America is fast becoming a third World country

America is fast becoming a third World country

Kwahiyo hizo empire zote zilipoisha zilikua ni 3rd world countries?

Are you thinking through out your behind?

United Kingdom ni 3rd world country?

Roman Empire ambayo largely ni Italy,ni 3rd world country?

Na Africa ni Africa,na Asia ni Asia,na Latin America ni Latin America,hatufanyi good job of being well to do societies economically.

Tembo akiwa na njaa hawi mdogo kama sisimizi ndugu!
Eti US ashuke kiuchumi awe kama TZ, Malawi, Zambia n.k

Ama kweli dunia ina wehu na majuha.
 
Kwanini usiseme inaporomoka unaweka kivumishi cha uwongo kabisa eti ni 3rd World Country?

Tangu lini tembo akipata njaa ya kufa anakua sisimizi?

Hizi nyege zenu na Russia zinawazidi aisee....yaani Russia yenye uchumi mdogo zaidi ya Texas ndio inawapa nyege zote hizi?

Hebu stop smoking these pipes and get down into reality!
Hao watu wasamehe mkuu, ni zaidi ya matahira.

US aporomoke awe kama Tz, hata mwehu hawezi kuwa na akili kama hizi.
 
Wewe hujaelewa somo hoja ya msingi hapa ni kwamba USA inaporomoka kiuchumi na kama ilivyokuwa kwa dola kubwa tangulizi kwamba zilikuwa na kushuka bila kujali walifikia uchumi gani sasa wewe unakuja na compendium ilijaa mali na ushawishi wa USA.

Kwani wakianza kuandika mali na ushawishi walokuwa nao akina BRITISH EMPIRE, Ottoman, Roman empire etc unadhani patatosha? Hata tulipokuwa tunasoma African empires eg MALI empire utasoma reasons for rise and fall, utaambiwa strong leadership of so and so....
Majibu ya hayo maswali ndio yatakuonesha dira kuwa rise ya U.S.A tayari ilishatokea miaka mingi iliyopita Ila fall yake haiwezi kutokea siku za usoni iwe ni miaka 10 au hata 30 bado marekani ana nafasi ya kuendelea kuwa super power labda miaka 50 na 100 ijayo
 
Nchi unayosema inaelekea kuwa third world mwaka 2020 kwenye COVID-19 Chairman wao wa Federal Reserve Bwana Jerome Powell alitoa karibia dola za Marekani trilioni mbili kama stimulus package kwa raia kupunguza makali ya janga hilo. Hiyo ni zaidi ya trilioni 4,660 za kibongo. Kuna third world country inaweza toa hata 0.001 ya hiyo?

Ebu amka ndotoni kijana. Marekani ina bases zaidi ya 52 za kijeshi duniani, hakuna nchi ina hata military bases 3 nje yake. Kwenye G20 kuna nchi kibao zinahost majeshi ya Marekani kwao. Germany, Australia, Japan, South Korea.

California ina uchumi unazidi Russia. California ingekuwa ni nchi huru inajitegemea ingekuwa kama sio ya kumi duniani ni ya kumi na moja. Hapo hujataja majimbo mengine kina Texas yaliyojaa mafuta. Ebu acha ujinga
 
Wasahaulifu bwana

Yaani utatafuta vimaneno hadi vya Bob Marley kujustify usahaulifu wako

Anaekumbuka unamuita eslaved,wewe uliesahau unajiita hero...like really?

Daktari kasoma procedures za operation darasani,unataka akitoka darasani asahu aachane nazo halafu akija kukufanyia operation akuchane ufe ndio sahihi?

Be a man and own it,sema nimesahau sio unatafuta vijimaneno kuhalalisha upumbavu
Lete facts hapa,hatutaki bla bla.Mbona mimi nimeleta facts,lete za kwako.
 
North America, which was once a First World region, is fast becoming a Third World wasteland, thanks to government corruption, Wall Street greed and private central banking.

Increasingly more people both in the United States and Canada are unable to afford food because of explosive inflationary pressure and food shortages, which are only compounding that inflation. In Canada, government benefits are now decreasing because of this, which will leave some people with access to barely one meal per day from now on.

“Sometimes, by the end of the month, before we’re getting to the due date for the money, I’m down to maybe just a very small meal once per day,” said 56-year-old Stephen Jones to the Globe and Mail, a Toronto-based newspaper.

“I am almost on the verge of having to skip meals altogether in a day,” he added, further revealing that his shopping habits have changed dramatically in recent months.

Right now, Jones is living on disability benefits that amount to $1,200 Canadian per month, or about $940 per month in United States currency. This amount has sustained him for the past 15 years after he had to give up his career in finance due to debilitating depression – that is, until now.

While Canada’s inflation rate slightly trails that of the United States at 6.8 percent, this is still a 31-year high for the country. The Globe and Mail reported that gas prices also rose 10 percent year over year, which is the highest spike since 1981.

Toronto’s Daily Bread Food Bank also saw a record high of 160,000 visits in March, which represents a 134 percent increase compared to pre-plandemic levels.

Brighteon.TV


“People have gotten to the end of their life savings,” said Neil Hetherington, chief executive officer at Daily Bread. “They’re going into debt, and so they’re going to be turning to food banks even more.”

A very dark winter is coming​

Jones is managing to get by for now, but he knows his day is coming. Things are becoming increasingly more difficult, and there does not appear to be any relief coming any time soon.

“I know that these places are very accommodating and non-judgmental, but there’s an element of shame in doing that,” he said. “But at some point, yes, I am definitely going to have to go to a food bank.”

James is hardly alone. According to Canadian agriculture expert Kim McDonnell, many Canadians are suddenly finding themselves in a tough situation requiring outside help.

“There’s going to be a lot of hungry people,” she said.

As the situation worsens, food banks all across Canada and the United States are going to be flooded with hungry, needy people. But will there be enough to go around?

Valerie Tarasuk, a professor of nutritional sciences at University of Toronto, said steepening inflation rates are likely to increase the prevalence and severity of food insecurity in Canada. That could mean financial concerns will prompt people to reduce meal sizes, skip meals or even go a day or more without eating.

What makes the current economic situation uniquely precarious is the fact that not only is inflation off the charts but there are also widespread food shortages. Hetherington calls it “a crisis on a crisis.”

“These [inflation] numbers are meals that people will be going without,” he said to The Globe and Mail, projecting that visits to the food bank could soon reach 225,000 per month.

“I’m an incredibly optimistic guy, but I am very concerned about the next couple of years,” he added ominously.

The latest news about inflation, food shortages, and the ongoing global economic implosion can be found at Collapse.news.
 
Nchi unayosema inaelekea kuwa third world mwaka 2020 kwenye COVID-19 Chairman wao wa Federal Reserve Bwana Jerome Powell alitoa karibia dola za Marekani trilioni mbili kama stimulus package kwa raia kupunguza makali ya janga hilo. Hiyo ni zaidi ya trilioni 4,660 za kibongo. Kuna third world country inaweza toa hata 0.001 ya hiyo?

Ebu amka ndotoni kijana. Marekani ina bases zaidi ya 52 za kijeshi duniani, hakuna nchi ina hata military bases 3 nje yake. Kwenye G20 kuna nchi kibao zinahost majeshi ya Marekani kwao. Germany, Australia, Japan, South Korea.

California ina uchumi unazidi Russia. California ingekuwa ni nchi huru inajitegemea ingekuwa kama sio ya kumi duniani ni ya kumi na moja. Hapo hujataja majimbo mengine kina Texas yaliyojaa mafuta. Ebu acha ujinga
Yote uliyo weka hapo yanaporomoka and this is reflected in the life of an average American.
Acha kutafuta quotes to justify your forgetfulness!

Ulisoma kitu umesahau sema nimesahau sio unatafuta vimaneno kujustify your stupidity ya kusahau vitu
Wewe ni mjinga sana.Yaani nikisema usinikumbushe ina maana nimesahau!Maana yake ni kwamba it is stupid to such an extent that I do not want to recall.

Anyway ngoja nikuingizie darasani kidogo.Third World countries are characterized by (1) high rates of poverty
(2) economic and/or political instability, and
(3) high mortality rates
.
America kwa sasa has those characteristics or is almost there,so there is no doubt that it is a Third World Country.

NB:Naomba ukijibu ulete facts,or else kaa kimya,usiniletee hewa.
 
Yote uliyo weka hapo yanaporomoka and this is reflected in the life of an average American.

Wewe ni mjinga sana.Yaani nikisema usinikumbushe ina maana nimesahau!Maana yake ni kwamba it is stupid to such an extent that I do not want to recall.

Anyway ngoja nikuingizie darasani kidogo.Third World countries are characterized by (1) high rates of poverty
(2) economic and/or political instability, and
(3) high mortality rates.
America kwa sasa has those characteristics or is almost there,so there is no doubt that it is a Third World Country.

NB:Naomba ukijibu ulete facts,or else kaa kimya,usiniletee hewa.
Jamani mbona hivyo. KWELI USA huyuhuyu kumcatergorise Kwenye third world countries
 
Mimi naona kama unaota vile,tena mchana kweupe!
Unajua,ni ajabu kwamba you guys do not appreciate these obvious facts.There is only one reason for this,hamsomi.Ikiwa viongozi wenyewe wa Marekani,na hata the NWO cabal inakiri kwamba ni kweli,who are you to say it will not happen.Let me remind you that there is no major manufacturing going in the US at the moment,viwanda almost vyote vimehamishiwa China,except for the Military Industrial Complex.Acheni ushabiki wa kijinga,America is in a state of decay.
 
Jamani mbona hivyo. KWELI USA huyuhuyu kumcatergorise Kwenye third world countries
Mkuu lete facts,mdomo mtupu haulambwi.Wewe unaangalia magorofa na miundo mbinu,hivyo sio vigezo!
 
Jamani mbona hivyo. KWELI USA huyuhuyu kumcatergorise Kwenye third world countries
Third World countries are characterized by (1) high rates of poverty
(2) economic and/or political instability, and
(3) high mortality rates
.
America kwa sasa hasa those characteristics or is almost there,so there is no doubt that it is a Third World Country or is soon becoming a third world country kwa vigezo hivyo hapo juu.

Hata hivyo kama wewe hujawahi kufika US na umekuwa fantasized about America,itakuwa vigumu sana kuelewa.Tumezoea kusifiwa sana Marekani,that was fantasy,America ile,sio ya sasa.
 
You are an intelligent mind,thankyou.Infact mimi naiona America as a failed state already,mifumo yote inakuwa dismantled.I feel sorry for Americans.
Bwana Mathanzua leo naomba nikiri kuwa kati ya watu nilikuwa nawaona wa hovyo humu ndani ni pamoja na wewe,hasa kwenye hizi mada zako.

Lakini nikajipa muda wa kutafakari madai yako na kile kinachoendelea duniani nikabaini kwa kiasi kikubwa upo sahihi.
Mfano kulikuwa na umuhimu gani wa hizi chanjo? AU kelele vitambulisho vya utaifa? simu kwa vidole? Ndoa za jinsia na ushoga kuwa eti ni moja ya haki!! kubadili jinsia nk.
Nikabaini lazima kuna kitu na si kingine bali ni hiyo NWO
 
Back
Top Bottom