Amemaliza masters ya udaktari hivi karibuni, ameanza kuchanganyikiwa, kumbe anavuta bangi

Watu mnarogana na mnapeana mastress ya ukoo afu mnakuja kusingizia bangi etu tuache uchizi
Acheni kuroga watoto wa watu
Acheni mambo ya mamila na desturi” kwenye ukoo wetu ukivuta bangi unakua chizi” ma mira yakijinga
Acheni kupeana laana

Watu tunatumia na mtaani tuna heshimika na bado tunamiliki pesa sio ela pesa na atujawai kuchizi wala kuokota makopo
 
Binti wa aina hii udakitari wake kaupata kwa kugawa mbususu!
 
ALCOHOL PERSISTENCE.au
ALCOHOL RESISTANCE.
In that case inabidi uulize kama baba au mama ni walevi kwa sababu hiyo inapunguza ALCOHOL RESISTANCE ya mtoto.
Nilimaanisha alcohol persistence/ persistent nikimaanisha ULE USTAIMILIVU WA MTU KUWEZA KUHIMILI/ KUMUDU POMBE NA KUITAWALA..

Pia ni ule uwezo wa mtu kuendelea kunywa CHUPA nyingine baada ya kua amelewa na akawa na kumbukumbu na mwenendo mzur na asifanye mambo ya ajabu/ aibu

MWINGINE CHUPA MBILI, TANO,!KUMI wengine mpaka mzinga mkubwa wa konyagi na anakua normal..
 
Aise
 
Kuwa na akili ya kukariri ya darasani Haina maana kwamba mtu ana akili ya kujitambus yaani intrapersonal intelligence au social intelligence.

Hakuna namba huyo haifai hata kuwa daktari ataua wagonjwa aendeles na Bangi hizo hizo.
 
Ila wewe jamaa unaonekana una hamasisha bangi.

Kwa kuwa wewe unatumia unaelezea kama ni jambo
zuri sana.
Nyinyi mmedanganywa Sana Bangi mmekatazwa na kutishwa mnaamini...

Bangi ina fungua lock 🔐 nyingi kwenye ubongo 🧠 na unakua na uwezo mkubwa wa kutenda/ uelewa / utendaji kazi wa mwili na akili.

Mataifa makubwa yaliyo fanikiwaa na yenye ukwasinie. Marekani wamehalalisha kitambo na ndio maana ni super power...ubongo wa binadamu una uwezo mkubwa Sanaa...Ila kwa uzembe uzembe wa sisi waafrika/ mtu mweusi tumepotoshwa kuhusu bange inasemekana hata hayati JPM alikuaga anavuta alipo kuaga mwalimu sengerema secondary
 
Huwez kuacha kutumia hela unazotafuta kwaajili ya kazi hiyo halafu usizitumie mjomba. Watoto wasomeshwe kwa gharama zozote ikitokea bahat mbaya sawa lakin ulitimiza wajibu. Unafikiri huko ulaya marekan au Australia hakuna hivyo sasa. We peekaboo shule tena ya kiume, mbona tumezaliwa nyumba za matope na tukatoka huko watu na unajenga ghorofa kwanini usirudie nyumba ya udongo kama unafikiri ni nzur.
 
Kwani wewe Magufuli alikuwa Mungu wako au ndio reference point yako?
sio kila alichofanya ni sahihi.

I guess wewe age yako ni around 40yrs or above ila una hama
sisha matumizi ya bangi ukiwa kama mzazi unatoa funzo gani

Faida za bangi ni chache kuiko faida yake kwa hiyo usijilinganishe

na sijui Marekani au wapi
 
🤣🤣🤣 huyo n stress ya mapenz enz ya uwischana wake alikuwa sriaz sana na kusoma sasa yaweza kuta alikuja kupenda tapeli kama mm alaf skuwa na mpango nae ndy yaliyo mkuta, ushaur muozeshen mapema
 
Hakuna English Medium inayotoa Master's ya udaktari. Soma mada uelewe.

Au unachotaka kumaanisha ni mtu aliyepata Master's ya udaktari hawezi kuwa kasoma shule za serikali, kwamba uwezo huo hazina zinatoa mabodaboda tu.
Was mabodabdoda necessary
 
Wataelewa kwa njia ngumu na yenye majuto sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…