Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Kaa kimyaHuyu binti ni shemeji yangu.
Anaomba pesa, nilimsaidia kulipia kodi awamu mbili na kampani zingine ndogondogo. Sasa nilipoona anazidi kunipiga virungu nikamwomba nyapu akakataa katakata. Iliniuma sana maana ndo nilikuwa nimetoka kumlipia kodi kama wiki moja hivi iliyopita siku aliyonichomolea.
Sasa nikamwambia sasa kila mmoja akale anakopeleka mboga. Nikawa namsaidia kidogo kidogo tu ile kibinadamu (misaada muhimu tu) bila nia yoyote ya kimapenzi.
Jana kanitext sms ya kuomba pesa ya kodi.
Je, nimjibu jibu moja litakalomuumiza kama niluvyomia Mimi kipindi kile, au nikae kimya nikimaanisha HAPANA?
View attachment 2599833
Sawa haina shida shem njoo pm tuyapange 😏😏😏😏Shem naomba nisaidie vicoba
Au wewe nini?Shem naomba nisaidie vicoba
Kwanini ajipe jukumu kubwa kiasi hiko kuna mademu wadangaj. Kutoa nyapu kwao sio inshu kabisaMwambie, kama utakuwa teyari kunipa penzi, nitakupa hela kodi.
Mwambie, bila kupindisha maneno
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shem naomba nisaidie vicoba
Nilipie vicoba mara ya mwishoAu wewe nini?
Maana na pesa ya mchezo nimekutolea sana
Aweke wazi ni shem wake kivipi, ndo tujue cha kumshauri.Ni shemeji yako wa namna gani?.
Umemuoa dada ake?.
Poa. Nimekupata chiefWewe ni mshamba. Achana na mambo ya messages kwenye ishu hizo. Huo ni ushahidi baadae utakaokushushia heshima yako. Hata simu usipige kuongea mambo hayo kwasababu kuna kurekodiwa. Mpigie mwambie muonane. Mkionana ndo mwambie uso kwa uso kwamba unataka mbususu.