Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijawahi na sitawahi kuamini kua mwanamke atakuwa wathamani kwangu kuliko watu walionizunguka miaka ya nyuma kabla hata ya mimi kumjua yeye. Mchango wahao watu ikiwemo wazazi, ndugu na marafiki wachache wamuhimu ndio wamenifanya yeye anione mimi leo wamaana hata kukubali mimi kumuoa. Wewe waweza niona namuita rafiki ukaona simple ila hujui alinisaidia step gani ya maisha. Sitamdharau mwanamke ila kamwe hatapita thamani ya hao watu maana in this times, relationships are superficial and have no deeper meaning kama hapo awali.Wewe unajilazimisha kwa huyo Mwanamke kiufupi humpendi,kama uliweza kuthamini kumsaidia rafiki yako kuliko kupeleka mahali maana yake jambo LA rafiki yako lilikuwa muhimu na thamani zaidi kuliko kutoa mahali.
Nakuhakikishia huyo Mwanamke ukimuoa lazima atakuja kulipiza kisasi kwa aibu ulihompa.
Ushauri wangu,naona ndoa yenye migogoro mingi hapo badae ukiamua kuendelea kuwa na huyo Mwanamke.
Khaaa[emoji1][emoji1][emoji1]jamaa anajiamini nini??ana bahati hajawafanyia wahehe wangejitundika ukoo mzimaIla wewe mbona ishu yako ndogo ..mimi kuna mwana yeye sio tu aliahirisha ila hata manzi ake hakumwambia..Kikeni huko wamejiandaaa kishenzi mavyakula na vilaji kama unavyojua wachaga!.. e bwana eeh!!. Mshkaji hakutokea kabisaaaaaa wala manzi ake hakumwambia kitu yan ilikua bonge la soo na aibu kwa dem..ndugu jamaa walishajaa kupokea mahali na kumwona jamaa ila ikawa tee!!.
Wanawake sas wasivyo na akil wakat mwingine, manzi aliporud dar wakaendelea kuishi na mshkaji..sijui waliyamaliza vp? [emoji23][emoji23][emoji23]
kwenye maisha inatakiwa emotional quotient (EQ) mtu asie na EQ basi IQ haina maanaMbona simple man
"Jaman samahani mambo yangu yalikaa vibaya ndo maana sikuja na masmahanini zaidi Kwa kushindwa kuja kuwajulisha kama nimekwama ila leo nimefika rasmi tulimalize hili swala"
Jifunze ku-lower ego
Vitu kama samahan, naomba, nilikosea, nisamehe, ahsante vinasaidia sana kujenga uhusian mzuri na wengine
Wengi IQ kubwa alafu Emotional intelligence ipo chini sanaaaaa..
Kwenye ule Uzi wako nilikashauri kitu Kwa ulivojibu nikajua tu you have na ku-deal na emotions za wengine
Sure thingkwenye maisha inatakiwa emotional quotient (EQ) mtu asie na EQ basi IQ haina maana
Sio upendo, amekosa pakwenda au pakuegemea. [emoji23][emoji23][emoji23] mwanamke anayekubali kurudi kwa mwanaume hata baada ya janga kutokea usifikiri ni upendo, tena kwa kizazi chetu ndio kabisaa. Huyo amekosa pakwenda, akipapata anasepa, akupende kwani amekuzaa[emoji23][emoji23][emoji23]Upendo mama
Duh Karne hii una mawazo ya zamani. Nina jamaa yangu alikuwa na mke wa Miaka mingi. Jamaa akaugua Figo muda mrefu. Mwanamke akamuuguza mpk akachuka akamkataa jamaa. Mapenzi ya kusaidiana yalikuwa zamani. Sasa hivi tafuta hela tu unaona umuhimu wake.Jamaa ulichemka Sana
We endekeza tu maneno ya watu kukataa ndoa na kuleta ujana. Kitu unasahau ni kuwa Hao unaowaona marafiki zako leo hutakuja kuwaona kesho ukiwa unaumwa unavaa pampers.
Ujana huwa unawasumbua Sana, stori nyingiiiii ila hamjui ya mbele yenu.
Wewe ulijitolea kuacha kutoa mahali na kujenga familia yako ambayo kimsingi ndio rafiki wako wa kweli na kumsaidia mshkaji, subiri sasa utakuja kuona Nani Atakuwa upande wako katika maisha yako.
No, kijana ndo kazingua. Huyo demu inaonyesha ni mtu piece na anajitambua. Sometimes, unaangalia faida ya jumla kuliko kushindana na watu ambao bado wanajitafuta.Ila huyo mwanamke hana akili pamoja na kumuaibisha bado kajileta mfyuu zake
Kuna kitu hukufahamu..Wanawake sas wasivyo na akil wakat mwingine, manzi aliporud dar wakaendelea kuishi na mshkaji..sijui waliyamaliza vp? 😂😂😂
Hicho mi nimekiona, jamaa atakuja kuumizwa vibaya sanaSoko gumu aisee, ila kama akili yako inaona sawa nenda, ila bear in mind Wanawake ni watu wa visasi
[emoji23][emoji23][emoji2960]Sio upendo, amekosa pakwenda au pakuegemea. [emoji23][emoji23][emoji23] mwanamke anayekubali kurudi kwa mwanaume hata baada ya janga kutokea usifikiri ni upendo, tena kwa kizazi chetu ndio kabisaa. Huyo amekosa pakwenda, akipapata anasepa, akupende kwani amekuzaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe umechangia jambo la msingi na la maana kwa kutumia akili na matendo ya wanadamu wa nyakati hizi........Sijawahi na sitawahi kuamini kua mwanamke atakuwa wathamani kwangu kuliko watu walionizunguka miaka ya nyuma kabla hata ya mimi kumjua yeye. Mchango wahao watu ikiwemo wazazi, ndugu na marafiki wachache wamuhimu ndio wamenifanya yeye anione mimi leo wamaana hata kukubali mimi kumuoa. Wewe waweza niona namuita rafiki ukaona simple ila hujui alinisaidia step gani ya maisha. Sitamdharau mwanamke ila kamwe hatapita thamani ya hao watu maana in this times, relationships are superficial and have no deeper meaning kama hapo awali.
Sasa we nyau km mahari tu umeshindwa utaweza majukumu ya ndoa?Miezi michache iliyopita, nilitengana na mwenzi wangu wa muda mrefu baada ya kusitisha kuota mahari nyumbani kwao na kuamua kumsaidia rafiki yangu ambae alikuwa kwenye changamoto fulani za kimaisha.
Nilipomjulisha kwamba nitaahirisha kutoa mahari, hakukubali na aliniomba tuachane. Nilikubali na kumtakia kila la kheri lakini pia nikamsihi kwamba kama atafikiria uamzi wa tofauti basi nitakuwa tayari kumpokea.
Jana alinipigia simu na kuomba msamaha. Alijutia sana, hatimae, nikaamua kumsamehe. Jambo gumu ambalo bado linaniumiza kichwa, ni yeye kutaka mimi niwaombe ndugu zake na wazazi wake msamaha kwa kutokupeleka mahari kwa muda tuliopanga.
Kabla sijatoa maamuzi, naombeni ushauri. Hili jambo ni sawa?
ExactlyNo, kijana ndo kazingua. Huyo demu inaonyesha ni mtu piece na anajitambua. Sometimes, unaangalia faida ya jumla kuliko kushindana na watu ambao bado wanajitafuta.
Ladies mnapitia changamoto ya umri. Kuna namba zikisoma demu yoyote inapasa awe alert na kufanya maamzi . Sasa ukishindana na hawa vijana ambao bado wanashawishika na kauli mbiu "kataa ndoa" utakwama sana.
Upo sahihi sana mkuuujue maisha ni safari ndefu sana!
Mleta uzi ni type ya wale watu wana overconfidence
watu wenye kujiskia flani hivi kwamba maisha wameyapatia kwahiyo huyo mwanamke ni kama kuwa nae ulikua unamsaidia tu. ( ndio mana maamuzi yako ni sheria)
Wewe ndo wewe yani ...
matendo ya huyo dada yanakuongezea utukufu zaidi...[emoji1]
ni jamii ya watu wenye shida kwenye makuzi yao, inayopelekea upungufu wa Busara