Ameniambia niende gym nitengeneze mwili ili nimuoe

Kwahiyo ulikua unamhudumia hadi ndugu zake?yani kaka yake anakujaje mbona sielewi dah.kuna watu pesa zenu zinahangaika sana.

Any way achana na huyo mara moja,utakuja kujuta mbele ya safari
 
Nalileta kwenu wakuu wangu
unaleta kufanyeje na ushafanywa fala?
Bro huyo mwanamke ashakufanya fala na atakuendesha sana kama usipochukua hatua za makusudi kutambua thamani yako kama mwanaume!
 
Unaenda kuoa bomu... Pole sana.
Siku nyingine atasema anapenda waarabu basi nawe utajichubua
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Make kwanza ncheke

Natafuts mke wa kuoa. Kwa wiki natongoza zaidi ya wanawake wa3 hadi nipate chaguo langu. Ila nikimtongoza dem nikiona anataka kukubali lazima nimtege kwa maswali ili nijue kama ana mtoto au la (sitaki kuoa mwanamke mwenye mtoto).

Sasa wewe unatumia pesa zote hizo na mwanamke mwenyewe humjui kiundani? Unazo wewe.

Kama umempenda yeye mpende na mwanae kwa hali yoyote. Tabia za mtoto unazoziona mbaya inawezekana kwa 80% ni matokeo ya kutokuish na baba. Kwahio ukiwa baba yake utazibadili japo ni ngumu sana kulea mtoto wa mwenzio. Maana ukimgusa na kibao tu mama yake anang'aka. Ndio maana mm kuoa mwanamke mwenye mtoto ni HAPANA kubwa. Awe mzuri ajuavyo anipende ajuavyo. Hapo hatujaguzia kero za baba wa mtoto.

Good luck brother [emoji120]
 
Kwanza tuanzie hapo kwenye kumhonga mtu M Yani million kweli? Na hujamtia hata mara Moja mmmh watu mna roho za kipadre kwakweli wewe sijajua labda una pesa sana ila Hawa watu Yani Mimi mpk nikupe kitu nshaonja papuchi na sio mara Moja apo ntakutoa af kumi Million ???????????? Alaf anakujibu shit aaaaaaaa kumamake sio Mimi famchezo nini.
 
Nilifikiria kwenye game akagundua huwezi, kumbe bado, achana nae, wasichana wapo wengi. M yako inaondoka kiulaini.
 
Kuna possibilities kubwa ya huyo Mwanamke kuliwa na Wanaume wenye miili ya Mazoezi.. (athletes) kijana wanawake wa namna hii huwa wanatoa mbususu kirahisi sana hasa akienda Beach ..
 
Bado atakuja kukwambia unywe dawa za kuongeza mashine ...hataki kibamia....

Na mwisho atakwambia jitahidi utafute hela za kutosha hataki mume mwenye hela za mawazo...

Upumbavu ukiuendekeza hauna stop
Ma*mae[emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…