we kaka ndoa lazima kuwepo walii wa pande zote mbili na mahari labda kama binti alishaolewa kabla hio iwe ndoa ya pili ruksa unamuoa kwa ruksa yake unaoa juu juu idhini atakupa nani??
we kaka ndoa lazima kuwepo walii wa pande zote mbili na mahari labda kama binti alishaolewa kabla hio iwe ndoa ya pili ruksa unamuoa kwa ruksa yake unaoa juu juu idhini atakupa nani??