Ameniomba Msamaha lakini ameniwekea Masharti

Ameniomba Msamaha lakini ameniwekea Masharti

Pampasi za kutoka wapi? ni busara sana kutokufikiria mambo ya namna hiyo. Una uhakika kwamba nikiumwa yeye ndo atakua msaada? let's be objective,,,
Wewe ungekuwa objective unge promise kupeleka mahari kwa watu na wanajiandaa Kisha unaghaili kirahisi hivyo?

We tulia nakwambia, sasa hivi endelea kujiona mjanja tu

Unauliza pampers za kutoka wapi, hujui zinakotoka pampers?
 
Miezi michache iliyopita, nilitengana na mwenzi wangu wa muda mrefu baada ya kusitisha kuota mahari nyumbani kwao na kuamua kumsaidia rafiki yangu ambae alikuwa kwenye changamoto fulani za kimaisha. Nilipomjulisha kwamba nitaahirisha kutoa mahari, hakukubali na aliniomba tuachane. Nilikubali na kumtakia kila la kheri lakini pia nikamsihi kwamba kama atafikiria uamzi wa tofauti basi nitakuwa tayari kumpokea. Jana alinipigia simu na kuomba msamaha. Alijutia sana, hatimae, nikaamua kumsamehe. Jambo gumu ambalo bado linaniumiza kichwa, ni yeye kutaka mimi niwaombe ndugu zake na wazazi wake msamaha kwa kutokupeleka mahari kwa muda tuliopanga.! Kabla sijatoa maamzi, naombeni ushauri. Hili jambo ni sawa?
Asee hata hili la kuombea ushauri?

Haya omba msamaha na waeleze kwanini ulimsaidia rafiki yako badala ya kutoa mahari.
 
Kawadharau sana wazazi wa binti. Halafu kakosa busara, kawaida jambo kama hilo humwambii binti, unatuma wazee. Mahari huwa haimaizwi. Unatuma wazee hata na elfu hamsini wazee wanajua namna ya kuhandle haya mambo na wangemshauri nn cha kufanya. Bora wasioe tu.
Kajamaa kakaingia mitini bila taarifa, still kanajiona kapo sahihi 😅😅
 
Ila wewe mbona ishu yako ndogo ..mimi kuna mwana yeye sio tu aliahirisha ila hata manzi ake hakumwambia..Kikeni huko wamejiandaaa kishenzi mavyakula na vilaji kama unavyojua wachaga!.. e bwana eeh!!. Mshkaji hakutokea kabisaaaaaa wala manzi ake hakumwambia kitu yan ilikua bonge la soo na aibu kwa dem..ndugu jamaa walishajaa kupokea mahali na kumwona jamaa ila ikawa tee!!.

Wanawake sas wasivyo na akil wakat mwingine, manzi aliporud dar wakaendelea kuishi na mshkaji..sijui waliyamaliza vp? 😂😂😂
Kweli huyo dada akili hana
 
Aaah weweeee..sie wanaume bwana angalau tunaokotanaga kwenye maisha ndio maana akaona bora amsaidie mshkaji.Nyie mnalipwa mahali na bado tukiingia humo ndani full magubu na masokomoko kutuloga juu af mwisho wa siku mnatukimbia.

Ila washkaji kuna time hawawez kukutupa inategemeana na history yenu.

Af ukiona jamaa akafanya hivyo inawezekana kabisaaa kuna namna wewe sio kivileee..yan una mizingua
Nimezungumzia CLEAR VISION AS A MAN

Nikimaanisha kua Mwanaume kama Mwanaume lazima usimamie juu ya ulichokipanga na kukiratibu bila kujali kuna changamoto gani imeingia kati

Issue za kusaidiana zipo tu na hazijawahi kuisha

Kwa mwanaume aina yako maendeleo utayasikia kwenye bomba, unaonyesha hauna muelekeo

Mwanaume kamili hayumbishwi na changamoto za ghafla anasimamia mipango yake kama alivyoiratibu

Wewe hutapiga hatua yoyote kubwa ya maendeleo trust me ukijaribu kunyanyuka ikitokea changamoto unapangua mpango wako ghafla

Kwa mwenendo huo utakua ni mtu wa kurudi nyuma daily
 
Nimezungumzia CLEAR VISION AS A MAN

Nikimaanisha kua Mwanaume kama Mwanaume lazima usimamie juu ya ulichokipanga na kukiratibu bila kujali kuna changamoto gani imeingia kati

Issue za kusaidiana zipo tu na hazijawahi kuisha

Kwa mwanaume aina yako maendeleo utayasikia kwenye bomba, unaonyesha hauna muelekeo

Mwanaume kamili hayumbishwi na changamoto za ghafla anasimamia mipango yake kama alivyoiratibu

Wewe hutapiga hatua yoyote kubwa ya maendeleo trust me ukijaribu kunyanyuka ikitokea changamoto unapangua mpango wako ghafla

Kwa mwenendo huo utakua ni mtu wa kurudi nyuma daily
Sikufahamu lakini labda nikuambie kwamba namshukuru Mungu kwa hatua ndogo niliyopiga katika maisha. Si wa kubezwa!
 
Nimezungumzia CLEAR VISION AS A MAN

Nikimaanisha kua Mwanaume kama Mwanaume lazima usimamie juu ya ulichokipanga na kukiratibu bila kujali kuna changamoto gani imeingia kati

Issue za kusaidiana zipo tu na hazijawahi kuisha

Kwa mwanaume aina yako maendeleo utayasikia kwenye bomba, unaonyesha hauna muelekeo

Mwanaume kamili hayumbishwi na changamoto za ghafla anasimamia mipango yake kama alivyoiratibu

Wewe hutapiga hatua yoyote kubwa ya maendeleo trust me ukijaribu kunyanyuka ikitokea changamoto unapangua mpango wako ghafla

Kwa mwenendo huo utakua ni mtu wa kurudi nyuma daily
Tatizo si kuamua kutumia mahari kumsaidia rafiki. Huenda alikuwa anakufa huyo rafiki, tatizo ni taratibu alizotumia. Unampa binti taarifa kihuni huni tu. Bora hata alichofanya Fei Yanga kuliko huyu.
 
Usijali. Nenda kwa nia ya kuwaelewesha kilichotokea. Kwanza big up sana. Ulichukulia shida ya rafiki kama dharula kuliko swala binafsi ambalo lingesubiri. Mwenzi wako mbinafsi na inawezekana aliwajaza sumu kwao ndio maana anataka uombe msamaha. Waeleze how it went
 
Nafikiri una umri mdogo/ hauna ustaarabu au hujapevuka kiakili.

Kama ulipata dharura kama hiyo ulitakiwa utumie busara ya kutuma wazee au mshenga akaombe ukweni waahirishe hiyo siku....na sababu kuu mmepata dharura inayohitaji pesa.

Jifunze ustaarabu naona kama unajiona soesho sana.
Hujui kesho yako huenda mkeo au nduguze watakuvusha eneo flani.

Unaweza kuwachukulia poa...haya ni maisha tu...unayemchukulia poa kesho kibao kinakugeuka
Duh,hii comment nimeielewa vizuri sana mkuu
 
Miezi michache iliyopita, nilitengana na mwenzi wangu wa muda mrefu baada ya kusitisha kuota mahari nyumbani kwao na kuamua kumsaidia rafiki yangu ambae alikuwa kwenye changamoto fulani za kimaisha. Nilipomjulisha kwamba nitaahirisha kutoa mahari, hakukubali na aliniomba tuachane. Nilikubali na kumtakia kila la kheri lakini pia nikamsihi kwamba kama atafikiria uamzi wa tofauti basi nitakuwa tayari kumpokea. Jana alinipigia simu na kuomba msamaha. Alijutia sana, hatimae, nikaamua kumsamehe. Jambo gumu ambalo bado linaniumiza kichwa, ni yeye kutaka mimi niwaombe ndugu zake na wazazi wake msamaha kwa kutokupeleka mahari kwa muda tuliopanga.! Kabla sijatoa maamzi, naombeni ushauri. Hili jambo ni sawa?
Sio sawa. Hii uchumba tu masharti kama yote, kwenye ndoa itakuwaje??
 
Nimezungumzia CLEAR VISION AS A MAN

Nikimaanisha kua Mwanaume kama Mwanaume lazima usimamie juu ya ulichokipanga na kukiratibu bila kujali kuna changamoto gani imeingia kati

Issue za kusaidiana zipo tu na hazijawahi kuisha

Kwa mwanaume aina yako maendeleo utayasikia kwenye bomba, unaonyesha hauna muelekeo

Mwanaume kamili hayumbishwi na changamoto za ghafla anasimamia mipango yake kama alivyoiratibu

Wewe hutapiga hatua yoyote kubwa ya maendeleo trust me ukijaribu kunyanyuka ikitokea changamoto unapangua mpango wako ghafla

Kwa mwenendo huo utakua ni mtu wa kurudi nyuma daily
Ahahaha sawa mkuu...ila hatua hizo sijui ni zipi unaziongelea..nimeoa at 24 mkuu...hatua zingine sina haja ya kukueleza
 
Duh,hii comment nimeielewa vizuri sana mkuu
Mkuu kuna tabia wanaume tumeanza kuchukulia kuwa kuoa ni kama vile kutoa msaada kwa binti au wazazi wake.

Kama humtaki binti mpe ukweli kuwa hauko tayari kumuoa awe huru.

Hii danadana na sababu uchwara ni dharau.
Kila mwanaume ni mkwe mtarajiwa.

Hakuna mwanaume atapenda kuona binti anachukuliwa poa...jitu linamtumia binti yako kwa ulaghai wa kuoa mwishowe unaanza ooh silipi mahari nampa msaada rafiki.

Katika mahusiano ya ndoa hakuna wazazi wenye msaada kimaisha kama wazazi wa binti hasa wazazi waelewa.
Hawatapenda kuona binti amekwama bila kutoa msaada.
Tubadilishe mitazamo ya kikoloni
 
Back
Top Bottom