Yaani hako kaparagraph ni karefu?. Vijana wa siku hizi,walianza uvivu kwenye kulima. Utasoma kitabu kweli wewe?.Duh ulishuka Aya ndefu kweli na uliandika kwa hasira sana sana Mzee Baba! Relax! Angeomba Kodi ya nyumba sijui ungesemaje
Acha kujieleza sana mkuu.Huyu dada siku ya kwanza nimemtoa out nlimwona tu alivyokuwa na ushamba. Dada mzuri wa sura na umbo. Lakini kichwani ana ushamba flani. Mtu mmeonana jana leo anakutumia msg ana njaa... Na anafanya kazi.
Huu ni upumbavu wala si ujanja. Wanawake wengi hawajielewi. Binafsi sipendi mtu anayetangaza shida zake kwangu. Huyu dada alianza kunitoa hamu mapema sana. Nikawa hata nikikaa naye sijisikii hamu. ila nimemchana liwe funzo kwake na wenzie.
View attachment 2332307
Jamaa ni mshamba..Sio kwamba nakupinga mtoa mada,
Bali vitu Vingine Wanaume tujiongeze,
Tuache kujitia aibu ndogo ndogo Kama hizi
Kizinga Cha elfu 10 sio Cha Kuna kuanzishia Uzi,Tena kwa HEADING ya kutishia usalama wa nguvu zako za kiume.
Nikuulize mtoa mada,
Kwani huyo mdada Lengo lako lilikua kumuoa au utelezi wake?
Wanaume tujifunze kila na vipofu,
Kama Lengo lako Ni utelezi, Sioni tatizo akikupiga kizinga kidg kugharamia uchafuzi (usafi wa mazingira)
Tena heri uyo wako,
kaomba Ela ndogo ambayo naamini Kama uko serious unataka utelezi wake sio swala la kujiuliza Mara mbili.
muongo hakai kwao anakaa na bwana akeUnyumba mtu anakaa kwao unatoka wapi huo unyumba?
Kwa miandiko iyo ya xaw,mp, pign n.k halafu upo busy kabisa kutushahuri wanaume tuige mfano wako. Mimi hapa kwa uzoefu wangu uyo binti hatokuja na mzigo hupewi.Kuna mwanamke huwa ananitafta anapokua anashida zake, na Mimi always najua kula na kipofu.
Na sheria ya mwituni sikuzote inajulikana[emoji116]
"Ukitaka kula, ukubali nawewe kuliwa kidg"
Jion ya leo nategemea tukutane tukamilishe muamalaView attachment 2332332View attachment 2332334View attachment 2332335View attachment 2332336
Kwanza anavyoandika tu utajua ni wa namna gani loh. Shida sana sisi wanawakeMtu anavua chupi kwa sababu ya elfu 7 heeeee[emoji23][emoji23][emoji23]
Nyie kuna wanawake wanateseka sana
Jmn si umpe tu bila kumla…
Yaani huyo ana shida Sanaa amekwama ila daah tunaji sacrifice sana kwenye haya maisha [emoji24]
Tsh 10,000 tu inaonekana ushakula mbususu ndo maana ufid q mwingi😀😀Duh ulishuka Aya ndefu kweli na uliandika kwa hasira sana sana Mzee Baba! Relax! Angeomba Kodi ya nyumba sijui ungesemaje
Aaah wapi,Mtu anavua chupi kwa sababu ya elfu 7 heeeee[emoji23][emoji23][emoji23]
Nyie kuna wanawake wanateseka sana
Jmn si umpe tu bila kumla…
Yaani huyo ana shida Sanaa amekwama ila daah tunaji sacrifice sana kwenye haya maisha [emoji24]
Sio Mara ya kwanza,Kwa miandiko iyo ya xaw,mp, pign n.k halafu upo busy kabisa kutushahuri wanaume tuige mfano wako. Mimi hapa kwa uzoefu wangu uyo binti hatokuja na mzigo hupewi.
Huo sio mwandiko Wangu chief,Kwa miandiko iyo ya xaw,mp, pign n.k halafu upo busy kabisa kutushahuri wanaume tuige mfano wako. Mimi hapa kwa uzoefu wangu uyo binti hatokuja na mzigo hupewi.
na hizo hela zote umeliwaa mzeee??? karibu laki na nusuuPisi kazi mbovu mgerasi. Kunae moko nilikutana nayo kwenye ferry nika download namba ikakubali nakuja kutana nayo kuitoa lunch ya maana ikakata kama laki siku naiita ghetto ikaja nikakata tena kana 50 nataka kula mzigo inagoma nikaiambia haina kelele.
Saivi imebaki tu kunipigia na ku text desperately wala sina time nayo naona ilitaka nianze mambobya kuch kuch hontae bombay india.
Mpe pesa,Kuwa umeelewa. Uache kuomba omba pesa ndogo ndogo za kipuuzi.
Kwangu mimi hiyo ni kama kununua vocha ya jero halafu ukaambiwa imetumiwa tayari. Sio issue. Class is permanent bro.na hizo hela zote umeliwaa mzeee??? karibu laki na nusuu