hali ya kawaida unaweza kukaa na kufikiria umewezaje kuchomoka salama?

Eneo linaloongoza kwa vitimbi na kashkash nyingi katika maisha ya mwanadamu ni suala la mahusiano...

Sasa leo nataka tujuzane yule mtu mliyepeana ahadi za kuja kuishi pamoja, hivi ishawahi kukutokea huna hili wala lile ukasikia kaolewa au kaoa? [emoji19][emoji19]

Ulifanyaje baada ya kujua hivyo? Na ni kitu ganj hutokuja kukisahau katika ahadi zake?

Tiririkeni hapa tupeane maujuzi [emoji847][emoji847][emoji847]
Poleni wahanga!
Kweli mahusiano yanaongoza kwa vitimbi na kashkash[emoji16]
 
Katika haya maisha binadamu tunapitia mambo mengi sana makubwa na mazito pia ambayo katika hali ya kawaida unaweza kukaa na kufikiria umewezaje kuchomoka salama?

Eneo linaloongoza kwa vitimbi na kashkash nyingi katika maisha ya mwanadamu ni suala la mahusiano...

Sasa leo nataka tujuzane yule mtu mliyepeana ahadi za kuja kuishi pamoja, hivi ishawahi kukutokea huna hili wala lile ukasikia kaolewa au kaoa? [emoji19][emoji19]

Ulifanyaje baada ya kujua hivyo? Na ni kitu ganj hutokuja kukisahau katika ahadi zake?

Tiririkeni hapa tupeane maujuzi [emoji847][emoji847][emoji847]
Mi nadhani itskua ni uzembe wenu tuu yaan Niko makini sana nikihisi tuu ueleweki napiga chini haiwezekani mtu hana mpango wa kukuoa au kuolewa naww afu usijue hasa kwa wanaume mko weak kweli unashindwaje kujua manzi hakupendi mbaka anaolewa we upo tuu[emoji1787]huna habari au ndo nyie mnafosi mapenzi dalili ya mvua mawingu nyi mko busy kuandaa unga muanike ukilowana ooh fyokofyoko wanawake wabaya.
nendeni mkoleni uko.
 
Nakumbuka aliniacha akaolewa nikiwa bado niko Chuo (ilibaki kidogo ni disco). Baada ya miaka 3 nukakutana nae amechoka mno, kumbe ilikuwa haraka yakuolewa.

Ila yote ya yote alikuwa sio type yangu (hili nimeligundua baada ya hiyo miaka 3).

#muache#aende
 
Baddest experience ever!
Nilijisikia aibu na fedheha kubwa sana mbele ya familia yangu. Ila maisha yanaendelea.
Ilikuje mkuu..? Ili wengine nao wajifunze
 
Back
Top Bottom