Ameniambia tufunge ndoa kabla ya Ramadhani

Amekubali kwa mkopo
Taratibu za ki ustaaz nipeni
we kaka ndoa lazima kuwepo walii wa pande zote mbili na mahari labda kama binti alishaolewa kabla hio iwe ndoa ya pili ruksa unamuoa kwa ruksa yake unaoa juu juu idhini atakupa nani??
 
we kaka ndoa lazima kuwepo walii wa pande zote mbili na mahari labda kama binti alishaolewa kabla hio iwe ndoa ya pili ruksa unamuoa kwa ruksa yake unaoa juu juu idhini atakupa nani??
Yes alishawah kuolewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…