Chupayamaji
JF-Expert Member
- Sep 19, 2017
- 5,784
- 13,642
Hivi Baba Jose kapatikana??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uyu member wa JF ameniahidi kuni WALK maeneo NEW apa Dar es salaam pindi niki arrive Tanzania. Anasema atanipeleka
1. VINGUTINGUTIH
2.KWA MUPALANGEY
3.BOUGOROON QUA MUNIAMAN
4. TAN DALE QUA MUTOGLE
5. TEAMAKEY
6. MAN THEY SAY
7. KEY MARAY
sijui kama hizo spelling nimepatia coz tulikuwa tunaongea kwa phone. Kuna vitu alioba nimuletee from Italy. So akanipigia phone kunitajia mahitaji yake.
Katika maogezi aliniuliza Dar nafahamu wapi na wapi. Nikamention ninapoishi Oysterbay, Posta, Upanga, Mlimani City, na makazi ya watu wa chini Sinzer, Kijitonyamer, Mwengay.
Akaniambia kuna makazi mupya kabisa ndo akawa anataja. Akasema tanipeleka kwa Mupalangey nitafurahi sana ni muzuri huko sana. Coz aliniuliza kama nimewahi enda na mutu. Nikamwambia sijawahi hata mara moja.
Nimeangalia kwenye Ramani hizo eneo sijawona kabiser. Sijui shida iko nini. Coz it should be there. At least niwone kabler sijaweza enda physically. But anyway i trust the lady nitaenda naye aniwoneshe hiyo eneos.
AM SORRY LEO SECRETARY WAGU HAYUPO NAMI. SO NIMEADIKA MENYEWE KISWAHILI YAGU SI GOOD SANA. HUWA SIKU YOTE YEYE NDO ANA EDIT. SASA NIMEMUWACHA PARIS FRANCE NIKAKIMBIA KUJA ITALY MARA MOYA KUNUNUA FITU YA UYO MEMBER WA JF. MUNI EXCUSE TU LEWO.
😆😆😆MAN THEY SAY
Uyu member wa JF ameniahidi kuni WALK maeneo NEW apa Dar es salaam pindi niki arrive Tanzania. Anasema atanipeleka
1. VINGUTINGUTIH
2.KWA MUPALANGEY
3.BOUGOROON QUA MUNIAMAN
4. TAN DALE QUA MUTOGLE
5. TEAMAKEY
6. MAN THEY SAY
7. KEY MARAY
sijui kama hizo spelling nimepatia coz tulikuwa tunaongea kwa phone. Kuna vitu alioba nimuletee from Italy. So akanipigia phone kunitajia mahitaji yake.
Katika maogezi aliniuliza Dar nafahamu wapi na wapi. Nikamention ninapoishi Oysterbay, Posta, Upanga, Mlimani City, na makazi ya watu wa chini Sinzer, Kijitonyamer, Mwengay.
Akaniambia kuna makazi mupya kabisa ndo akawa anataja. Akasema tanipeleka kwa Mupalangey nitafurahi sana ni muzuri huko sana. Coz aliniuliza kama nimewahi enda na mutu. Nikamwambia sijawahi hata mara moja.
Nimeangalia kwenye Ramani hizo eneo sijawona kabiser. Sijui shida iko nini. Coz it should be there. At least niwone kabler sijaweza enda physically. But anyway i trust the lady nitaenda naye aniwoneshe hiyo eneos.
AM SORRY LEO SECRETARY WAGU HAYUPO NAMI. SO NIMEADIKA MENYEWE KISWAHILI YAGU SI GOOD SANA. HUWA SIKU YOTE YEYE NDO ANA EDIT. SASA NIMEMUWACHA PARIS FRANCE NIKAKIMBIA KUJA ITALY MARA MOYA KUNUNUA FITU YA UYO MEMBER WA JF. MUNI EXCUSE TU LEWO.
[emoji24][emoji24][emoji24] usinikumbushee Warumii,Kumbee!!! shenzy zake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu nimemmiss binamu Warumi [emoji24][emoji24]
Umbea wa mjini alikuwa anatumwagia km wote dah!! RIP Warumi
[emoji24][emoji24][emoji24] usinikumbushee Warumii,
Naumia mnoo, kila nikikumbuka.
Lara 1 yuko YouTube huko. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Binamu [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Na lala 1 sijui yuko wapi KLM na story zake nilikuwa nazipenda aiseee [emoji23][emoji23]
hata mara moja
Naona Mkongo na Mnyakyusa ndio ilivunjikia hapa.ITALY MARA MOYA
Lara 1 yuko YouTube huko. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukiwa The Man say Mimi ninapatikana hapa hapa mtaa unaitwa kwa Mfugambwa🐕 uni PM tu 😹😹😹Mkienda Man The Say Manzese mnipitie hapa kwa Munyamani
Andika Lara 1Wewe usiniambie ebu nipe jina la channel yake
Andika Lara 1
[emoji23][emoji23]Nakukubali mkuu ila inaonesha unamaisha magumu mno.
Pole sana, bwana akutie nguvu
Japo alikuwa shoga[emoji24][emoji24][emoji24] usinikumbushee Warumii,
Naumia mnoo, kila nikikumbuka.