Amekataa kunirudishia pesa niliyoituma kimakosa, kisa nilimjibu jeuri

hivi tanzania kuna mwanaasha hamis wangapi???kama ulidhani unamuumbua kwa kutaja jina na namba yake imekula kwako!sidhani kama kuna mtu hapa ameiona hiyo hatari ya mwanaasha,umekosea mwenyewe,umejibu vibaya...na hiyo ndio stahili yako

asante bwana Mc tilly,Mimi nimeona nishiriki na wanajukwaa kuhusu kilichonikuta Leo naona we we umepanic kweli na unatoa povu jingi,sawa ni mtizamo wako.Ila hujatenda sawa kumbuka Mzee Ben pale jangwan aliongea kama wewe tu.
 
Kwa jina hilo ulilolitaja atakuwa ni mkazi wa Mgomeni bila shaka.
 
nipe hiyo namba yake nimpe jamaa yangu wa tigo tumkomeshe wizi
 
Wewe jamaa una akiri sana, lazima kuna watu watatuma buku tano tano za kutosha ili kufanya research.
 
Amekutibu,next time utajifunza kujibu vizuri.
Fedhuli dawa yake jeuri.
 
asante bwana Mc tilly,Mimi nimeona nishiriki na wanajukwaa kuhusu kilichonikuta Leo naona we we umepanic kweli na unatoa povu jingi,sawa ni mtizamo wako.Ila hujatenda sawa kumbuka Mzee Ben pale jangwan aliongea kama wewe tu.

oooh sorry nilisahau kukupa pole,pole mkuu!ila si umesema hela yenyewe atakula chipsi yai maana yake ni kidogo si ndio mkuu???mezea tu ndio maisha hasara zipo tu!
 
oooh sorry nilisahau kukupa pole,pole mkuu!ila si umesema hela yenyewe atakula chipsi yai maana yake ni kidogo si ndio mkuu???mezea tu ndio maisha hasara zipo tu!

yeye ndo alisema atajula chips na Kuku Leo.mwanaisha Hamid ni Hatari sana
 
Aiseeee sijawahi kumjibu mtu vibaya! Najiamini. Ulifanya viabaya
 

nipe namba yake huyo mwanaasha
 
amekukomesha...safi..uache kujibu watu vibaya
 
Tutamkomesha. yeye kama anajua matawi sisi tunajua mizizi halafu tunachimba wenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…