Amepata bahati ya mwanaume wa kumuoa, anaweka vikwazo vya mahari na kutambulishana

Amepata bahati ya mwanaume wa kumuoa, anaweka vikwazo vya mahari na kutambulishana

Kuna mmoja pisi ya kinyamwezi ni mkali hatari na vile kasoma na kazi nzuri basi alikua kila mchumba hataki. Mamaye basi kaja kuhaha baadaye miaka 37 hii hapa. Kaja kuokotwa na mwamba yaani unaona kabisa bi dada amemkubali kwa kuwa alikua desperate na akawa hana jinsi. Jamaa akamzalisha fastafasta watoto wawili. Jamaa tumbo kama lodilofa
 
Tafuta wa uwezo wako,milioni tatu ni hela ndogo binafsi sikuolewa kwa mahali ndogo hivo
Makorokolo ndo angalau 2M weka na mahari sasa
Tuzungumzia mahari na siyo hayo makorokolo unayotaja. Mahari yako ilikuwa milion 3?
Kutafuta wa uwezo wangu siyo shida ila shida inapokuja unatoa mahari milion 3 halafu mwanamke anakucheat hapo lazima bastola au gunia za mkaa zihusike.
Wanawake bhana hela ndogo wakati yeye hana hata hiyo milion 3. Msingi wake mbususu
 
Kwanini swala la mwanamke kuolewa kichukuliwe kama bahati kwao?

Mimi mpaka leo huwa sioni logic ya neno "bahati" kwenye swala la ndoa, unless tuondoe definition ya "ndoa ni makubaliano kati ya wawili"

Ndoa ikichukuliwa kama bahati basi mtalia sana kile kilio cha 'kataa ndoa"
 
Huyo mwanaume si aende ukweni awasikilize?;tangu lini binti akapanga mahari bila wazazi na ndugu wengine?

Halafu huyo mwanaume ye anatakaje kwani? Sogea tukae?
Kama ni waislamu kisheria anayetaja mahari ni anayeolewa tu, mzazi au ndugu wengine hawana haki ya kupanga mahari ya binti
 
Tuzungumzia mahari na siyo hayo makorokolo unayotaja. Mahari yako ilikuwa milion 3?
Kutafuta wa uwezo wangu siyo shida ila shida inapokuja unatoa mahari milion 3 halafu mwanamke anakucheat hapo lazima bastola au gunia za mkaa zihusike.
Wanawake bhana hela ndogo wakati yeye hana hata hiyo milion 3. Msingi wake mbususu
Mkuu naomba sasa tuwe siriaz kidogo.

Hebu niambie ukweli toka moyoni.
3m ni pesa kubwa?
Pesa yako kubwa kushika mara moja ni kiasi gani?

Huenda ninaweza kukuelewa...
KUwa mkweli
 
Kwanini swala la mwanamke kuolewa kichukuliwe kama bahati kwao?

Mimi mpaka leo huwa sioni logic ya neno "bahati" kwenye swala la ndoa, unless tuondoe definition ya "ndoa ni makubaliano kati ya wawili"

Ndoa ikichukuliwa kama bahati basi mtalia sana kile kilio cha 'kataa ndoa"
Ni bahati maana atatunzwa maisha yake yote na urithi utamwachia akumbwaga anapata 50% ya mali zako, bahati iliyoje
 
Kwanini swala la mwanamke kuolewa kichukuliwe kama bahati kwao?

Mimi mpaka leo huwa sioni logic ya neno "bahati" kwenye swala la ndoa, unless tuondoe definition ya "ndoa ni makubaliano kati ya wawili"

Ndoa ikichukuliwa kama bahati basi mtalia sana kile kilio cha 'kataa ndoa"
Mkuu yani umepita mule mule ngija nikutag kwe post yangu
 
Mkuu naomba sasa tuwe siriaz kidogo.

Hebu niambie ukweli toka moyoni.
3m ni pesa kubwa?
Pesa yako kubwa kushika mara moja ni kiasi gani?

Huenda ninaweza kukuelewa...
KUwa mkweli
Haijalishi ni kubwa au ni ndogo ila siwezi kutoa mahari ya milion 3. Hata kama angekuwa bikra
Pesa nitakayotoa ni mwisho laki 7 tofauti na hapo akatafute mwanaume mwingine wa kumuoa.
 
Sioni shida kwa kijana kufuata taratibu katika utoaji mahari....shida ni endapo binti anataka harusi/sherehe kuubwa ya kifahari....,lakn mahari jaman kwa mtu mwenye nia ya kuoa inakuaje shida??? Cha msingi aende akajitambulishe rasmi ajue na gharama halisi za mahari..kwann aishie kusikia?
Si ajab huyo muoaji anaacha zaid ya milion bar kwa mwezi lakn kasikia mahari 1m imekua nongwa
 
Haijalishi ni kubwa au ni ndogo ila siwezi kutoa mahari ya milion 3. Hata kama angekuwa bikra
Pesa nitakayotoa ni mwisho laki 7 tofauti na hapo akatafute mwanaume mwingine wa kumuoa.
Kwa kifupi wewe humfai huyo kwani hata akiugua ugonjwa wa kutibiwa kwa pesa kubwa zaidi ya 3m hutatoa.
 
Kwasababu huna wenye nazo wanatoa
Wanawake bhana. Anaweza kukuambia baby naomba 20,000. Ukamtumia 15,000
Atanuna na kukuambia mbona hela ndogo sana hii na haitatoshi? Kama ni hela ndogo kwa nini ameniomba 20,000? Hapo hana hata 100
  • Kama demu sikiliza by Magweair ft Lady JD & MwanaFA
  • Dume suruali by Mwana FA ft ...
Msipende sana pesa. Pesa zinauza utu wako
 
Kama kweli anampenda afuate sheria mambo yawekwe hadharani maisha yaendelee.
 
Kwa kifupi wewe humfai huyo kwani hata akiugua ugonjwa wa kutibiwa kwa pesa kubwa zaidi ya 3m hutatoa.
Kwani wangapi wametoa hizo hela na baada ya kupata matatizo hao hao wanawake waliotolewa milion 3 wamewakimbia? Je, huyo mwanamke atakuwa amemfaa?
Kuna watu wametoa hiyo hela na wakatombew, utasema huyo mwanamke anamfaa sana huyo mwanaume?
Usitafute kuwa na moyo mzuri kwa kutoa mahari ya milion 3. Kama una moyo mzuri ni mzuri tu hata utoe mahari ya laki 1.
Mimi mahari ya milion 3 siwezi kufanya huo ujinga.
 
Back
Top Bottom