Amemchoma Mke wake wa zamani ili afukuzwe kazi. Je, kakosea?

[emoji22][emoji22][emoji33]
 
We have to train our brain to be stronger than our emotions.
 
Hajatumia akili kwasababu huyo ni mama wa watoto wake ,vp akikwama anadhan huyo mkewe mwingine atasapoti watoto wake na Jenifer,

nadhan angemshukuru Jenifer kwasababu licha ya kusalitiwa aliendelea na maisha yake kimya ,alichotakiwa kufanya ni kumuelewa kwasababu moyo wake ulijeruhiwa
 
Sawa kabisa
 
Umekosea kumchoma mkeo kwani kumbuka mna mtoto wote
 
Kazingua mno tena ukizingatia wana mtoto. Mwanamke uliezaa nae ukimuachia chochote mwanao atafaidika. Amezingua!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…