Amepata bahati ya mwanaume wa kumuoa, anaweka vikwazo vya mahari na kutambulishana

Amepata bahati ya mwanaume wa kumuoa, anaweka vikwazo vya mahari na kutambulishana

Melki Wamatukio

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2022
Posts
6,156
Reaction score
10,974
Inashangaza sana kwa mwanamke mwenye ndoto ya kuolewa na kuitumikia familia yake kuanza kuweka vikwazo kama anavyoviweka huyu binti

Amepata mwanaume ambaye yuko kwenye mstari mnyoofu wa maisha, ana biashara yake ya kukidhi maisha. Halafu anaambiwa aolewe naye anaanza kuleta vigezo vya umri, mara eti anahitaji aolewe kihalali, ifanyike harusi, mwanaume akajitambulishe ukweni akiwa na kitenge cha mama. Kwa tetesi ninazozisikia ni kuwa ili mtoto aolewe inatakiwa mahali ya Tsh. Milioni tatu 😂😂😂😂

Yaani unapata mwanaume wa kukuoa zama hizi unaleta maringo! Zama za vijana wa kataa ndoa!!? 😂😂 Tena mtu amejijenga vya kutosha! Ee Mola tunusuru, dunia ina vioja vya kila namna

Enyi wanawake wa nchi hii, jaribuni kukua kifikra. Ndoa si maembe mabichi kama ilivyokuwa zamani, kama kweli anania ya kujilipua kwenye hili janga la maumivu, mpe nafasi hiyo mara moja. Ndoa ni bahati siku hizi

Mwenzenu anajikita malaika huku. Tunasubiri aikanyage vyema miaka 30's aende kukanyaga mafuta, afie huko huko kwa msongamano
 
Inashangaza sana kwa mwanamke mwenye ndoto ya kuolewa na kuitumikia familia yake kuanza kuweka vikwazo kama anavyoviweka huyu binti

u. Tunasubiri aikanyage vyema miaka 30's aende kukanyaga mafuta, afie huko huko kwa msongamano
Wanawake wanacho tafuta ni Ile heshima ya kuolewa kihalali HARUSI..

KUNA NDOA NA HARUSI HAYA NI MANENO MAWILI YENYE MAANA TOFAUTI

Unaweza kuolewa harusi Kwa mbwembwe nyingi na ndoa isidumu....

Mwingine akatoroshwa na ndoa wakadumu mpk uzee
 
Kama anampenda kwa nini asifate hatua zote,alafu nyie anayewambia eti ndoa ni bahati ni nani,mlee mtoto wako vizuri,mfundishe kazi,maadili alafu urudi hapa useme ndoa ni bahati
Mnasema ndoa ni bahati wakati unakuta mtu mmoja anachumbiwa na watu kibao
 
Kwa tetesi ninazozisikia ni kuwa ili mtoto aolewe inatakiwa mahali ya Tsh. Milioni tatu 😂😂😂😂

Kama hamna hela au hauna hela ya kulipa muacheni Binti wa watu, fuateni taratibu zinazotakiwa na ninampingeza huyo Binti kwa msimamo mwenye Nia nae atafuata taratibu zote KINYUME na hapo subiri ndoa ya uji kabla ya Ramadan
 
Kwa tetesi ninazozisikia ni kuwa ili mtoto aolewe inatakiwa mahali ya Tsh. Milioni tatu 😂😂😂😂

Kama hamna hela au hauna hela ya kulipa muacheni Binti wa watu, fuateni taratibu zinazotakiwa na ninampingeza huyo Binti kwa msimamo mwenye Nia nae atafuata taratibu zote KINYUME na hapo subiri ndoa ya uji kabla ya Ramadan
Ndoa ni upendo sio izo kolokolo na milolongo miref hizo NDIO hufelisha watu wenye nia....

Kuna Ile muvi ya 20% FURAHA IPO WAPI
Ile movi ni touching story...

For sure 😃 Nina story ya kusisimua SEMA Tatizo JIDA ntakuja nikipata wasaa am 4 real
 
Walisemaga ivyo ivyo wakabaki na manyoya....🤓🤓🤓🤓🌝🌝🙂🙂
Waambien wazazi na wadogo zenu kama ukimchunguza mtu ukajiridhisha kinacho fuata mambo yasiwe mengi....
Huwa ni kipimo kuwa je, utaweza kumtunza Binti yetu? Kinyume na hapo basi jibu lipo wazi
 
Kwa tetesi ninazozisikia ni kuwa ili mtoto aolewe inatakiwa mahali ya Tsh. Milioni tatu 😂😂😂😂

Kama hamna hela au hauna hela ya kulipa muacheni Binti wa watu, fuateni taratibu zinazotakiwa na ninampingeza huyo Binti kwa msimamo mwenye Nia nae atafuata taratibu zote KINYUME na hapo subiri ndoa ya uji kabla ya Ramadan
Milion 3?. Wanawake bhana.
Sasa hapo utakuta hata huyo mwanamke hiyo hela hajawahi kuipata na wala hana.
Kuna jamaa hivi hivi siku ya kutoa mahari, mwanaume akajinyonga.
 
Swali huwaga moja. Huko alikoanzia amechokonolewa weeeee,yaani kaja ni chuma chakavu. Wewe umeamua kujitoa mhanga,kula mabaki ya wenzako,na bado wengine akisha kaa na wewe atakuwa anarudi kwao kwa kisingizio cha kwenda hospitali au kwenye send off,af anaanza kuleta mbwembwe. Huyo unamla then unaachana nae,akili zikisha mkaa sawa,atawapata wengine. Sema tu tatizo badhi ya wanaume na wenyewe hawaeleweki. Yaani anaenda kumtafuta bikra kwenye genge la wauza mbunye.
Wanawake wanacho tafuta ni Ile heshima ya kuolewa kihalali HARUSI..

KUNA NDOA NA HARUSI HAYA NI MANENO MAWILI YENYE MAANA TOFAUTI

Unaweza kuolewa harusi Kwa mbwembwe nyingi na ndoa isidumu....

Mwingine akatoroshwa na ndoa wakadumu mpk uzee
 
Inashangaza sana kwa mwanamke mwenye ndoto ya kuolewa na kuitumikia familia yake kuanza kuweka vikwazo kama anavyoviweka huyu binti

Amepata mwanaume ambaye yuko kwenye mstari mnyoofu wa maisha, ana biashara yake ya kukidhi maisha. Halafu anaambiwa aolewe naye anaanza kuleta vigezo vya umri, mara eti anahitaji aolewe kihalali, ifanyike harusi, mwanaume akajitambulishe ukweni akiwa na kitenge cha mama. Kwa tetesi ninazozisikia ni kuwa ili mtoto aolewe inatakiwa mahali ya Tsh. Milioni tatu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Yaani unapata mwanaume wa kukuoa zama hizi unaleta maringo! Zama za vijana wa kataa ndoa!!? [emoji23][emoji23] Tena mtu amejijenga vya kutosha! Ee Mola tunusuru, dunia ina vioja vya kila namna

Enyi wanawake wa nchi hii, jaribuni kukua kifikra. Ndoa si maembe mabichi kama ilivyokuwa zamani, kama kweli anania ya kujilipua kwenye hili janga la maumivu, mpe nafasi hiyo mara moja. Ndoa ni bahati siku hizi

Mwenzenu anajikita malaika huku. Tunasubiri aikanyage vyema miaka 30's aende kukanyaga mafuta, afie huko huko kwa msongamano
Perfect and that is how a woman should be uyo dada anawazazi waliomlea na so kwamba ameokatwa chini ya mtu so yes if you really love her you should follow the procedure so eti kisa ndoa ni bahat ndo ufanye unavyotaka wewe kisa umejijenga bla bla bla ivo vitu havisaidii chochote kwa mwanamke anaejua thaman yke
 
Perfect and that is how a woman should be uyo dada anawazazi waliomlea na so kwamba ameokatwa chini ya mtu so yes if you really love her you should follow the procedure so eti kisa ndoa ni bahat ndo ufanye unavyotaka wewe kisa umejijenga bla bla bla ivo vitu havisaidii chochote kwa mwanamke anaejua thaman yke
Labda kasahau kusema amemkuta chakavu. Thamani yake itakuwa wapi tena? Hivi mfano,demu anatembea nusu uchi,af utawambia washikaji kuwa ana mipaja balaa! Huku iko wazi hata mwehu anaijua
 
Inashangaza sana kwa mwanamke mwenye ndoto ya kuolewa na kuitumikia familia yake kuanza kuweka vikwazo kama anavyoviweka huyu binti

Amepata mwanaume ambaye yuko kwenye mstari mnyoofu wa maisha, ana biashara yake ya kukidhi maisha. Halafu anaambiwa aolewe naye anaanza kuleta vigezo vya umri, mara eti anahitaji aolewe kihalali, ifanyike harusi, mwanaume akajitambulishe ukweni akiwa na kitenge cha mama. Kwa tetesi ninazozisikia ni kuwa ili mtoto aolewe inatakiwa mahali ya Tsh. Milioni tatu 😂😂😂😂

Yaani unapata mwanaume wa kukuoa zama hizi unaleta maringo! Zama za vijana wa kataa ndoa!!? 😂😂 Tena mtu amejijenga vya kutosha! Ee Mola tunusuru, dunia ina vioja vya kila namna

Enyi wanawake wa nchi hii, jaribuni kukua kifikra. Ndoa si maembe mabichi kama ilivyokuwa zamani, kama kweli anania ya kujilipua kwenye hili janga la maumivu, mpe nafasi hiyo mara moja. Ndoa ni bahati siku hizi

Mwenzenu anajikita malaika huku. Tunasubiri aikanyage vyema miaka 30's aende kukanyaga mafuta, afie huko huko kwa msongamano
Sasa kama hamtaki
 
Swali huwaga moja. Huko alikoanzia amechokonolewa weeeee,yaani kaja ni chuma chakavu. Wewe umeamua kujitoa mhanga,kula mabaki ya wenzako,na bado wengine akisha kaa na wewe atakuwa anarudi kwao kwa kisingizio cha kwenda hospitali au kwenye send off,af anaanza kuleta mbwembwe. Huyo unamla then unaachana nae,akili zikisha mkaa sawa,atawapata wengine. Sema tu tatizo badhi ya wanaume na wenyewe hawaeleweki. Yaani anaenda kumtafuta bikra kwenye genge la wauza mbunye.
Umegusa Kila eneo...well said 🤓🤓
 
Back
Top Bottom