Ameniomba Msamaha lakini ameniwekea Masharti

Kama mtu hataki kuoa si aende tu straight,sio kukalisha watu wazima halafu unapotelea mitini,au kama kuna sababu umeiona kwa mwenio na huwezi kuivumilia si uweke wazi? Ukiona mwanaume anafanya hivyo vituko HAJIAMINI
 
Bas endelea kuringa.Pole Kwa mwanamke mwenzangu aisee
 
Ni sahihi. Omba msamaha kwa ndugu na jamaa zake.

Omba msamaha uwape tarehe nyingine ya kwenda kutoa ama uende na mahali mkononi unaomba msamaha na unawakabidhi.
 
Pampasi za kutoka wapi? ni busara sana kutokufikiria mambo ya namna hiyo. Una uhakika kwamba nikiumwa yeye ndo atakua msaada? let's be objective,,,
 
Aaah weweeee..sie wanaume bwana angalau tunaokotanaga kwenye maisha ndio maana akaona bora amsaidie mshkaji.Nyie mnalipwa mahali na bado tukiingia humo ndani full magubu na masokomoko kutuloga juu af mwisho wa siku mnatukimbia.

Ila washkaji kuna time hawawez kukutupa inategemeana na history yenu.

Af ukiona jamaa akafanya hivyo inawezekana kabisaaa kuna namna wewe sio kivileee..yan una mizingua
 
Uyu ni mtoto bado yuko kwao akikua ataacha anaonyesha typically hajitambui na hana muelekeo sahihi katika maisha

Sifa ya mwanaume ni kua na clear vision na uwezo wa kupredict what will happen in nearly future before hujafanya maamuzi

Kuendelea kumshauri ni kupoteza mda
 
Nafikiri una umri mdogo/ hauna ustaarabu au hujapevuka kiakili.

Kama ulipata dharura kama hiyo ulitakiwa utumie busara ya kutuma wazee au mshenga akaombe ukweni waahirishe hiyo siku....na sababu kuu mmepata dharura inayohitaji pesa.

Jifunze ustaarabu naona kama unajiona spesho sana.
Hujui kesho yako huenda mkeo au nduguze watakuvusha eneo flani.

Unaweza kuwachukulia poa...haya ni maisha tu...unayemchukulia poa kesho kibao kinakugeuka
 
Tuna nafasi yetu special mbinguni
 
Aisee
 
Kakosea sana yani. Tena kwa Mila zetu wabantu, anatakiwa achapwe viboko na mjomba
Kawadharau sana wazazi wa binti. Halafu kakosa busara, kawaida jambo kama hilo humwambii binti, unatuma wazee. Mahari huwa haimalizwi. Unatuma wazee hata na elfu hamsini wazee wanajua namna ya kuhandle haya mambo na wangemshauri nn cha kufanya. Bora wasioe tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ