Amekataa kunirudishia pesa niliyoituma kimakosa, kisa nilimjibu jeuri

Kamroge tu atakurudishia na chenji juu
 
Safi sana.............

Kuna mtu pia aliwahi nirushia pesa kwa makosa.... baada ya kumpigia alinijibu shombo vibaya mno.....

Ila yeye ana bahati baada ya kugundua makosa na kulia lia nilimrushia robo tatu....

Ni vyema kujibu watu vizuri hujui ni kwa nini ametumia muda wake na salio lake kukutafuta
 
Toa taarifa polisi umfungulie kesi ya madai,.pia toa namba yake kamili usaidiwe kumsaka. Najua atafunga line lakini tutampata kupitia simu alizopigiwa au kupiga hivi karibuni. Akiwa mwaaminifu atakurudishiia japo kidogokidogo.
 
hahaha naona umeamua kubadili heading eee ... kwa kweli umemdhalilisha mdada wa watu, umemkosea na bado umemsema vibaya kwenye hii thread ...
mpigie simu umwombe msamaha
 
Anasema nimesema namshtaki kwa hyo atanishtaki yeye,Ila uzuri kanirejeshea pesa yangu sina matatizo na mwanaisha tena walionicheki wameshindwa. tens.walionibeza limewashuka
 
Wareverse vipi pesa ishatolewa ndugu?

Kwa kuwa ameshaitoa, watakachofanya ni kublock tigo pesa account yake, kisha account itakapowekwa kiasi kinachofika thamani tajwa then watakurudishia(reverse). Kwa sasa kuwa mpole
 
Hahaaaa......"muwoweeeeee" naona nyote ni "wacheshi" mna match vizuri
 
Toa taarifa polisi umfungulie kesi ya madai,.pia toa namba yake kamili usaidiwe kumsaka. Najua atafunga line lakini tutampata kupitia simu alizopigiwa au kupiga hivi karibuni. Akiwa mwaaminifu atakurudishiia japo kidogokidogo.

huwezi amini ndugu kuna MTU kamwambia Yuki front page jf kazirudisha zote
 
Nahsi kuna jambo litaendelea baada ya hapo...!!!!
 
Huwezi jua kiongozi pengine ni mwanzo wa mahusiano murua ile tunaita a blessing in disguise
 

Hiyo ya kumrudishia robo tatu kama chai vile.................:majani7::majani7::majani7:
 

Kwanza ww ni chama gani labda nianze na hapo kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…