Ameniambia nikifika Tanzania atanipeleka haya maeneo. Nitafurahi Sana na ni Raha kuu

We fala.si ungetumia huu muda kusoma mapendekezo ya katiba ya warioba ingesaidia sana? Anyway.... Mambo mengine mnataka tu tupigwe ban. Hicho kiswahili cha wapi? Wewe kweli hupafahamu Vingunguti? Kwa mpalange? Manzese, Temeke, Buguruni kwa Mnyamani na Tandale kwa Mtogole?
 
Bill Lugano ktk uboraa wakee, njoo uwekeze kwenye Bandarii, maana DP weldi wanasema wazawa hatuwezi, akati wee upoo, usituangushe puliiiiizzzz

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Daaaah.... Na huku upo? Dada unaitwa nani jina halisi?
 
Shule zifunvue duuuu maana wauza mkaa na boda ni hatariii
 
Bill Lugano ktk uboraa wakee, njoo uwekeze kwenye Bandarii, maana DP weldi wanasema wazawa hatuwezi, akati wee upoo, usituangushe puliiiiizzzz

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hivi nilitaka nikuite [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kafanya nimemkumbuka Kidukulilo alikuwa na misifa km hii
 
Bonyeza # kupata vichekesho zaidi vya Umbambamba😂
 
Jamaa fala sana, huenda anauza miguu na utumbo wa kuku manzese huku akifanya haya maigizo

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bro hivi upo?!!!
 
Bill Lugano huwa kuna kipindi anasahau hata kuandika kiswahili kuishia kuandika kama muhindi😂😂😂😂.

Nahisi utajiri wake unabadilisha lugha kulingana na siku husika😂😂😂
Secretary ndio huwa anaedit alichoandika. Yeye hajui kiswahili vizuri
 
Hivi nilitaka nikuite [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kafanya nimemkumbuka Kidukulilo alikuwa na misifa km hii
Ndo yeye, alibadili ID, baada ya mtu kutumia jina lake twiraaaa, mbna aliweka wazii. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndo yeye, alibadili ID, baada ya mtu kutumia jina lake twiraaaa, mbna aliweka wazii. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bwege huyu anasema mtu alitumia jina lake kwenda kuombea mkopo mkubwa. Wanasheria wake wakamshauri abadilishe jina
 
Muunganiko wa confidence na ujinga ni bomu baya kuliko nyukilia ya iran
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…