Amekataa kunirudishia pesa niliyoituma kimakosa, kisa nilimjibu jeuri

Amekataa kunirudishia pesa niliyoituma kimakosa, kisa nilimjibu jeuri

Anasema nimesema namshtaki kwa hyo atanishtaki yeye,Ila uzuri kanirejeshea pesa yangu sina matatizo na mwanaisha tena walionicheki wameshindwa. tens.walionibeza limewashuka

Hivi wewe ni Ke au M
 
hvi kweli ulishindwa kufikiria kupigia call center ya mtandao wako kuripoti hii ishu yako, tena wangesolve fasta tu ingerudi kwnye simu yako...kweli tunatofautiana..unless ilikuwa 5000 ukapna upuuzie
 
Back
Top Bottom