Ambao mna marafiki huwa mnawapataje?

Ambao mna marafiki huwa mnawapataje?

Ngoja niandike uhalisia na ukweli wa maisha, even though sijui kwanini watu wengi wanaogopa uhalisia.
Sababu naona mnalazimisha kitu kisicho kuwepo wala kisichowezekana.

At the end utabaki peke yako tu na ukilinganisha marafiki wengi ni wanafiki ni kutumiana kwa faida na huo ndio uhalisia, I have got experience.
Kingine marafiki hawatafutwi bali mtajikuta mnakuwa karibu tu then baadae unaitwa urafiki lakini bado kamwe hamuwezi kuwa pamoja every moment.

Marafiki wa kweli ni familia yako tu namaanisha watoto na mke/mume. Lakini zaidi ya hapo watu baki watakuwa ziada tu kwenye maisha yako sababu siku zote watakuja na kuondoka lakini familia yako mtakuwa pamoja milele hata kama wengine wataenda mbali lakini siku zote mtabaki pamoja. trust me.
Familia yako hao ndio mtakao lia, kucheka na kufurahi wote pamoja na ndio mtakaozikana na watakao kuzika wewe.

Utapata mke/mume then mtazaa watoto wenu wanne au nane, mtawalea na kuwakuza kwa maadli mema mkiwa pamoja, mtakula na kunywa pamoja, mtacheka na kufurahi pamoja, mtaenda beach, Cinema, Vacations milimani, misituni na mijini.
Mtakwenda Shoppings, hotelini pamoja. Na wao watoto watakuwa wakubwa na kuwaletea wajukuu huku nyie mkianza kuzeeka lakini it doesn't matter sababu mtakuwa pamoja na hautokuwa alone na cycle itazidi kuongezeka huku wajukuu wakiwachangamsha na kuwakumbusha dhumuni na maana ya maisha. kutoka wawili wapendanao mpaka familia ya watu 16 au 20. kundi kubwa la watu ambalo ni your own creation imagine that? ni proud na furaha kiasi gani utajisikia just kutambua hilo?

Mtakutana na kupika na kula na kunywa pamoja huku mkifurahi kila siku hata kama haitokuwa kila siku it doesn't matter sababu siku zote watakuwepo pale utakapopata shida au utakapowahitaji.
Na siku ukifa hao ndio watakaokuja kukuzika na kukulilia na kukukumbuka milele na jina lako litaishi ndani yao.

Lakini kusema watu baki muwe wa kufa na kuzikana hiyo itabaki kuwa theory tu na ni kitu kisichowezekana kabisa.
Familia yako ndio marafiki zako wa kufa na kuzikana, huo ni Uhalisia. that's all.

Na ndio maana siwaelewi watu wanaosema Usioe au usizae na usiwe na mwanamke mmoja mimi nawaona bado watoto na akili zao hazijakua na kukomaa kiasi cha kuona uhalisia wa maisha. that's why nataka nioe mapema before it's too late, my future wife is a lucky woman I admit sababu dunia imejaa wahuni wasaka vitamu bila future wala kujua wanachokitaka au wanapokwenda bali wanaangalia sasa hivi tu.

Umesema unaanza kuzeeka then I'm really sorry kama ninachokifikiria ni kweli na wala sijamaanisha wala kukusudia kumuumiza yoyote.
Wale wanaoendelea kula tunda kimasihara na kula ujana sijui kuenjoy life na kula bata good luck, siku mtakuja kusoma hii comment na kukumbuka it's too late kumbe Uncle butcher alikuwa sahihi.
Mbona umeandika vizuri kiasi hiki mkuu.. bravo [emoji122]
 
Hamna sio ununda..
Unajua dunia ya sasa marafiki ni wachache haswaa marafiki wa kweli.
Iwe ndugu au majirani.
Watu wengi wanapenda kufaidika kwako laki ile urafiki wa kweliii ni nadra trust me.
Hivi unajua hata ndugu zako kama huna chochote hawakutafuti?
Hivi unajua hata nduguzako kama huna kitu hawakutafuti?daahh,inaumiza Sana.
 
Ngoja niandike uhalisia na ukweli wa maisha, even though sijui kwanini watu wengi wanaogopa uhalisia.
Sababu naona mnalazimisha kitu kisicho kuwepo wala kisichowezekana.

At the end utabaki peke yako tu na ukilinganisha marafiki wengi ni wanafiki ni kutumiana kwa faida na huo ndio uhalisia, I have got experience.
Kingine marafiki hawatafutwi bali mtajikuta mnakuwa karibu tu then baadae unaitwa urafiki lakini bado kamwe hamuwezi kuwa pamoja every moment.

Marafiki wa kweli ni familia yako tu namaanisha watoto na mke/mume. Lakini zaidi ya hapo watu baki watakuwa ziada tu kwenye maisha yako sababu siku zote watakuja na kuondoka lakini familia yako mtakuwa pamoja milele hata kama wengine wataenda mbali lakini siku zote mtabaki pamoja. trust me.
Familia yako hao ndio mtakao lia, kucheka na kufurahi wote pamoja na ndio mtakaozikana na watakao kuzika wewe.

Utapata mke/mume then mtazaa watoto wenu wanne au nane, mtawalea na kuwakuza kwa maadli mema mkiwa pamoja, mtakula na kunywa pamoja, mtacheka na kufurahi pamoja, mtaenda beach, Cinema, Vacations milimani, misituni na mijini.
Mtakwenda Shoppings, hotelini pamoja. Na wao watoto watakuwa wakubwa na kuwaletea wajukuu huku nyie mkianza kuzeeka lakini it doesn't matter sababu mtakuwa pamoja na hautokuwa alone na cycle itazidi kuongezeka huku wajukuu wakiwachangamsha na kuwakumbusha dhumuni na maana ya maisha. kutoka wawili wapendanao mpaka familia ya watu 16 au 20. kundi kubwa la watu ambalo ni your own creation imagine that? ni proud na furaha kiasi gani utajisikia just kutambua hilo?

Mtakutana na kupika na kula na kunywa pamoja huku mkifurahi kila siku hata kama haitokuwa kila siku it doesn't matter sababu siku zote watakuwepo pale utakapopata shida au utakapowahitaji.
Na siku ukifa hao ndio watakaokuja kukuzika na kukulilia na kukukumbuka milele na jina lako litaishi ndani yao.

Lakini kusema watu baki muwe wa kufa na kuzikana hiyo itabaki kuwa theory tu na ni kitu kisichowezekana kabisa.
Familia yako ndio marafiki zako wa kufa na kuzikana, huo ni Uhalisia. that's all.

Na ndio maana siwaelewi watu wanaosema Usioe au usizae na usiwe na mwanamke mmoja mimi nawaona bado watoto na akili zao hazijakua na kukomaa kiasi cha kuona uhalisia wa maisha. that's why nataka nioe mapema before it's too late, my future wife is a lucky woman I admit sababu dunia imejaa wahuni wasaka vitamu bila future wala kujua wanachokitaka au wanapokwenda bali wanaangalia sasa hivi tu.

Umesema unaanza kuzeeka then I'm really sorry kama ninachokifikiria ni kweli na wala sijamaanisha wala kukusudia kumuumiza yoyote.
Wale wanaoendelea kula tunda kimasihara na kula ujana sijui kuenjoy life na kula bata good luck, siku mtakuja kusoma hii comment na kukumbuka it's too late kumbe Uncle butcher alikuwa sahihi.
Sasa wewe mkuu unataka Rafiki awe equated sawa na Mama yako au Kaka yako.

Tunaposema marafiki we are not aiming to demand as much as from kwa Kaka yangu au Mjomba wangu.


Ndio maama unaona kuwa marafiki kwako sio muhimu sana kwa kuwa tu hawatakaa milele na wewe.

You are too demanding my brother.
 
Utapata mke/mume then mtazaa watoto wenu wanne au nane, mtawalea na kuwakuza kwa maadli mema mkiwa pamoja, mtakula na kunywa pamoja, mtacheka na kufurahi pamoja, mtaenda beach, Cinema, Vacations milimani, misituni na mijini.
Life in the movie
 
Ngoja niandike uhalisia na ukweli wa maisha, even though sijui kwanini watu wengi wanaogopa uhalisia.
Sababu naona mnalazimisha kitu kisicho kuwepo wala kisichowezekana.

At the end utabaki peke yako tu na ukilinganisha marafiki wengi ni wanafiki ni kutumiana kwa faida na huo ndio uhalisia, I have got experience.
Kingine marafiki hawatafutwi bali mtajikuta mnakuwa karibu tu then baadae unaitwa urafiki lakini bado kamwe hamuwezi kuwa pamoja every moment.

Marafiki wa kweli ni familia yako tu namaanisha watoto na mke/mume. Lakini zaidi ya hapo watu baki watakuwa ziada tu kwenye maisha yako sababu siku zote watakuja na kuondoka lakini familia yako mtakuwa pamoja milele hata kama wengine wataenda mbali lakini siku zote mtabaki pamoja. trust me.
Familia yako hao ndio mtakao lia, kucheka na kufurahi wote pamoja na ndio mtakaozikana na watakao kuzika wewe.

Utapata mke/mume then mtazaa watoto wenu wanne au nane, mtawalea na kuwakuza kwa maadli mema mkiwa pamoja, mtakula na kunywa pamoja, mtacheka na kufurahi pamoja, mtaenda beach, Cinema, Vacations milimani, misituni na mijini.
Mtakwenda Shoppings, hotelini pamoja. Na wao watoto watakuwa wakubwa na kuwaletea wajukuu huku nyie mkianza kuzeeka lakini it doesn't matter sababu mtakuwa pamoja na hautokuwa alone na cycle itazidi kuongezeka huku wajukuu wakiwachangamsha na kuwakumbusha dhumuni na maana ya maisha. kutoka wawili wapendanao mpaka familia ya watu 16 au 20. kundi kubwa la watu ambalo ni your own creation imagine that? ni proud na furaha kiasi gani utajisikia just kutambua hilo?

Mtakutana na kupika na kula na kunywa pamoja huku mkifurahi kila siku hata kama haitokuwa kila siku it doesn't matter sababu siku zote watakuwepo pale utakapopata shida au utakapowahitaji.
Na siku ukifa hao ndio watakaokuja kukuzika na kukulilia na kukukumbuka milele na jina lako litaishi ndani yao.

Lakini kusema watu baki muwe wa kufa na kuzikana hiyo itabaki kuwa theory tu na ni kitu kisichowezekana kabisa.
Familia yako ndio marafiki zako wa kufa na kuzikana, huo ni Uhalisia. that's all.

Na ndio maana siwaelewi watu wanaosema Usioe au usizae na usiwe na mwanamke mmoja mimi nawaona bado watoto na akili zao hazijakua na kukomaa kiasi cha kuona uhalisia wa maisha. that's why nataka nioe mapema before it's too late, my future wife is a lucky woman I admit sababu dunia imejaa wahuni wasaka vitamu bila future wala kujua wanachokitaka au wanapokwenda bali wanaangalia sasa hivi tu.

Umesema unaanza kuzeeka then I'm really sorry kama ninachokifikiria ni kweli na wala sijamaanisha wala kukusudia kumuumiza yoyote.
Wale wanaoendelea kula tunda kimasihara na kula ujana sijui kuenjoy life na kula bata good luck, siku mtakuja kusoma hii comment na kukumbuka it's too late kumbe Uncle butcher alikuwa sahihi.
Kumbe hata hujaoa?
 
Good morning jf....
Tusio na marafiki tukutane hapa😔

Kuna hili swala nimekua nikijiuliza hivi karibuni, baada ya kuona sasa uzee umeanza kupiga hodi. Najiona umri umetangulia mbele halafu maisha ni kama nayaacha nyuma, ni kama naishi tofauti na umri wangu. Nimesogea umri wa kuozesha, kuondokewa na wapendwa (waliozeeka) na kukutana na mambo mengi ambayo nadhani yanahitaji watu....ila bahati mbaya sasa hao watu ndio sina.

Natamani kuwa na marafiki kuwa na watu, watu wa faida, watu ambao wanaweza kushare ramani za maisha, watu ambao tunaweza kupanga safari kwenda vituo vya wahitaji tukawape misaada, watu ambao nikihitaji kumwagilia moyo najua wapo, watu ambao nikikwama najua watakuwepo, kina mama wenzangu huwa wana vyama umuhimu wa vyama naujua ila mi hata chama sijawahi kuwa nacho....naishi mwenyewe mwenyewe tu hadi nawaza si nitakosa wa kunizika mie mwisho nizikwe na manispaa.

Wenye marafiki mnawapataje???
Huna mume? Huyo ndiyo rafiki yako.Hao wengine vichomi tu.
 
Ngoja niandike uhalisia na ukweli wa maisha, even though sijui kwanini watu wengi wanaogopa uhalisia.
Sababu naona mnalazimisha kitu kisicho kuwepo wala kisichowezekana.

At the end utabaki peke yako tu na ukilinganisha marafiki wengi ni wanafiki ni kutumiana kwa faida na huo ndio uhalisia, I have got experience.
Kingine marafiki hawatafutwi bali mtajikuta mnakuwa karibu tu then baadae unaitwa urafiki lakini bado kamwe hamuwezi kuwa pamoja every moment.

Marafiki wa kweli ni familia yako tu namaanisha watoto na mke/mume. Lakini zaidi ya hapo watu baki watakuwa ziada tu kwenye maisha yako sababu siku zote watakuja na kuondoka lakini familia yako mtakuwa pamoja milele hata kama wengine wataenda mbali lakini siku zote mtabaki pamoja. trust me.
Familia yako hao ndio mtakao lia, kucheka na kufurahi wote pamoja na ndio mtakaozikana na watakao kuzika wewe.

Utapata mke/mume then mtazaa watoto wenu wanne au nane, mtawalea na kuwakuza kwa maadli mema mkiwa pamoja, mtakula na kunywa pamoja, mtacheka na kufurahi pamoja, mtaenda beach, Cinema, Vacations milimani, misituni na mijini.
Mtakwenda Shoppings, hotelini pamoja. Na wao watoto watakuwa wakubwa na kuwaletea wajukuu huku nyie mkianza kuzeeka lakini it doesn't matter sababu mtakuwa pamoja na hautokuwa alone na cycle itazidi kuongezeka huku wajukuu wakiwachangamsha na kuwakumbusha dhumuni na maana ya maisha. kutoka wawili wapendanao mpaka familia ya watu 16 au 20. kundi kubwa la watu ambalo ni your own creation imagine that? ni proud na furaha kiasi gani utajisikia just kutambua hilo?

Mtakutana na kupika na kula na kunywa pamoja huku mkifurahi kila siku hata kama haitokuwa kila siku it doesn't matter sababu siku zote watakuwepo pale utakapopata shida au utakapowahitaji.
Na siku ukifa hao ndio watakaokuja kukuzika na kukulilia na kukukumbuka milele na jina lako litaishi ndani yao.

Lakini kusema watu baki muwe wa kufa na kuzikana hiyo itabaki kuwa theory tu na ni kitu kisichowezekana kabisa.
Familia yako ndio marafiki zako wa kufa na kuzikana, huo ni Uhalisia. that's all.

Na ndio maana siwaelewi watu wanaosema Usioe au usizae na usiwe na mwanamke mmoja mimi nawaona bado watoto na akili zao hazijakua na kukomaa kiasi cha kuona uhalisia wa maisha. that's why nataka nioe mapema before it's too late, my future wife is a lucky woman I admit sababu dunia imejaa wahuni wasaka vitamu bila future wala kujua wanachokitaka au wanapokwenda bali wanaangalia sasa hivi tu.

Umesema unaanza kuzeeka then I'm really sorry kama ninachokifikiria ni kweli na wala sijamaanisha wala kukusudia kumuumiza yoyote.
Wale wanaoendelea kula tunda kimasihara na kula ujana sijui kuenjoy life na kula bata good luck, siku mtakuja kusoma hii comment na kukumbuka it's too late kumbe Uncle butcher alikuwa sahihi.
Fairytale.
 
Nipo post #83 sijaona bado aliyeweza kufafanua ni ipi hasa tofauti ya kufahamiana na mtu na kuwa rafiki na mtu?kwani hivyo viwili vina tofauti?au labda itabidi siku nimtamkie mtu ktk wale tunaofahamiana wewe ni rafiki yangu au yeye anitamkie,tutaelewana kweli si itakuwa ndo mwanzo wakuonana mapunga?hii inanichanganya kiasi nashindwa kujua hata mimi nilikosimamia!

Nafahamiana na watu wengi na tunaheshimiana ila sasa how nitajua huyu ni rafiki huyu siyo rafiki wakati normally tunaenda sawa?mimi ni mtu wakujifungia huwa sipendi kuzurura sipendi starehe sipendi sherehe though nachangia sana hii inaweza kuwa sababu ya mimi kutojua yupi rafiki yupi siyo rafiki?
 
Ngoja niandike uhalisia na ukweli wa maisha, even though sijui kwanini watu wengi wanaogopa uhalisia.
Sababu naona mnalazimisha kitu kisicho kuwepo wala kisichowezekana.

At the end utabaki peke yako tu na ukilinganisha marafiki wengi ni wanafiki ni kutumiana kwa faida na huo ndio uhalisia, I have got experience.
Kingine marafiki hawatafutwi bali mtajikuta mnakuwa karibu tu then baadae unaitwa urafiki lakini bado kamwe hamuwezi kuwa pamoja every moment.

Marafiki wa kweli ni familia yako tu namaanisha watoto na mke/mume. Lakini zaidi ya hapo watu baki watakuwa ziada tu kwenye maisha yako sababu siku zote watakuja na kuondoka lakini familia yako mtakuwa pamoja milele hata kama wengine wataenda mbali lakini siku zote mtabaki pamoja. trust me.
Familia yako hao ndio mtakao lia, kucheka na kufurahi wote pamoja na ndio mtakaozikana na watakao kuzika wewe.

Utapata mke/mume then mtazaa watoto wenu wanne au nane, mtawalea na kuwakuza kwa maadli mema mkiwa pamoja, mtakula na kunywa pamoja, mtacheka na kufurahi pamoja, mtaenda beach, Cinema, Vacations milimani, misituni na mijini.
Mtakwenda Shoppings, hotelini pamoja. Na wao watoto watakuwa wakubwa na kuwaletea wajukuu huku nyie mkianza kuzeeka lakini it doesn't matter sababu mtakuwa pamoja na hautokuwa alone na cycle itazidi kuongezeka huku wajukuu wakiwachangamsha na kuwakumbusha dhumuni na maana ya maisha. kutoka wawili wapendanao mpaka familia ya watu 16 au 20. kundi kubwa la watu ambalo ni your own creation imagine that? ni proud na furaha kiasi gani utajisikia just kutambua hilo?

Mtakutana na kupika na kula na kunywa pamoja huku mkifurahi kila siku hata kama haitokuwa kila siku it doesn't matter sababu siku zote watakuwepo pale utakapopata shida au utakapowahitaji.
Na siku ukifa hao ndio watakaokuja kukuzika na kukulilia na kukukumbuka milele na jina lako litaishi ndani yao.

Lakini kusema watu baki muwe wa kufa na kuzikana hiyo itabaki kuwa theory tu na ni kitu kisichowezekana kabisa.
Familia yako ndio marafiki zako wa kufa na kuzikana, huo ni Uhalisia. that's all.

Na ndio maana siwaelewi watu wanaosema Usioe au usizae na usiwe na mwanamke mmoja mimi nawaona bado watoto na akili zao hazijakua na kukomaa kiasi cha kuona uhalisia wa maisha. that's why nataka nioe mapema before it's too late, my future wife is a lucky woman I admit sababu dunia imejaa wahuni wasaka vitamu bila future wala kujua wanachokitaka au wanapokwenda bali wanaangalia sasa hivi tu.

Umesema unaanza kuzeeka then I'm really sorry kama ninachokifikiria ni kweli na wala sijamaanisha wala kukusudia kumuumiza yoyote.
Wale wanaoendelea kula tunda kimasihara na kula ujana sijui kuenjoy life na kula bata good luck, siku mtakuja kusoma hii comment na kukumbuka it's too late kumbe Uncle butcher alikuwa sahihi.


Mkuu Billy Butcher asante sana umefafanua vizuri na umeniongezea maarifa.

Wengi hatujui wakati mwengine hata ndugu wa damu hao siyo rafiki sahihi inabidi rafiki wa kweli watokane na kiuno cha muhusika.
 
Back
Top Bottom