Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
- Thread starter
- #21
Hapana. It's realChai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana. It's realChai
😀😀😀sawa shem shemSawa haina shida shem njoo pm tuyapange 😏😏😏😏
safi sana anataka pesa aote nyapu fullstopHuyu binti ni shemeji yangu.
Anaomba pesa mara kwa mara, nilimsaidia kulipia kodi awamu mbili na kampani zingine ndogondogo. Sasa nilipoona anazidi kunipiga virungu nikamwomba nyapu akakataa katakata. Iliniuma sana maana ndo nilikuwa nimetoka kumlipia kodi kama wiki moja hivi iliyopita halafu anakataa kisa mimi shemeji yake.
Sasa nikamwambia sasa kila mmoja akale anakopeleka mboga. Nikawa namsaidia kidogo kidogo tu ile kibinadamu (misaada muhimu tu) bila nia yoyote ya kimapenzi.
Jana kanitext sms ya kuomba pesa ya kodi.
Je, nimjibu jibu moja litakalomuumiza kama nilivyoumia Mimi kipindi kile, au nikae kimya nikimaanisha HAPANA?
View attachment 2599833
Omba nyapuHuyu binti ni shemeji yangu.
Anaomba pesa mara kwa mara, nilimsaidia kulipia kodi awamu mbili na kampani zingine ndogondogo. Sasa nilipoona anazidi kunipiga virungu nikamwomba nyapu akakataa katakata. Iliniuma sana maana ndo nilikuwa nimetoka kumlipia kodi kama wiki moja hivi iliyopita halafu anakataa kisa mimi shemeji yake.
Sasa nikamwambia sasa kila mmoja akale anakopeleka mboga. Nikawa namsaidia kidogo kidogo tu ile kibinadamu (misaada muhimu tu) bila nia yoyote ya kimapenzi.
Jana kanitext sms ya kuomba pesa ya kodi.
Je, nimjibu jibu moja litakalomuumiza kama nilivyoumia Mimi kipindi kile, au nikae kimya nikimaanisha HAPANA?
View attachment 2599833
Shemeji yako anakuomba hela, kaka yako au rafiki yako anaembinua binua hampi hela?Huyu binti ni shemeji yangu.
Anaomba pesa mara kwa mara, nilimsaidia kulipia kodi awamu mbili na kampani zingine ndogondogo. Sasa nilipoona anazidi kunipiga virungu nikamwomba nyapu akakataa katakata. Iliniuma sana maana ndo nilikuwa nimetoka kumlipia kodi kama wiki moja hivi iliyopita halafu anakataa kisa mimi shemeji yake.
Sasa nikamwambia sasa kila mmoja akale anakopeleka mboga. Nikawa namsaidia kidogo kidogo tu ile kibinadamu (misaada muhimu tu) bila nia yoyote ya kimapenzi. Jana kanitext sms ya kuomba pesa ya kodi.
Je, nimjibu jibu moja litakalomuumiza kama nilivyoumia Mimi kipindi kile, au nikae kimya nikimaanisha HAPANA?
View attachment 2599833
Mambo hayoHapo kukubali ombi lako jiomgeze hawezi kumwambia direct kula mzigo mpe kodi
Nimemjibu kuwa sina pesa kachokaKosa lako la kubwa ni kumuomba mzigo shemeji.
Mashem hua hatuwaombi mzigo bali tunawawekea tu mazingira na kujikuta tayari tumeshakulana kimasihara.
AiseeKosa lako la kubwa ni kumuomba mzigo shemeji.
Mashem hua hatuwaombi mzigo bali tunawawekea tu mazingira na kujikuta tayari tumeshakulana kimasihara.
Mnapiga hata bia moja moja halafu mnapitiwa na shetani [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kosa lako la kubwa ni kumuomba mzigo shemeji.
Mashem hua hatuwaombi mzigo bali tunawawekea tu mazingira na kujikuta tayari tumeshakulana kimasihara.
Tuanzie hapaNi shemeji yako wa namna gani?.
Umemuoa dada ake?.
Pia wakionana uso kwa uso, anaweza rekodiwa vile vile[emoji2]Wewe ni mshamba. Achana na mambo ya messages kwenye ishu hizo. Huo ni ushahidi baadae utakaokushushia heshima yako. Hata simu usipige kuongea mambo hayo kwasababu kuna kurekodiwa. Mpigie mwambie muonane. Mkionana ndo mwambie uso kwa uso kwamba unataka mbususu.
Hiyo afadhali na pia huenda pia akashindwa kurekodi.. huwa ni mara chache kutokea ila hii ya msg ni uzembe mnoPia wakionana uso kwa uso, anaweza rekodiwa vile vile[emoji2]
Mara nyingi demu akikukatalia shukuru Mungu, usikute ana ngoma ama maradhi mengine ya zinaa. Kata mawasiliano naye, atakupotezea muda tu. Usiwape nafasi mademu waombaji kama wagogo, hawanaga ishu hata kidogo.Huyu binti ni shemeji yangu.
Anaomba pesa mara kwa mara, nilimsaidia kulipia kodi awamu mbili na kampani zingine ndogondogo. Sasa nilipoona anazidi kunipiga virungu nikamwomba nyapu akakataa katakata. Iliniuma sana maana ndo nilikuwa nimetoka kumlipia kodi kama wiki moja hivi iliyopita halafu anakataa kisa mimi shemeji yake.
Sasa nikamwambia sasa kila mmoja akale anakopeleka mboga. Nikawa namsaidia kidogo kidogo tu ile kibinadamu (misaada muhimu tu) bila nia yoyote ya kimapenzi. Jana kanitext sms ya kuomba pesa ya kodi.
Je, nimjibu jibu moja litakalomuumiza kama nilivyoumia Mimi kipindi kile, au nikae kimya nikimaanisha HAPANA?
View attachment 2599833
Nashukuru sana kwa ushauriMara nyingi demu akikukatalia shukuru Mungu, usikute ana ngoma ama maradhi mengine ya zinaa. Kata mawasiliano naye, atakupotezea muda tu. Usiwape nafasi mademu waombaji kama wagogo, hawanaga ishu hata kidogo.