Baharia Mahaba
Member
- May 1, 2022
- 26
- 25
- Thread starter
- #21
Kwahiyo km unanjaa hakuna kupenda?ππππππmapenzi ni ya walioshiba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo km unanjaa hakuna kupenda?ππππππmapenzi ni ya walioshiba
Jombaa ππ... Ulichukua uamuzi gani?Rafiki yake ndo aliniunganisha nae bwana akaniambia eti ni bikra huyo bado hajui hayo mambo. Tatizo nilikubaliwa siku za kwenda chuo zimekaribia. Japo tulikuwa tunakutana kisses nyingi na kukumbatiana lakini mazingira hayakuruhusu kula mzigo, mwisho nikasafiri lakini aliniahidi kabisa ntamkuta kama nilivyomuacha na kiwasiliana tuliendelea vizuri tu. Baada ya kama mwezi mmoja na nusu mawasiliano yalianza kupungua ghafla ndo taarifa zikanifikia eti Asha ana mimba na anaozeshwa karibuni kwa mhusika.
Ilikuwaje mzee? πππBaddest experience ever!
Nilijisikia aibu na fedheha kubwa sana mbele ya familia yangu. Ila maisha yanaendelea.
Dada Evelyn Salt huwa inatokea upo unatumikia ahadi yake labda alikwambia atakuwa tayari kuingia katika ndoa baada ya mwaka mmoja, lakini unakuta hata mwaka haujaisha ashaolewa/ kuoa na mtu mwingineMambo ya kuchomeshwa mahindi hayo...hadi anaoa/ kuolewa we unakua unasubiri nini kufanya hivo?!
Kabisa kamanda, wameniponyoka wengi sana kwa staili hii.... We learn from experience!Hamna kosa kama kukubali eti usimpige miti demu mpaka muoane eti yeye bikira humpati
π€£π€£π€£ Dada sio uzembe, ni katika kutunziana ahadi.... Chukulia mfano ww ni mtu wa ofisini na ni ngumu kufatilia mtu wako upande wa pili anafanyaje au yupo na nani... Kwa vyovyote vile utabaki na ahadi tu ya kuwa baada ya muda fulani mambo yatatiki! Sasa bana, mara paap kaoa/kuolewa ππππMi nadhani itskua ni uzembe wenu tuu yaan Niko makini sana nikihisi tuu ueleweki napiga chini haiwezekani mtu hana mpango wa kukuoa au kuolewa naww afu usijue hasa kwa wanaume mko weak kweli unashindwaje kujua manzi hakupendi mbaka anaolewa we upo tuu[emoji1787]huna habari au ndo nyie mnafosi mapenzi dalili ya mvua mawingu nyi mko busy kuandaa unga muanike ukilowana ooh fyokofyoko wanawake wabaya.
nendeni mkoleni uko.
π€£π€£π€£ @smart991 mzee wa miongozo....Poleni sana, hayanaga muongozo...
Katika kipindi ambacho watu wengi huwa wanaachwa ni hiki wakiwa chuo.... Wadada walio wengi hushindwa kuwavumilia wenza wao...Nakumbuka aliniacha akaolewa nikiwa bado niko Chuo (ilibaki kidogo ni disco). Baada ya miaka 3 nukakutana nae amechoka mno, kumbe ilikuwa haraka yakuolewa.
Ila yote ya yote alikuwa sio type yangu (hili nimeligundua baada ya hiyo miaka 3).
#muache#aende
Utateseka, shiba kwanza kisha ujue ni njaaa ilikua inakusumbua au ni kweli mapenziππKwahiyo km unanjaa hakuna kupenda?
Njaa ipi? Au ya njuruku?Utateseka, shiba kwanza kisha ujue ni njaaa ilikua inakusumbua au ni kweli mapenziππ
Hiyo hiyoNjaa ipi? Au ya njuruku?
wanasema fimbo ya mbali ...Rafiki yake ndo aliniunganisha nae bwana akaniambia eti ni bikra huyo bado hajui hayo mambo.
Tatizo nilikubaliwa siku za kwenda chuo zimekaribia. Japo tulikuwa tunakutana kisses nyingi na kukumbatiana lakini mazingira hayakuruhusu kula mzigo, mwisho nikasafiri lakini aliniahidi kabisa ntamkuta kama nilivyomuacha na kiwasiliana tuliendelea vizuri tu.
Baada ya kama mwezi mmoja na nusu mawasiliano yalianza kupungua ghafla ndo taarifa zikanifikia eti Asha ana mimba na anaozeshwa karibuni kwa mhusika.
asiyekuwepo na lake halipoNakumbuka aliniacha akaolewa nikiwa bado niko Chuo (ilibaki kidogo ni disco). Baada ya miaka 3 nukakutana nae amechoka mno, kumbe ilikuwa haraka yakuolewa.
Ila yote ya yote alikuwa sio type yangu (hili nimeligundua baada ya hiyo miaka 3).
#muache#aende
usiyachukulie serious mapenzi. yawaze usiku ukiwa huna la kufanyaKatika haya maisha binadamu tunapitia mambo mengi sana makubwa na mazito pia ambayo katika hali ya kawaida unaweza kukaa na kufikiria umewezaje kuchomoka salama?
Eneo linaloongoza kwa vitimbi na kashkash nyingi katika maisha ya mwanadamu ni suala la mahusiano...
Sasa leo nataka tujuzane yule mtu mliyepeana ahadi za kuja kuishi pamoja, hivi ishawahi kukutokea huna hili wala lile ukasikia kaolewa au kaoa? ππ
Ulifanyaje baada ya kujua hivyo? Na ni kitu ganj hutokuja kukisahau katika ahadi zake?
Tiririkeni hapa tupeane maujuzi π€π€π€
Yan apo ndipo alikua ananishangazabora umeoa, yeye kaolewa alafu anataka wewe ubaki single
Swaga ya kuolewa asilimia 85 ya mamanzi imewaingiza mkenge.... Mpaka unakuta wanatoa kiboga bila uoga πππMimi huwa nawaambia nitawaoa ila sioi wanaamua kunipiga chini kuolewa nafasi ikipatikana
Ila we jamaa avatar yako imenifikirisha mbali sana.... ππππHiyo hiyo