Amenikata hamu kabisa na nguvu za kiume zimeisha. Kumbe haya matatizo ya nguvu za kiume sababu ni Wanawake

Amenikata hamu kabisa na nguvu za kiume zimeisha. Kumbe haya matatizo ya nguvu za kiume sababu ni Wanawake

Umepanick sana 😂😂😂Polesana ndo maisha
Eti eeeeh.... Maisha ya kudanga hapana....hayo siwezi kuruhusu udhani ndo maisha.badili tabia.mwishowe mtasema watu wabaya kumbe mnajidhalilisha kwa njaa zenu. Watoto 4 kila mtoto na baba yake....kwa nini nione kitu cha kawaida? Lazima nikasirike maana unawatumia watoto vibaya ....😡😡😡😡 Kama kitega uchumi...
 
Mke unae. Halafu ukiombwa pesa na mdada mdangaji unayevizia papuchi yake unamshsngaa.
Upo serious kweli mkuu?
Kama anauza hiyo inajulikana ni business wala haina shida. Ila siyo watu mmefahamiana tu unaanza kuomba vipesa vidogo vidogo. Mwanamke ambaye hawezi jihudumia 10,000 huyo mimi hanifai ...
 
Tangu wameanza kumwaga hayo mapovu yao walifanikiwa kwa lipi? Wasitupigie kelele watafute pesa. Nguvu za kiume zitatoka wapi wakati elfu kumi tu mishipa ya fuvu imekaza!!!

Kama nawaoma wakiniandikia gazeti🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mwanamke wa kuomba 10,000 huyo hafai. K yake itakuwa imeshachakaa sana... Mwanamke mdangaji standard huanzia angalau 100,000 plus. Wa 10,000 hana tofauti na wale wa Buguruni Rozana....😁
 
Kitu usicho kijua kuhusu dada zetu ni wana matumizi mengi sana
Pesa zao wenyewe haziwatoshi
Anaweza sema anafanya kazi lakini mshahara ni mdogo sana. Kwahyo anaishi kwa kudandia dandia
 
Eti eeeeh.... Maisha ya kudanga hapana....hayo siwezi kuruhusu udhani ndo maisha.badili tabia.mwishowe mtasema watu wabaya kumbe mnajidhalilisha kwa njaa zenu. Watoto 4 kila mtoto na baba yake....kwa nini nione kitu cha kawaida? Lazima nikasirike maana unawatumia watoto vibaya ....😡😡😡😡 Kama kitega uchumi...
🤣🤣🤣povu
 
Safi sana nwamba huo ndo uanaume unatoa msimamo mapema siyo kuombaomba hovyo. Tusaidiane kwenye shida siyo unakuwa chuma ulete.
 
Mwingine huyu hapa yaani muda nasoma huu uzi nimepigwa tena sio kwa kusema naomba bali kasema nimtumie like aliiwekeza.
Hata salamu hamna, Chaggas ni nouma.
View attachment 2333166
Mnyime tu kaandika f5 ndo nn anadharau sana🤣🤣🤣
Mm nilishakataa kudhalilika aise nimeanza kujishughulisha nikiwa mdogo mno had nafikia Miaka 22 namiliki ofis yangu mwenyew mwanaume wangu anawajibika ila sio lazima kaamua tu wanawake tutafute Hela 😂 Sio Kwa kutusimanga huku
 
Wenziwe umeshawaambia?
Huyu dada siku ya kwanza nimemtoa out nlimwona tu alivyokuwa na ushamba. Dada mzuri wa sura na umbo. Lakini kichwani ana ushamba flani. Mtu mmeonana jana leo anakutumia msg ana njaa na anafanya kazi.

Huu ni upumbavu wala si ujanja. Wanawake wengi hawajielewi. Binafsi sipendi mtu anayetangaza shida zake kwangu. Huyu dada alianza kunitoa hamu mapema sana. Nikawa hata nikikaa naye sijisikii hamu. Ila nimemchana liwe funzo kwake na wenzie.

View attachment 2332307
 
Mnyime tu kaandika f5 ndo nn anadharau sana🤣🤣🤣
Mm nilishakataa kudhalilika aise nimeanza kujishughulisha nikiwa mdogo mno had nafikia Miaka 22 namiliki ofis yangu mwenyew mwanaume wangu anawajibika ila sio lazima kaamua tu wanawake tutafute Hela 😂 Sio Kwa kutusimanga huku
Ofisi ipi hiyo 🤣wakati unaamini katika kudanga... Humu humpati mtu kwa mbinu hii... Au ndo ofisi ya kuzaliwa nayo. Mimi kwa kweli mwanamke anayedanga simwezi. Ndo maana sijawahi nunua K hata siku moja. Yaani utamu tupate wote then nilipie? Kumsaidia mtu nitamsaidia ila si kwa kununua K. So mtu awe na shida aombe pesa ya maana anayeomba 10,000 na anafanya kazi namdharau sana... Fanyeni Kazi msitumie K kama kitega uchumi. Kwa baadhi ya wanaume wana misimamo hawanunui....
 
Mnyime tu kaandika f5 ndo nn anadharau sana🤣🤣🤣
Mm nilishakataa kudhalilika aise nimeanza kujishughulisha nikiwa mdogo mno had nafikia Miaka 22 namiliki ofis yangu mwenyew mwanaume wangu anawajibika ila sio lazima kaamua tu wanawake tutafute Hela 😂 Sio Kwa kutusimanga huku
Huyu mtoa post ni bwege sana.

Mimi mwanamke akiniomba hela hata anikere vipi kwenye eneo la kula nauli wala simtangazi. Napiga kimya nakula.kobisi zangu maana mwanamke ni kumhudumia.

Mengine ni namna au gia unayoingilia.

Kuna jamaa aliwahi kumpiga saundi kahaba, dem akalipia chumba na wakapiga show wakaachana kimtindo. Nikajifunza neno kubwa kwba siyo kila unapoomnwa hela unune bali jieleze unaweza kuokota tende chini ya mpera
 
Ofisi ipi hiyo 🤣wakati unaamini katika kudanga... Humu humpati mtu kwa mbinu hii... Au ndo ofisi ya kuzaliwa nayo. Mimi kwa kweli mwanamke anayedanga simwezi. Ndo maana sijawahi nunua K hata siku moja. Yaani utamu tupate wote then nilipie? Kumsaidia mtu nitamsaidia ila si kwa kununua K. So mtu awe na shida aombe pesa ya maana anayeomba 10,000 na anafanya kazi namdharau sana... Fanyeni Kazi msitumie K kama kitega uchumi. Kwa baadhi ya wanaume wana misimamo hawanunui....
😂😂😂kama unashida ya elfukumi wenzio huko juu wamesema wakutumie kuniandikia mabarua ya nn Sasa kudanga nako ni kazi za watu
Kwani umeshahesabiwa?
 
Huyu mtoa post ni bwege sana.

Mimi mwanamke akiniomba hela hata anikere vipi kwenye eneo la kula nauli wala simtangazi. Napiga kimya nakula.kobisi zangu maana mwanamke ni kumhudumia.

Mengine ni namna au gia unayoingilia.

Kuna jamaa aliwahi kumpiga saundi kahaba, dem akalipia chumba na wakapiga show wakaachana kimtindo. Nikajifunza neno kubwa kwba siyo kila unapoomnwa hela unune bali jieleze unaweza kuokota tende chini ya mpera
We bwege halafu kilaza. Sisi wengine hatuhongi kifala. Mwanamke wa kuomba omba 10,000 na anafanya kazi ni hopeless hata kumla ni kujiunganisha na upumbavu wake. Nyie ndo mkutane mnafaana. Njaa zitawaua.
 
😂😂😂kama unashida ya elfukumi wenzio huko juu wamesema wakutumie kuniandikia mabarua ya nn Sasa kudanga nako ni kazi za watu
Kwani umeshahesabiwa?
Wewe ndo utumiwe unazalishwa kama Panya....umri huu tayari vitoto 4 🤣 watakugegedua uzae kama nguruwe ukija shtuka wanakimbia....utabaki humu kujitangazia biashara. Mi naharibu tu....🤣
 
We bwege halafu kilaza. Sisi wengine hatuhongi kifala. Mwanamke wa kuomba omba 10,000 na anafanya kazi ni hopeless hata kumla ni kujiunganisha na upumbavu wake. Nyie ndo mkutane mnafaana. Njaa zitawaua.
Toa connection basi maana lomolomo nyiiingi kama karani wa sensa.

Leta namba tumtumie hela ya kula basi
 
Wewe ndo utumiwe unazalishwa kama Panya....umri huu tayari vitoto 4 🤣 watakugegedua uzae kama nguruwe ukija shtuka wanakimbia....utabaki humu kujitangazia biashara. Mi naharibu tu....🤣
Ninanmpango wa kuongeza wa tano ujue 😂 usinitishe
 
😂😂😂kama unashida ya elfukumi wenzio huko juu wamesema wakutumie kuniandikia mabarua ya nn Sasa kudanga nako ni kazi za watu
Kwani umeshahesabiwa?
Mi napenda ligi kama hii inasukuma tu uzi...🤣 Hao watoto wana baba wangapi? Humu usidanganyike watu watakukanyaga halafu wasikupe hata thumni....🤣
 
Back
Top Bottom