Ulitakiwa umshauri mwenzio amrudishe binti wa watu kwao mpaka pale atakapokuwa tayari kuoa . Binti hataki uzinziMTEGO!!! MTEGO!! MTEGO SHTUKA
ndoa anapanga mwanaume sio mwanamke
Ulitakiwa umshauri mwenzio amrudishe binti wa watu kwao mpaka pale atakapokuwa tayari kuoa . Binti hataki uzinzi
Hawawezi kumshauri vizuri lakini hai-make sense mtu umekaa nae miaka 3 anakushauri mfunge ndoa kihalali unasita unaona ni mtego.Kikosi cha kataa ndoa ndio wamshauri vizuri kwa unavodhani?
Ushauri wa kwanza wote mnatakiwa mjutie na mtubie kwa muda wote mliokuwa mnaishi kinyumba bila ndoa.Habarini
Nimeishi na uyu bint sasa ni miaka 3 . Amekomalia sana ndoa ramadhani hii kasema lazima tufunge ndo
Wote sisi ni waislam...
Atakosaje Cha kujibu. Si alikuwa Kwa jamaa Wana pasha viporo Kila uchwao Kwa miaka hiyo.We kumbe ni Muislam alafu unaishi na mwanamke (sio mke) kinyumba na bado unashauriwa na mwenzio msiendelee kuzini wewe unashupaza shingo kuja kwenye mitandao ya kijamii kuomba ushauri. Ebu timiza matakwa ya dini yako, km hutaki muache huyo mtoto wa watu usiendelee kumtia matatizoni siku ya kiama akakosa Cha kujibu.
miaka mitatu ndo leo akomalie ndoa asingekuwa anataka uzinzi ndani ya mwaka mmoja angekomalia ndoa.inaonesha wote wazinzi anaekomalia ndoa na anaekataa ndoaUlitakiwa umshauri mwenzio amrudishe binti wa watu kwao mpaka pale atakapokuwa tayari kuoa . Binti hataki uzinzi
Hatakii uzinzi lakini bado anazinzika naye.....Ulitakiwa umshauri mwenzio amrudishe binti wa watu kwao mpaka pale atakapokuwa tayari kuoa . Binti hataki uzinzi
Kwahiyo kama miaka 3 imepita hatakiwi kukumbushia? Waendelee kuishi hivyo hivyo wasirekebishe?miaka mitatu ndo leo akomalie ndoa asingekuwa anataka uzinzi ndani ya mwaka mmoja angekomalia ndoa.inaonesha wote wazinzi anaekomalia ndoa na anaekataa ndoa
Ndo anataka kurekebisha. Sijaona tatizoHatakii uzinzi lakini bado anazinzika naye.....
Binti yuko sahihiNdo anataka kurekebisha. Sijaona tatizo
Asimpe sasa jamaa odoidi mpaka afunge ndoa....Ndo anataka kurekebisha. Sijaona tatizo