Ameniomba Msamaha lakini ameniwekea Masharti

Ndio yuko sahihi,enda ukawaambie kilichofanya usitoe mahari kama mlivyokubaliana coz bila maelezo itakuwa ni kama umeachukulia poa wazee na mvi zao na wanaweza kukugeuza zuwena
 
Sijawahi na sitawahi kuamini kua mwanamke atakuwa wathamani kwangu kuliko watu walionizunguka miaka ya nyuma kabla hata ya mimi kumjua yeye. Mchango wahao watu ikiwemo wazazi, ndugu na marafiki wachache wamuhimu ndio wamenifanya yeye anione mimi leo wamaana hata kukubali mimi kumuoa. Wewe waweza niona namuita rafiki ukaona simple ila hujui alinisaidia step gani ya maisha. Sitamdharau mwanamke ila kamwe hatapita thamani ya hao watu maana in this times, relationships are superficial and have no deeper meaning kama hapo awali.
 
Khaaa[emoji1][emoji1][emoji1]jamaa anajiamini nini??ana bahati hajawafanyia wahehe wangejitundika ukoo mzima
 
kwenye maisha inatakiwa emotional quotient (EQ) mtu asie na EQ basi IQ haina maana
 
Upendo mama
Sio upendo, amekosa pakwenda au pakuegemea. [emoji23][emoji23][emoji23] mwanamke anayekubali kurudi kwa mwanaume hata baada ya janga kutokea usifikiri ni upendo, tena kwa kizazi chetu ndio kabisaa. Huyo amekosa pakwenda, akipapata anasepa, akupende kwani amekuzaa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Duh Karne hii una mawazo ya zamani. Nina jamaa yangu alikuwa na mke wa Miaka mingi. Jamaa akaugua Figo muda mrefu. Mwanamke akamuuguza mpk akachuka akamkataa jamaa. Mapenzi ya kusaidiana yalikuwa zamani. Sasa hivi tafuta hela tu unaona umuhimu wake.
 
Mkuu hujakosea hata kidogo,
Kama ulitoa taarifa hautaweza kutoa mahari kwa muda ule tatizo liko wapi?

We mchape mimba mambo mengine yata flow yenyewe.
 
Ila huyo mwanamke hana akili pamoja na kumuaibisha bado kajileta mfyuu zake
No, kijana ndo kazingua. Huyo demu inaonyesha ni mtu piece na anajitambua. Sometimes, unaangalia faida ya jumla kuliko kushindana na watu ambao bado wanajitafuta.

Ladies mnapitia changamoto ya umri. Kuna namba zikisoma demu yoyote inapasa awe alert na kufanya maamzi . Sasa ukishindana na hawa vijana ambao bado wanashawishika na kauli mbiu "kataa ndoa" utakwama sana.
 
Mi naona wewe na huyo mwenzio ni pipa na mfuniko. Mmekutana wote watu wa gesi yani af mna EGO za ajabu yani.

Umeharibu shughuli, watu wajiandae na kupika na mapambo kuwa unaenda kutoa mahari waitane ndugu halafu huendi bila kutoa taarifa yeyote. We ni mduanzi kwa hilo tu.

Demu wako pia namlaumu na namuona chizi tu sababu hajielewi. Huwezi kumwambia mtu tuachane af ukae kimya baada ya mwezi unaomba msamaha. Na kuamua kukubembeleza kabisa kuwa ukaombe msamaha na kwao. Huyo demu kama ni mchaga andika maumivu in advance.

Pia jua huo ni mtego kwako kwamba ukishaoa lazma atakunyoosha tu. Jua
kuna kamati ilishakaa na kumshauri
na ameamua kujifanya fala ili akujaze kwenye target ila nachokiona hio ndoa haitaisha migogoro. Lazma atakulipizia huyo demu hana tofauti na Evelyn Salt
 
We ni mwanaume mwenzangu, kwenye hili ulikosea sana, na hata bila binti kukwambia, unabidi uombe radhi kwa wazazi wa uyo binti.

Imagine dada yako amewaita kwaajili ya hilo tukio, alafu shemeji kazama mitini, we kama kaka ungejisikiaje?

Kuna mambo mengine sio uanaume, ni ujinga na upumbavu.
 
Reactions: nao
[emoji23][emoji23][emoji2960]
 
Wewe umechangia jambo la msingi na la maana kwa kutumia akili na matendo ya wanadamu wa nyakati hizi........

Naona wachangiaji wengi wamechangia kwa hisia kali huku wakizifungia akili zao kuweza kuiona uhalisia.......

Nadhani mtoa mada ameweka wazi hilo jambo kwa mwenzi wake ili wajadiliane kabla ya kuchukua hatua na mpenzi mara moja akaona ni dharau pasi na kujadiliana na akaona bora waachane......sote tunajua mwanamke akifikia hatua hiyo hakuna linaloendelea na vurugu lake........

Mimi binafsi siwezi kuacha kuokoa maisha ya rafiki yangu kipenzi au mwanadamu mwenzangu kwa ajili ya jambo la starehe kama ndoa ambalo linaweza kupangwa wakati mwingine.........

Wote wanaangalia upande mmoja wa kijana pasi na kuangalia upande wa pili uliokataa majadiliano ili kufikia muafaka....pengine kwenye hayo majadiliano wangepata option zingine za kumsaidia rafiki huku jambo la mahari likienda kama kawaida.........

Siku zote siwezi kuacha maisha mtu wangu wa karibu yanaangamia huku naona kisa pesa niliyonayo nimepanga kupeleka mahari......

Juhudi za kufikisha ujumbe kwa wazazi na wazee zilitakiwa zifanywe na wote wawili baada ya kukaa na kujadiliana kama wapendanao na kufikia makubaliano......sio zifanywe na mmoja........

Katika kukwazana kila mtu ana kiwango na aina yake ya kupokea matatizo.... pengine mtoa mada alighafirika na kuchanganyikiwa baada ya mpenzi wake kumtakia kuwa tuachane.......unapataje nguvu ya kwenda ukweni hali ya kuwa sababu kuu au kiunganishi chake kimeshavunja daraja kati ya wewe na ukweni kwenyewe......??

Yote kwa yote mambo ya wawili hasa wapenzi sio ya kuyatolea maamuzi ya moja kwa moja na kuhukumu kwani hao watu wanafanya mengi sana......
 
Kingine ambacho sijaelewa. Kama yeye ndo karudi kuomba msamaha basi yeye ndo ana burden ya kuongea na wazazi sio wewe. Wewe uliyeombwa sasa una power. There no way uombwe msamaha then uwekewe sharti😂. Nisamehe lakini sharti.... Wewe mwenye kusamehe ndo uweke sharti la kusamehe.
 
Sasa we nyau km mahari tu umeshindwa utaweza majukumu ya ndoa?
 
Exactly
 
Upo sahihi sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…