Ameniomba Msamaha lakini ameniwekea Masharti

Vijana wanadanganyana sana sana
 
Idiot!
Life has a funny way of making you deal with what you make other go through.
Siku utampata binti umempenda mnaenda kufunga ndoa umealika ndugu na jamaa na binti hatotokea kanisani. You will someday feel what she felt .
 
Take this, "uchumba si ndoa". Ahadi ni makubaliano yanaweza yasiwe na certification pia kwahiyo yanaweza kuvunjika.
 
Idiot!
Life has a funny way of making you deal with what you make other go through.
Siku utampata binti umempenda mnaenda kufunga ndoa umealika ndugu na jamaa na binti hatotokea kanisani. You will someday feel what she felt .
Idiot!!
Sikiliza rafiki, mahusiano ni makubaliano. Makubaliano yasipkwenda sawa, hayana budi kuvunjika. Tuache mihemko isiyo na tija. Si ugomvi wala hakuna aliemlazimisha mwingine kuingia kwenye shida fulani mpaka tuzungumzie karma.
 
We jamaaa una mambo ya kimaku maku sana asee![emoji848][emoji848]

Yaan liuzi umelileta mwenyewe, watu wamekupa ushauri mzuri sana, ila we kutokana una nia ovu na kiukweli hukumpenda huyo dada, unajifanya eti umeuvunja uhusiano! Which is absolutely irrelevant !!

Utakuja kuandamwa na minuksi mpaka uombe poo! Shauri yako
 
Idiot!!
Sikiliza rafiki, mahusiano ni makubaliano. Makubaliano yasipkwenda sawa, hayana budi kuvunjika. Tuache mihemko isiyo na tija. Si ugomvi wala hakuna aliemlazimisha mwingine kuingia kwenye shida fulani mpaka tuzungumzie karma.
Kibaka kweli wewe.
Ndiyo yasipokwenda sawa yanavunjika lakini hakikisha hayafiki hatua ya kusababishia wengine maumivu.

Hauwezi kuyaelewa vizuri maumivu mtu anayoyapitia bila na wewe kupitishwa kwenye situation hiyo hiyo.
Na hiyo ndiyo kazi ya karma.
 
Jiwe tena hahaha
 
Teh teh teh[emoji16][emoji16]

Wanawake kazi tunayo[emoji848][emoji848]
 
Take this, "uchumba si ndoa". Ahadi ni makubaliano yanaweza yasiwe na certification pia kwahiyo yanaweza kuvunjika.

Hata ndoa inaweza kuvunjwa ikiwa kuna tatizo au kosa kubwa limefanyika.

Kuvunja uchumba sio tatizo wala kuvunja ndoa sio tatizo.

Watu wenye Akili zao humu wanashangaa sababu za kuvunja huo uchumba mliodumu nao Kwa muda mrefu. Yaani sababu ya kuvunja huo uchumba uliyoitoa haina kichwa wala miguu.

Kosa umefanya wewe,
Bado mtoto wawatu kajishisha kakuomba Radhi licha ya kumkosea, kumdhalilisha na kumtia aibu, lakini wewe bado Kwa Akili yako ndogo huoni kwamba wewe ndio unashida.

Kama ulikuwa haumpendi na haujafanya maamuzi ya kumpenda, huo muda uliompotezea huoni umefanya dhulma?

Alafu Wanawake wakiwazingua mnaanza kupiga mayowe kuwa Wanawake ni wabinafsi,
Kuna ubinafsi zaidi ya huo ulioufanya?

Hapa tunajadili, najua inaweza kuwa ni Stori tuu uliyoileta, sidhani MTU mwenye Akili anaweza kufanya hivyo. Labda punguani
 
Kaza mzeebaba usipelekeshwe weka misimamo mapema😎
 
Hii ndio sababu kuu inayothibitisha maneno kuwa “usimwamini mwanamke kamwe kamwe”
 
Jambo gumu ambalo bado linaniumiza kichwa, ni yeye kutaka mimi niwaombe ndugu zake na wazazi wake msamaha kwa kutokupeleka mahari kwa muda tuliopanga.
Hili sio jukumu lako. Jukumu la Mshenga, tena siku hiyo hiyo ya kupeleka mahali husika, katika mazungumzo ya hapa na pale ya kujiweka sawa kabla ya kukabidhi mahali ndio anaweza chommekea hilo swala.

Wewe cha kufanya mueleze huyo mpenzi wako awajulishe wazazi wake kuwa kuna ugeni utakuja Siku fulani mwezi fulani kuleta Mahali.
 
Ila huyo mwanamke hana akili pamoja na kumuaibisha bado kajileta mfyuu zake
Numbisa nyie wanawake ni viumbe vya ajabu sana…yani mwanamke anaweza kukugeuka muda wowote ule! Yani mtu amefanyiwa kitendo kama hicho bado amerudi kwa mwanaume na kuwaacha solemba ndugu zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…