balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
- Thread starter
- #21
hivi tanzania kuna mwanaasha hamis wangapi???kama ulidhani unamuumbua kwa kutaja jina na namba yake imekula kwako!sidhani kama kuna mtu hapa ameiona hiyo hatari ya mwanaasha,umekosea mwenyewe,umejibu vibaya...na hiyo ndio stahili yako
asante bwana Mc tilly,Mimi nimeona nishiriki na wanajukwaa kuhusu kilichonikuta Leo naona we we umepanic kweli na unatoa povu jingi,sawa ni mtizamo wako.Ila hujatenda sawa kumbuka Mzee Ben pale jangwan aliongea kama wewe tu.