ITR
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 6,096
- 16,390
Mpaka hapo huna sifa za kuitwa muislam.
Ndani ya Uislam ni kosa kubwa mbele ya mwenyezi mungu kuishi na mwanamke kinyumba ,yaani kiufupi mtu yeyote anaye jiita muislam hatakiwi kabisa kumuweka mtoto wa watu kinyumba na sisitiza haifai kabisa.
Alafu na mabinti ya siku hizi ni mapumbavu sijui ni kwa nn?
Hivi unaanzaje kuishi kwa mwanaume bila idhini ya wazazi wako kama sio kujishusha thamani na kuonesha dharau iliyo pitiliza dhidi ya wazazi wako walio kulea?
Mwaume atakaye jua thamani yako ni yule aliye kufuata kwa wazazi wako au walezi wako na akakutolea posa na mahali tofauti na hapo atakuwa anakuchukulia kama kahaba na mpumbavu fulani tu sema hatokuambia kwa sababu anakutumia kutimiza mahitaji yake ya mwili akisha kuchoka atakufukuza kama mbwa na hutokuwa na uwezo wa kumfanya chochote.
Mabinti jipeni thamani mmekuwa na akili za kipuuzi kabisa.
Ndani ya Uislam ni kosa kubwa mbele ya mwenyezi mungu kuishi na mwanamke kinyumba ,yaani kiufupi mtu yeyote anaye jiita muislam hatakiwi kabisa kumuweka mtoto wa watu kinyumba na sisitiza haifai kabisa.
Alafu na mabinti ya siku hizi ni mapumbavu sijui ni kwa nn?
Hivi unaanzaje kuishi kwa mwanaume bila idhini ya wazazi wako kama sio kujishusha thamani na kuonesha dharau iliyo pitiliza dhidi ya wazazi wako walio kulea?
Mwaume atakaye jua thamani yako ni yule aliye kufuata kwa wazazi wako au walezi wako na akakutolea posa na mahali tofauti na hapo atakuwa anakuchukulia kama kahaba na mpumbavu fulani tu sema hatokuambia kwa sababu anakutumia kutimiza mahitaji yake ya mwili akisha kuchoka atakufukuza kama mbwa na hutokuwa na uwezo wa kumfanya chochote.
Mabinti jipeni thamani mmekuwa na akili za kipuuzi kabisa.