Ameniambia niende gym nitengeneze mwili ili nimuoe

Hata wewe napata mashaka sana na maswali yako ya siyo na kichwa Wala miguu, Nani kakudanganya jf ni sehemu ya kukushauri nakati mlipokuwa mnapeana utamu mlikuwa mnatuona malofa ambao hatujaowa. Kamwombe ushauri baba ako bwege we
 
Sasa wewe kichwani kungekuwa na kitu ungeomba ushauri wa mambo ya bed room. Tuache tuko zaidi huko kwa Uhuru Kenyatta
 
Mkuu, kama umefanikiwa kuonja K yake, ikakunogea, oa. Mengine ni story za vijiweni tu... Mtt atapelekwa kwa bibi au boarding akalelewe huko.
 
Kama kifua kipana anataka wawe nacho watoto toka kwa baba yako, ndo keshakikosa hicho..!!
 
Acha ujinga kama ulikua hutaki kuambiwa ingekaa nacho moyoni mbwa kabisa,si tunaona mwanaume mwenzetu unaenda chukua shamba la mgogoro halafu tukuchekee,kuna siku itakuja utuambie uyo dem anataka ule mavi yake
Dogo senge sana hili 😡😤😤😡
 
Hmmh sikuwahi kujua kama kuna wanaume wenzangu wanapelekwa kiasi hiki huko duniani, yani hii yote ni nini unahangakia?

Jiulize kama yule mwenzako aliyemzalisha alitumia nguvu kubwa kiasi hicho, kisha ujione ulivyo mjinga.

Kule mtoto sio dhambi, lakini kwanini aliweke kama sharti la kuwa nae kimahusiano, aliyemzalisha yupo wapi?

Mwanamke cheap huyo, anakunyima usingizi ila kuna wana wanapiga ua galagaza.

[emoji23][emoji23]
 
Mkuu mwanamke asikilizwi mkuu....

Mwanamke anakupima kujiamini kwako..ukienda tuu gym anajua hujiamini hivyo anakupiga chini.. usithubutu msikiliza mwanamke , wewe mwitikie tuu ila usitekeleze na hiyo ndio mbinu ili asijue humsikilizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…