Ambao mna marafiki huwa mnawapataje?

Ambao mna marafiki huwa mnawapataje?

Urafiki una gharama sana mkuu, Usihofie kuzikwa na manispaa ila kama unahitaji mtu wa kubadilishana nae mawazo basi anzia hapo hapo na kwenye majirani zako chagua mmoja ambae mnaendana nae kinamna fulani, Kimawazo,Kitabia,Kimaisha.
 
Umetuletea mada ya ubishi?
Majibu mengi yatakosa maswali !!! Jaribu urudi utotoni ili ujionee mwenyew wapi uliokosea hadi unakosa "marafiki wa ukweli". Kumbuka tofali moja la msingi wa nyumba yako lilobinuka linasababisha kuvunja nyumba nzima...
 
Good morning jf....
Tusio na marafiki tukutane hapa😔

Kuna hili swala nimekua nikijiuliza hivi karibuni, baada ya kuona sasa uzee umeanza kupiga hodi. Najiona umri umetangulia mbele halafu maisha ni kama nayaacha nyuma, ni kama naishi tofauti na umri wangu. Nimesogea umri wa kuozesha, kuondokewa na wapendwa (waliozeeka) na kukutana na mambo mengi ambayo nadhani yanahitaji watu....ila bahati mbaya sasa hao watu ndio sina.

Natamani kuwa na marafiki kuwa na watu, watu wa faida, watu ambao wanaweza kushare ramani za maisha, watu ambao tunaweza kupanga safari kwenda vituo vya wahitaji tukawape misaada, watu ambao nikihitaji kumwagilia moyo najua wapo, watu ambao nikikwama najua watakuwepo, kina mama wenzangu huwa wana vyama umuhimu wa vyama naujua ila mi hata chama sijawahi kuwa nacho....naishi mwenyewe mwenyewe tu hadi nawaza si nitakosa wa kunizika mie mwisho nizikwe na manispaa.

Wenye marafiki mnawapataje???
Wee miss Kigamboni, mbona mi ni rafiki Yako mkubwa tangu zama zile za Kimara?
 
Good morning jf....
Tusio na marafiki tukutane hapa😔

Kuna hili swala nimekua nikijiuliza hivi karibuni, baada ya kuona sasa uzee umeanza kupiga hodi. Najiona umri umetangulia mbele halafu maisha ni kama nayaacha nyuma, ni kama naishi tofauti na umri wangu. Nimesogea umri wa kuozesha, kuondokewa na wapendwa (waliozeeka) na kukutana na mambo mengi ambayo nadhani yanahitaji watu....ila bahati mbaya sasa hao watu ndio sina.

Natamani kuwa na marafiki kuwa na watu, watu wa faida, watu ambao wanaweza kushare ramani za maisha, watu ambao tunaweza kupanga safari kwenda vituo vya wahitaji tukawape misaada, watu ambao nikihitaji kumwagilia moyo najua wapo, watu ambao nikikwama najua watakuwepo, kina mama wenzangu huwa wana vyama umuhimu wa vyama naujua ila mi hata chama sijawahi kuwa nacho....naishi mwenyewe mwenyewe tu hadi nawaza si nitakosa wa kunizika mie mwisho nizikwe na manispaa.

Wenye marafiki mnawapataje???
Sasa PM umefunga mkongwe mwenzangu, utatupataje Marafiki? Fungua PM kabla ya kufungua moyo...nimetuma PM haitoki
 
Kuna mdada huwa napenda ile life style, weekends hupost status wapo kwenye coaster wanaenda kutembelea yatima yani wanavibe hao, usiku wapo pengine wanamwagilia moyo....napenda kwakweli ila mi sina

Lakini Rafiki, Kila mtu ana aina yake ya maisha inayompa furaha. Mfano mie kukaa kwenye watu wengi siwezi, hata ikiwa ni shughuli, iwe ya muda mfupi, napenda zaidi nnapokua mwenyewe au niwe na mtu tunafurahia vitu Kwa pamoja hata kama ni ujingaujinga.

Pia marafiki/ urafiki hautafutwi, unakuja wenyewe au inatokea tu kulingana na mazingira au vitu vinawaunganisha pamoja. Sioni kama ni tatizo kutokua na marafiki. Cha msingi, waheshimu watu wote. Urafiki majaaliwa.

Kuna nyakati Bora ukae bila Rafiki.
Screenshot_2022-07-16-05-23-33-49_6012fa4d4ddec268fc5c7112cbb265e7.jpg
 
Lakini Rafiki, Kila mtu ana aina yake ya maisha inayompa furaha. Mfano mie kukaa kwenye watu wengi siwezi, hata ikiwa ni shughuli, iwe ya muda mfupi, napenda zaidi nnapokua mwenyewe au niwe na mtu tunafurahia vitu Kwa pamoja hata kama ni ujingaujinga.

Pia marafiki/ urafiki hautafutwi, unakuja wenyewe au inatokea tu kulingana na mazingira au vitu vinawaunganisha pamoja. Sioni kama ni tatizo kutokua na marafiki. Cha msingi, waheshimu watu wote. Urafiki majaaliwa.

Kuna nyakati Bora ukae bila Rafiki.
View attachment 2296361
Hi rafiki

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
 
Tafuta pesa kwanza wa faida utawapata sana tu
Pesa sio lazima trust me ila pale kwenye Muonekano huleta Uwezekano ndo pakubwa.

Hamna mtu anataka rafiki mzigo, rafiki hawezi kukushauri, hakupi mipango, ukihitaji msaada mahali hawezi kukushika mkono, hakufanyi kuona maisha ni ya furaha. Unaweza kosa pesa ila ukawa rafiki wa muhimu kuliko wenye pesa zao.





Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
 
Good morning jf....
Tusio na marafiki tukutane hapa😔

Kuna hili swala nimekua nikijiuliza hivi karibuni, baada ya kuona sasa uzee umeanza kupiga hodi. Najiona umri umetangulia mbele halafu maisha ni kama nayaacha nyuma, ni kama naishi tofauti na umri wangu. Nimesogea umri wa kuozesha, kuondokewa na wapendwa (waliozeeka) na kukutana na mambo mengi ambayo nadhani yanahitaji watu....ila bahati mbaya sasa hao watu ndio sina.

Natamani kuwa na marafiki kuwa na watu, watu wa faida, watu ambao wanaweza kushare ramani za maisha, watu ambao tunaweza kupanga safari kwenda vituo vya wahitaji tukawape misaada, watu ambao nikihitaji kumwagilia moyo najua wapo, watu ambao nikikwama najua watakuwepo, kina mama wenzangu huwa wana vyama umuhimu wa vyama naujua ila mi hata chama sijawahi kuwa nacho....naishi mwenyewe mwenyewe tu hadi nawaza si nitakosa wa kunizika mie mwisho nizikwe na manispaa.

Wenye marafiki mnawapataje???
Nenda bar kanywe beer utawakuta huko
 
Hahahahaaaa.. kwamba watu wanaangalia marafiki warembo tu?

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Eeh hujaonaga zile jumuiya zenye pisi kali hukosi wapambe nuksi wabovu sana na ndio huwa viherehere kwenye kutuharibia wawekezaji.😂😂😂 Wanashobokeaga wenzao wazuri na kuanzisha ushosti wakihisi watakuwa recognized kuwa na ushosti na pisi kali.

Utaskia yule atakuchezea tu shooh kwanza mtu hana gari inahuu bora umkubali boss Kevi wa railway. Kwenye kusalimia wakipita pamoja pisi inachangamka lenyewe linajifanya halijaskia salamu. Yanaishiaga kujuta tu 😂😂😂
 
Fairytale.
I respect your perspective.
Alafu hayo maisha nayaona kwa wazazi wangu na watoto wao wa kike na wajukuu wao jinsi wanavyofurahi wakikutana, nyumba inachangamka vicheko na kelele, japo wote wanakaa maeneo ya mbali tofauti.

Bado mimi tu kuongeza wajukuu na kutanua ukoo, hivyo nakubaiana na wewe mkuu life isn't fair, achilia mbali kuwa fairytale.
 
Hii kutumika anakua anakutumiaje? Au mnamaanisha ubinafsi?

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app

Ubinafsi Meneja wangu, yaani tunakua na kitu ambacho mie najua ni urafiki, kumbe kwako wewe unanichukulia kama mtu ambae naweza tu kukusaidia unapokua na uhitaji.

Na Mara nyingi itakua upande mmoja, utataka au utapenda unufaike wewe tu lakini ikija kwangu haujali Wala kuthamini chochote chenye maslahi kwangu.

Kwa uchache ni hayo tu Meneja.
 
Back
Top Bottom