Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 6,602
- 10,801
Ndege wanaofanana...Sio Mara zote, Kuna wengi watakutumia tu Kwa manufaa yao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndege wanaofanana...Sio Mara zote, Kuna wengi watakutumia tu Kwa manufaa yao.
Hebu fafanua 'areas respectable' kama zipi?Ukiona shule zote umesoma kuanzia chekechea hadi vyuo hujawahi kuwa na rafiki wa maana endelevu awe mwanafunzi au mwalimu ,kanisani na misikitini ukawa huna pia rafiki endelevu wa maana ulimpata huko ,uende seminar bado huna,mtaani unakoishi huna rafiki jirani wa maana sababu hujali kuwa part ya society mtaani , au kazini huna au kwenye biashara huna business friends wa maana ujue wewe kwenye hii dunia hufai kuishi
Hata kuoana watu wa maana huwapati bar ni area respectable
Tuanze kuwa pen pal, wakati nazitathmini tabia zako mbayaGood morning jf....
Tusio na marafiki tukutane hapa😔
Kuna hili swala nimekua nikijiuliza hivi karibuni, baada ya kuona sasa uzee umeanza kupiga hodi. Najiona umri umetangulia mbele halafu maisha ni kama nayaacha nyuma, ni kama naishi tofauti na umri wangu. Nimesogea umri wa kuozesha, kuondokewa na wapendwa (waliozeeka) na kukutana na mambo mengi ambayo nadhani yanahitaji watu....ila bahati mbaya sasa hao watu ndio sina.
Natamani kuwa na marafiki kuwa na watu, watu wa faida, watu ambao wanaweza kushare ramani za maisha, watu ambao tunaweza kupanga safari kwenda vituo vya wahitaji tukawape misaada, watu ambao nikihitaji kumwagilia moyo najua wapo, watu ambao nikikwama najua watakuwepo, kina mama wenzangu huwa wana vyama umuhimu wa vyama naujua ila mi hata chama sijawahi kuwa nacho....naishi mwenyewe mwenyewe tu hadi nawaza si nitakosa wa kunizika mie mwisho nizikwe na manispaa.
Wenye marafiki mnawapataje???
Mkuu inategemea marafiki wa aina gani na wanaokufaa kwa nini.. marafiki wengi ni 'wapigaji tu'.. Anataka umfae yeye na yeye hatakufaa.. Utapata 'marafiki' wengi tu ukiwa na kitu..Yaani mtu unakuta hana waliocheza nao wakiwa wadogo kijijini au mtaani hana rafiki wa maana hata mmoja haiwezekani.
Mtoto asome mfano shule za kulipia ambako watoto wa vigogo husoma kuanzia wa private sector, Serikalilini,mahakamani na bungeni nk halafu akose rafiki wa maana endelevu huyo bwege
Rafiki ni mtu ambaye unaweza kumtendea wema bila wewe kutarajia kurudishiwa wema..Nipo post #83 sijaona bado aliyeweza kufafanua ni ipi hasa tofauti ya kufahamiana na mtu na kuwa rafiki na mtu?kwani hivyo viwili vina tofauti?au labda itabidi siku nimtamkie mtu ktk wale tunaofahamiana wewe ni rafiki yangu au yeye anitamkie,tutaelewana kweli si itakuwa ndo mwanzo wakuonana mapunga?hii inanichanganya kiasi nashindwa kujua hata mimi nilikosimamia!
Nafahamiana na watu wengi na tunaheshimiana ila sasa how nitajua huyu ni rafiki huyu siyo rafiki wakati normally tunaenda sawa?mimi ni mtu wakujifungia huwa sipendi kuzurura sipendi starehe sipendi sherehe though nachangia sana hii inaweza kuwa sababu ya mimi kutojua yupi rafiki yupi siyo rafiki?
Mume ni mume.. na rafiki ni rafiki..Huna mume? Huyo ndiyo rafiki yako.Hao wengine vichomi tu.
Ni kweli urafiki lazima uanzie mahali(pazuri au pa-ajabu) halafu uende 'level' nyingine huku ukiimarika..Itabidi tuanzishe kakikundi chetu😃
Kaza shingo hivyohivyo.Ukishtuka ni usiku.Mume ni mume.. na rafiki ni rafiki..
Mume yuko 'level' nyingine sana ukimlinganisha na marafiki..Kaza shingo hivyohivyo.Ukishtuka ni usiku.
SawaMume yuko 'level' nyingine sana ukimlinganisha na marafiki..
Jamani.....Tuanze kuwa pen pal, wakati nazitathmini tabia zako mbaya
😆😆😕Jamani.....
Nataka urafiki na wewe bana ,sitaki nife nirushwe mtoniKuzikwa ni kuzikwa TU hata ukirushwa mto ruvu ni sawa TU....haijalishi hata! Ila kama unataka urafiki wa kudumu anza kwenye vikoba humo utajulikana na mtashiriki kilakitu pamoja
Wee,upo? Sijakuona humu kitambo mkuu😜,nilivyofurahi kuona comment Yako nahisi nilikumiss kijana🤸Nataka urafiki na wewe bana ,sitaki nife nirushwe mtoni
@to yeye nipo ndugu yangu bana , baridi letu linanipotezaWee,upo? Sijakuona humu kitambo mkuu[emoji12],nilivyofurahi kuona comment Yako nahisi nilikumiss kijana[emoji1732]
Yaan baridi imekuwa ni😔shidaa...pole kamanda komaa,ni kipindi tu@to yeye nipo ndugu yangu bana , baridi letu linanipoteza
Napambana tu sina jinsi nitakuja unipe uzoefu wa kupambana nayoYaan baridi imekuwa ni[emoji17]shidaa...pole kamanda komaa,ni kipindi tu