Ameniambia niende gym nitengeneze mwili ili nimuoe

Ameniambia niende gym nitengeneze mwili ili nimuoe

Nalileta kwenu wakuu wangu
unaleta kufanyeje na ushafanywa fala?
Kwema wakuu?

Kuna binti ambaye ni mwaka mmoja sasa toka nianze kumfuatilia. Nampenda, kwanza nilitumia kiasi cha kama 1M hivi jumla kwa ajili ya kumpa kwa matumizi yake mbalimbali kama rafiki tu.

Na kwawakati uo tulikua nimarafiki yaani best friends. Nilikuwa nalipa transport bills zake, kodi japo mara moja moja, kumtoa out na rafiki zake ikwemo cousins zake, kumnunulia vitu mbali mbali n.k

Achilia ile M1 ya kwake pekee, nilishamlipia mpaka bro wake ela tra kwenye issue za biashara zake.

Sasa mpaka mwezi wa kumi mwakajana nikaamua kumuambia ukweli nampenda na ukizingatia tulikuwa karibu, ajabu aliniruka mita 100 na kusema mimi ni kama kaka yake tu na haitotokea kamwe anivulie nguo.

Moyo ulizima kwa dk kadhaa, akili iliruka kwa dk kadhaa. Sikuamini kabisa.

Nikamuambia anyaways naheshimu mtazamo wako. Nikaomba tuendelee kua marafiki akasema yes. Sasa mwaka huu mwezi wa pili nikagusia tena suala langu.

Safari hii hakuonesha upinzani sana, akaniambia yeye anapenda mwanaume mwenye kifua kipana na mrefu.

Mimi ni mrefu ila sina kifua kipana sana so nikaanza kwenda gym.

Hapa juzi tu nimegundua ana mtoto mmoja tena mkubwa tu kidogo. Tukaongea sana kwa sms na nikamsema sana, ajabu ananiambia nikimuoa basi ni sharti nikae na kulea mwanawe.

Nikakubali na hapa nipo katikati natengenzeza mwili.

Shida ni mtoto wake, yeye nampenda ila mtoto wake hana adabu na nilikua namuona kwa baadhi ya ndugu zake kabla ya kujua kua niwake.

Nipo dilema kabisa hapa. Hivi hakuna njia naeza tumia nikaishi na mke wangu pasipo kuishi na mtoto wake huyu?

Nalileta kwenu wakuu wangu
Bro huyo mwanamke ashakufanya fala na atakuendesha sana kama usipochukua hatua za makusudi kutambua thamani yako kama mwanaume!
 
Kwema wakuu?

Kuna binti ambaye ni mwaka mmoja sasa toka nianze kumfuatilia. Nampenda, kwanza nilitumia kiasi cha kama 1M hivi jumla kwa ajili ya kumpa kwa matumizi yake mbalimbali kama rafiki tu.

Na kwawakati uo tulikua nimarafiki yaani best friends. Nilikuwa nalipa transport bills zake, kodi japo mara moja moja, kumtoa out na rafiki zake ikwemo cousins zake, kumnunulia vitu mbali mbali n.k

Achilia ile M1 ya kwake pekee, nilishamlipia mpaka bro wake ela tra kwenye issue za biashara zake.

Sasa mpaka mwezi wa kumi mwakajana nikaamua kumuambia ukweli nampenda na ukizingatia tulikuwa karibu, ajabu aliniruka mita 100 na kusema mimi ni kama kaka yake tu na haitotokea kamwe anivulie nguo.

Moyo ulizima kwa dk kadhaa, akili iliruka kwa dk kadhaa. Sikuamini kabisa.

Nikamuambia anyaways naheshimu mtazamo wako. Nikaomba tuendelee kua marafiki akasema yes. Sasa mwaka huu mwezi wa pili nikagusia tena suala langu.

Safari hii hakuonesha upinzani sana, akaniambia yeye anapenda mwanaume mwenye kifua kipana na mrefu.

Mimi ni mrefu ila sina kifua kipana sana so nikaanza kwenda gym.

Hapa juzi tu nimegundua ana mtoto mmoja tena mkubwa tu kidogo. Tukaongea sana kwa sms na nikamsema sana, ajabu ananiambia nikimuoa basi ni sharti nikae na kulea mwanawe.

Nikakubali na hapa nipo katikati natengenzeza mwili.

Shida ni mtoto wake, yeye nampenda ila mtoto wake hana adabu na nilikua namuona kwa baadhi ya ndugu zake kabla ya kujua kua niwake.

Nipo dilema kabisa hapa. Hivi hakuna njia naeza tumia nikaishi na mke wangu pasipo kuishi na mtoto wake huyu?

Nalileta kwenu wakuu wangu
Unaenda kuoa bomu... Pole sana.
Siku nyingine atasema anapenda waarabu basi nawe utajichubua
 
Kwema wakuu?

Kuna binti ambaye ni mwaka mmoja sasa toka nianze kumfuatilia. Nampenda, kwanza nilitumia kiasi cha kama 1M hivi jumla kwa ajili ya kumpa kwa matumizi yake mbalimbali kama rafiki tu.

Na kwawakati uo tulikua nimarafiki yaani best friends. Nilikuwa nalipa transport bills zake, kodi japo mara moja moja, kumtoa out na rafiki zake ikwemo cousins zake, kumnunulia vitu mbali mbali n.k

Achilia ile M1 ya kwake pekee, nilishamlipia mpaka bro wake ela tra kwenye issue za biashara zake.

Sasa mpaka mwezi wa kumi mwakajana nikaamua kumuambia ukweli nampenda na ukizingatia tulikuwa karibu, ajabu aliniruka mita 100 na kusema mimi ni kama kaka yake tu na haitotokea kamwe anivulie nguo.

Moyo ulizima kwa dk kadhaa, akili iliruka kwa dk kadhaa. Sikuamini kabisa.

Nikamuambia anyaways naheshimu mtazamo wako. Nikaomba tuendelee kua marafiki akasema yes. Sasa mwaka huu mwezi wa pili nikagusia tena suala langu.

Safari hii hakuonesha upinzani sana, akaniambia yeye anapenda mwanaume mwenye kifua kipana na mrefu.

Mimi ni mrefu ila sina kifua kipana sana so nikaanza kwenda gym.

Hapa juzi tu nimegundua ana mtoto mmoja tena mkubwa tu kidogo. Tukaongea sana kwa sms na nikamsema sana, ajabu ananiambia nikimuoa basi ni sharti nikae na kulea mwanawe.

Nikakubali na hapa nipo katikati natengenzeza mwili.

Shida ni mtoto wake, yeye nampenda ila mtoto wake hana adabu na nilikua namuona kwa baadhi ya ndugu zake kabla ya kujua kua niwake.

Nipo dilema kabisa hapa. Hivi hakuna njia naeza tumia nikaishi na mke wangu pasipo kuishi na mtoto wake huyu?

Nalileta kwenu wakuu wangu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Make kwanza ncheke

Natafuts mke wa kuoa. Kwa wiki natongoza zaidi ya wanawake wa3 hadi nipate chaguo langu. Ila nikimtongoza dem nikiona anataka kukubali lazima nimtege kwa maswali ili nijue kama ana mtoto au la (sitaki kuoa mwanamke mwenye mtoto).

Sasa wewe unatumia pesa zote hizo na mwanamke mwenyewe humjui kiundani? Unazo wewe.

Kama umempenda yeye mpende na mwanae kwa hali yoyote. Tabia za mtoto unazoziona mbaya inawezekana kwa 80% ni matokeo ya kutokuish na baba. Kwahio ukiwa baba yake utazibadili japo ni ngumu sana kulea mtoto wa mwenzio. Maana ukimgusa na kibao tu mama yake anang'aka. Ndio maana mm kuoa mwanamke mwenye mtoto ni HAPANA kubwa. Awe mzuri ajuavyo anipende ajuavyo. Hapo hatujaguzia kero za baba wa mtoto.

Good luck brother [emoji120]
 
Kwanza tuanzie hapo kwenye kumhonga mtu M Yani million kweli? Na hujamtia hata mara Moja mmmh watu mna roho za kipadre kwakweli wewe sijajua labda una pesa sana ila Hawa watu Yani Mimi mpk nikupe kitu nshaonja papuchi na sio mara Moja apo ntakutoa af kumi Million ???????????? Alaf anakujibu shit aaaaaaaa kumamake sio Mimi famchezo nini.
 
Nilifikiria kwenye game akagundua huwezi, kumbe bado, achana nae, wasichana wapo wengi. M yako inaondoka kiulaini.
 
Kuna possibilities kubwa ya huyo Mwanamke kuliwa na Wanaume wenye miili ya Mazoezi.. (athletes) kijana wanawake wa namna hii huwa wanatoa mbususu kirahisi sana hasa akienda Beach ..
 
Bado atakuja kukwambia unywe dawa za kuongeza mashine ...hataki kibamia....

Na mwisho atakwambia jitahidi utafute hela za kutosha hataki mume mwenye hela za mawazo...

Upumbavu ukiuendekeza hauna stop
Ma*mae[emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom