Amekuja tena kuomba pesa. Wajuba naomba ushauri wenu

Namna gani baharia anapaisha hapa la haulaa? Mkuu kosa la kwanza mambo nyeti kama hayo usitumie sms wala kupiga tengeneza mazingura ya kuonana tena na penyewe usitume sms na iwe sehem ambayo haitii mashaka kisha eleza jambo lako
P
 
Ktk umani unambiwa utaulizwa hivi?

Mali yako umeipataje?

Na uliitumiaje??.
Ukimsaidi mtu ukadai malipo ukiliowa imekwisha hiyo, ukimsaidia mtu alafu , usitangaze wala kudai malipo ni bora sananaaaa.


Zinaaa sio nzuli ktk jamiii lkn pia haimpendezi mungu.

Kuna kisa fulani ktk moja ya kutabu cha dini kinachohusu vijana 3 waliokuwa safalini kisha wakapatwa na mtihani , sasa kila mmoja aliamua asimulie wema aliowai kuufanya huwenda watapata nafuuu.

Mmoja kali ya wale akasema hivi. Kuna bint alikuja kuitaji msaada kwangu. Nikamwambia sitakusaidia mpaka tufanye ngono, yule binti kwa kuwa alikuwa na shida kweli akakubali akavua nguo na kumwambia jamaa afanye anachotaka, jamaa akaingiwa na hutuma akamsaidia bint pasi na kumgusa.


Njia rahisi ni hivi mkopeshe shemejio pesa mwambie akulipe mwisho wa mwezi , mpe nusu ya kodi. Hii itafanya asikuombe tena pesa kwa maaana akitaka kukuomba pesa unamwambia lipa ile ya mwanzo nikukopeshe nyingine
 
HANA wazazi?
 
Huyo kashakufanya kiteka uchumi chake, anakutumia tu Wala Hana malengo na wewe.

Piga chini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…