Fendi
JF-Expert Member
- Sep 4, 2015
- 315
- 410
UNATUMIKA, FRIEND ZONE NI SET UP YA MADEMU KUMTUMIA MWANAUME ASIYE NA INTEREST NAYE.Kwema wakuu?
Kuna binti ambaye ni mwaka mmoja sasa toka nianze kumfuatilia..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UNATUMIKA, FRIEND ZONE NI SET UP YA MADEMU KUMTUMIA MWANAUME ASIYE NA INTEREST NAYE.Kwema wakuu?
Kuna binti ambaye ni mwaka mmoja sasa toka nianze kumfuatilia..
Rafiki mdangaji na nina uhakika kuna wahuni wanamla bure wenye ma body yao 😂😂😂😂😂Sijapigwa niliitoa tu km rafiki yangu
Acha ujinga kama ulikua hutaki kuambiwa ingekaa nacho moyoni mbwa kabisa,si tunaona mwanaume mwenzetu unaenda chukua shamba la mgogoro halafu tukuchekee,kuna siku itakuja utuambie uyo dem anataka ule mavi yakeJamani tuheshimiane plz. Nimeomba ushauri hasa matusi ya nini? Ndio nampenda. Tuache ujinga
Kama kifua kipana anataka wawe nacho watoto toka kwa baba yako, ndo keshakikosa hicho..!!Kwema wakuu?
Kuna binti ambaye ni mwaka mmoja sasa toka nianze kumfuatilia. Nampenda, kwanza nilitumia kiasi cha kama 1M hivi jumla kwa ajili ya kumpa kwa matumizi yake mbalimbali kama rafiki tu.
Na kwawakati uo tulikua nimarafiki yaani best friends. Nilikuwa nalipa transport bills zake, kodi japo mara moja moja, kumtoa out na rafiki zake ikwemo cousins zake, kumnunulia vitu mbali mbali n.k
Achilia ile M1 ya kwake pekee, nilishamlipia mpaka bro wake ela tra kwenye issue za biashara zake.
Sasa mpaka mwezi wa kumi mwakajana nikaamua kumuambia ukweli nampenda na ukizingatia tulikuwa karibu, ajabu aliniruka mita 100 na kusema mimi ni kama kaka yake tu na haitotokea kamwe anivulie nguo.
Moyo ulizima kwa dk kadhaa, akili iliruka kwa dk kadhaa. Sikuamini kabisa.
Nikamuambia anyaways naheshimu mtazamo wako. Nikaomba tuendelee kua marafiki akasema yes. Sasa mwaka huu mwezi wa pili nikagusia tena suala langu.
Safari hii hakuonesha upinzani sana, akaniambia yeye anapenda mwanaume mwenye kifua kipana na mrefu.
Mimi ni mrefu ila sina kifua kipana sana so nikaanza kwenda gym.
Hapa juzi tu nimegundua ana mtoto mmoja tena mkubwa tu kidogo. Tukaongea sana kwa sms na nikamsema sana, ajabu ananiambia nikimuoa basi ni sharti nikae na kulea mwanawe.
Nikakubali na hapa nipo katikati natengenzeza mwili.
Shida ni mtoto wake, yeye nampenda ila mtoto wake hana adabu na nilikua namuona kwa baadhi ya ndugu zake kabla ya kujua kua niwake.
Nipo dilema kabisa hapa. Hivi hakuna njia naeza tumia nikaishi na mke wangu pasipo kuishi na mtoto wake huyu?
Nalileta kwenu wakuu wangu
Dogo senge sana hili 😡😤😤😡Acha ujinga kama ulikua hutaki kuambiwa ingekaa nacho moyoni mbwa kabisa,si tunaona mwanaume mwenzetu unaenda chukua shamba la mgogoro halafu tukuchekee,kuna siku itakuja utuambie uyo dem anataka ule mavi yake
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Unaenda kuoa bomu... Pole sana.
Siku nyingine atasema anapenda waarabu basi nawe utajichubua
Tatizo unataka kuambiwa unachopenda kukisikia..!! Ushauri haupo hivyo..!! Kama unataka kuambiwa unachopenda kukisikia, basi jiambie mwenyewe tu..!! Ukilileta humu lazima ule spana.Jamani tuheshimiane plz. Nimeomba ushauri hasa matusi ya nini? Ndio nampenda. Tuache ujinga
[emoji817]ACHA UFALA...UNATUMIKA..
ACHA UFALA...UNATUMIKA...FRIEND ZONE NI SET UP YA MADEMU KUMTUMIA MWANAUME ASIYE NA INTEREST NAYE