Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Mambo ni magumu kutoka 6800 mpaka 1200. Ni vizuri lakini umejikuna ulipofikia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahh, hii zaid ya chumaDada amekula chuma hichoo.
Kasusa lakini 1200 kabaki nayo, haya maisha siyo poa.Ahh, hii zaid ya chuma
Ahsante mkuu!Mkuu umefanya niwe na usiku murua kabisa😂😂
Ahh, hata mie ningesusa kweli 1200 LohKasusa lakini 1200 kabaki nayo, haya maisha siyo poa.
ila we jamaa 😂😂😂😂, shauri yako....Kabisa
Hapana mkuu, mimi ni mwema kabisa. Nimezingatia na bei halisi ya soko.wewe ni katiliwa kijinsia
Hahahahaaaaa! Tupo kiongozi!Safi sana, kumbe Wanaume wenye misimamo bado tupo?
"Win win situation" ya China ndiyo inaendana na filosofi ya 'HAKI SAWA".
Bei halisi ya soko daah , kumbe ?? hahahaHapana mkuu, mimi ni mwema kabisa. Nimezingatia na bei halisi ya soko.
Mi mwenyewe nimeshangaa nn haswa kimemkasirisha.Umejua kunivunja mbavu lakini upo sahihi sijui kwanini bibie amekasirika [emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
🤣🤣🤣Mwenetu kazingua bn buku ndogo sanaBalqior hili suala kwa upande wako unalizungumziaje Mpaji Mungu Sema chochote basi
Mkuu, kwa heshima na taadhima, nakuomba ufungue darasa la kozi ya kiingereza nije kujiunga angalau kipindi hiki tu cha likizo. Tafadhali sana!!Shule zimefungwa leo. I don't this is something to write home
😂😂😂Wewe ni Mkuu wa Vikosi vya watu Bahili zaidi Duniani 😂😁