Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Alimuoa mtoto wa bhakressa niniKaka angu alioa kwa 7 m, endelea kushangaa hiyo 3
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alimuoa mtoto wa bhakressa niniKaka angu alioa kwa 7 m, endelea kushangaa hiyo 3
Mkuu habari, sorry kukusumbua, unaweza angalia dm yako?Huyo mwanaume si aende ukweni awasikilize?;tangu lini binti akapanga mahari bila wazazi na ndugu wengine?
Halafu huyo mwanaume ye anatakaje kwani? Sogea tukae?
Alioa mtoto wa mfanyabiashara mkubwa shughuli ya mahali tu ilifunga mtaaAlimuoa mtoto wa bhakressa nini
Hahahahahah basi kakaako ameula 🤣🤣🤣Alioa mtoto wa mfanyabiashara mkubwa shughuli ya mahali tu ilifunga mtaa
Lazima aule na hiyo hela huwa inarudi mara SI UNAJUA tena🤣Hahahahahah basi kakaako ameula 🤣🤣🤣
Unakosea sana.Inashangaza sana kwa mwanamke mwenye ndoto ya kuolewa na kuitumikia familia yake kuanza kuweka vikwazo kama anavyoviweka huyu binti
Amepata mwanaume ambaye yuko kwenye mstari mnyoofu wa maisha, ana biashara yake ya kukidhi maisha. Halafu anaambiwa aolewe naye anaanza kuleta vigezo vya umri, mara eti anahitaji aolewe kihalali, ifanyike harusi, mwanaume akajitambulishe ukweni akiwa na kitenge cha mama. Kwa tetesi ninazozisikia ni kuwa ili mtoto aolewe inatakiwa mahali ya Tsh. Milioni tatu 😂😂😂😂
Yaani unapata mwanaume wa kukuoa zama hizi unaleta maringo! Zama za vijana wa kataa ndoa!!? 😂😂 Tena mtu amejijenga vya kutosha! Ee Mola tunusuru, dunia ina vioja vya kila namna
Enyi wanawake wa nchi hii, jaribuni kukua kifikra. Ndoa si maembe mabichi kama ilivyokuwa zamani, kama kweli anania ya kujilipua kwenye hili janga la maumivu, mpe nafasi hiyo mara moja. Ndoa ni bahati siku hizi
Mwenzenu anajikita malaika huku. Tunasubiri aikanyage vyema miaka 30's aende kukanyaga mafuta, afie huko huko kwa msongamano
Vijana wa kibongo ni jibu.Kaka angu alioa kwa 7 m, endelea kushangaa hiyo 3
Mi hupenda vijana wajanja kama kakaako. Unaoa mwanamke asset sio liability. Mungu awape maisha marefuLazima aule na hiyo hela huwa inarudi mara SI UNAJUA tena🤣
Unapenda mserereko eeMi hupenda vijana wajanja kama kakaako. Unaoa mwanamke asset sio liability. Mungu awape maisha marefu
Inategemea na familia kwetu shangazi zangu hawapokei 1 m wanakwambia hizo ni dalili za kulisha kokoto Binti yetuVijana wa kibongo ni jibu.
Kwanza mahari hata akipeleka 1m itapokelewa na zingine zitalipwa kidogo kidogo
Watakuwa Wanyakyusa wananyodo hatari🤣🤣🤣Inategemea na familia kwetu shangazi zangu hawapokei 1 m wanakwambia hizo ni dalili za kulisha kokoto Binti yetu
Una weza nunulia hata ukoo mzima nyumba na rolles royce's still wasiwe na ndoa ya kudumu....Kaka angu alioa kwa 7 m, endelea kushangaa hiyo 3
Hapa nakuunga mkonoUna weza nunulia hata ukoo mzima nyumba na rolles royce's still wasiwe na ndoa ya kudumu....
Ushaur wangu Kwa wanawake ukimpata anae kupenda ukampenda ukamchunguza na kujiridhisha.....
Mlolongo usiwe mrefu sana kias Cha kukatisha Tamaa.....
Kitu kikubwa ni upendo silaha ya mapenzi ni kupendana Kwa dhati.....
Alimuoa mtoto wa bhakressa nini
Vijana wa kibongo ni jibu.
Kwanza mahari hata akipeleka 1m itapokelewa na zingine zitalipwa kidogo kidogo
Tafuta wa uwezo wako,milioni tatu ni hela ndogo binafsi sikuolewa kwa mahari ndogo hivoMilion 3?. Wanawake bhana.
Sasa hapo utakuta hata huyo mwanamke hiyo hela hajawahi kuipata na wala hana.
Kuna jamaa hivi hivi siku ya kutoa mahari, mwanaume akajinyonga.