Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 14,834
- 32,522
Kashapigwa hiyo M [emoji3]Nilifikiria kwenye game akagundua huwezi, kumbe bado, achana nae, wasichana wapo wengi. M yako inaondoka kiulaini.
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kashapigwa hiyo M [emoji3]Nilifikiria kwenye game akagundua huwezi, kumbe bado, achana nae, wasichana wapo wengi. M yako inaondoka kiulaini.
tabu yoteee hiyo ya nini sasa khaa, huyu jamaa sijapata kuonaFanya hivi, ukiwa naye tembea kifua mbele kama umepigwa ngumi ya mgongo.
Sijapigwa niliitoa tu km rafiki yangu
naombeni kiboko nimtandike huyu kilaza
We ni zoba ungekua karibu ningekupiga mabanziKwema wakuu?
Kuna binti ambaye ni mwaka mmoja sasa toka nianze kumfuatilia. Nampenda, kwanza nilitumia kiasi cha kama 1M hivi jumla kwa ajili ya kumpa kwa matumizi yake mbalimbali kama rafiki tu....
JF siku hizi imekuwa ya hovyo sana.Kwema wakuu?
Kuna binti ambaye ni mwaka mmoja sasa toka nianze kumfuatilia. Nampenda, kwanza nilitumia kiasi cha kama 1M hivi jumla kwa ajili ya kumpa kwa matumizi yake mbalimbali kama rafiki tu...
Wanaume kama wewe ndio naanza kuwasikia leoKwema wakuu?
Kuna binti ambaye ni mwaka mmoja sasa toka nianze kumfuatilia. Nampenda, kwanza nilitumia kiasi cha kama 1M hivi jumla kwa ajili ya kumpa kwa matumizi yake mbalimbali kama rafiki tu...
Naona wew ni DeepPond wa 2 😂😂😁😁😁Kwema wakuu?
Kuna binti ambaye ni mwaka mmoja sasa toka nianze kumfuatilia. Nampenda, kwanza nilitumia kiasi cha kama 1M hivi jumla kwa ajili ya kumpa kwa matumizi yake mbalimbali kama rafiki tu...
Bora ww umesema mtoa mada zuzu kweli 😁ukiona mwanamke anakupa conditions huyo hakupendiii, akili kichwani mwako
Wasichana wengi wana akili kuliko vijana wa kiume huo ndiyo ukweli. Anakwambia sio kwasababu ya kupungua pekee ni kwasababu anataka kubadilisha tabia yako na mazoezi yake sehemu ya maisha.Kwema wakuu?
Kuna binti ambaye ni mwaka mmoja sasa toka nianze kumfuatilia. Nampenda, kwanza nilitumia kiasi cha kama 1M hivi jumla kwa ajili ya kumpa kwa matumizi yake mbalimbali kama rafiki tu...
Kwani umeshikiliwa mapumbu endelea kumpenda tuJamani tuheshimiane plz. Nimeomba ushauri hasa matusi ya nini? Ndio nampenda. Tuache ujinga